Dr. Bana: Takwimu za tume ya Warioba sio za kisayansi

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.
 
Dr bana ccm walipo vuana gamba tulijuwa ndio kimepasuka

Chadema wamwige kinana maana anashika jembe na kumbeba zege
 
Anaendelea kusema pia kuwa Chadema ni chama cha ki uanaharakati so ni vigumu kuchukua dola.
 
Dr Bana tujaribu serekali tuta kwa muda kujibu matakwa ya wananchi
 
Hata hivyo amechelewa sana kuunga mkono hotuba ya Jk kiasi nilianza kufikiri labda ametemwa na ccm. Na sikutegemea kitu tofauti na hicho alichokiongea.!
 
Dr bana tume ya warioba kupendekeza serekali tatu walichemka

Wakati huo huo anasema tujaribu serekali tatu simwelewagi huyu mzee na leo ndio sijamwelewa kabisa ni nini anataka au kuamini
 
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.

Ajitahidi kujikomba zaidi labda anaweza kuangukia kwenye kundi la akina Novatus makunge, and the like
 
same person, same story, same ideas,same approach,same....,same....., same....., same big but empty headed! same ccm! see you lads!
 
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.

alete za kwake ambazo ni za kisayansi sio kukosoa tu ili kufurahisha mabwana zao.hao ndio ma dr wa tz
 
Uzuri wa dk bana husema ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani yeye huusema tu.
 
alete za kwake ambazo ni za kisayansi sio kukosoa tu ili kufurahisha mabwana zao.hao ndio ma dr wa tz
Hasira za nini bwana unataka kujiua bure kumbuka ukweli ndivyo ulivyo huchoma na kuumiza moyo lakini lazima usemwe.
 
Prof shivji..dr bana.. Ni hasara kwa taifa.. Ni wasomi wasioendana na karne hii.. Wameweka siasa na njaa mbele..usomi nyuma
 
Dr. Bana ndio nani ?, Mtaalamu wa Sampuli za Takwimu za Kisayansi ? ... au..... ?

Mkuu unakumbuka Ridet?Bana alikuwa ndio mtaalam,anaamini zile ndio zilikuwa takwimu za kisayansi
 
Back
Top Bottom