Dr. Asha-Rose Migiro AND Nancy Sumari

Ma "super star" wa kike wa Bongo wangekua wanavaa mavazi ya kiheshima hivyo, kidogo wangejiekea respect tofauti na sasa.
 
Wabantu wote tunafanana,kuanzia matumbo kwa wanaume na mawowowo kwa wanawake!zamani ukiwa na pasipoti yoyote hata kama sio picha yako unapita airport nyingi za ulaya.
 
Hilo Penzi kwa hakika hata lile la babu yangi ni bora!! Khaa, hivi hana company ya wanaume? Analeta mashaka sasa!!
 
Ningependa sana aje kule kwenye Business and Economic forum, maana kuna report ya WB kuhusu uchumi wetu, ndo aseme wako kwenye right trach au tuna gain speed kurudi nyuma!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…