Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.