Posho Billion 47 kwa siku gonga mezaWabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.
Hili ni zaidi ya ukweli, so saaad...Watu wanataka kuwa wafalme katika nchi ya Jamuhuri...what a loss for our country...Waliopigania uhuru hawakufanya haya leo watu wachache wanataka kutumia mabeberu kutumiliki forever hasa baada ya kuonyeshwa na mzalendo JPM kuwa kuna watanzania ambao wanaweza kuiwezasha nchi kujinufaisha na kuwa miongoni mwa mataifa duniani bila msaada wa mabeberu...DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW
Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.
Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.
Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.
Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?
Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.
Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?
Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.
Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.
2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji
3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani
4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.
5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.
6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.
7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.
8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.
9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?
10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.
11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.
12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.
13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.
14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?
15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.
Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.
Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.
Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.
Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika
Ogessa Mangula
Ni kweli. Hii ni ishu ya waswahili wenzetu na makanjanja meupe machache yamepanga dili. Na hapa jiulize,Ni kama saga la reli na kampuni ya Rites kama nimeandika vizuri jina.
Ni kweli kabisa - Kaveli-Kwamba hii DP WORLD ni geresha tu hapa TZ... ila behind the scene kuna another version of 'richmond' imeshasukwa?
Kwamba shamba la Bibi (Tz) linaenda 'kuvunwa' tena kwa mara nyingine?
-Kaveli-
Una jua maana ya haya maneno kisheriaWe ni msomi hebu usijivue nguo hivi ..
Huwezi hata Ku Google.. Dpworld??
Roma na StaminaNi kweli. Hii ni ishu ya waswahili wenzetu na makanjanja meupe machache yamepanga dili. Na hapa jiulize,
- DP WORLD atake hadi bandari za maziwa?!! Za nini...
- DP World anataka hadi aendeshe reli /SGR?? Ya nini...
- Na ukiwatafuta wahusika wa upande wa pili yani DUBEI/UAE, hawaeleweki kwenye makaratasi ya IGA. Kwa nini wajifiche kama ni genuine?!
Hawa ni janjajanja mzungu wa reli wameungana, lengo kukamata misuli yote ya uwekezaji.
Wanataka reli, EPZ na Bandari kavu zote, ili malori yao ya mizigo wajue yana operate vipi.
Wanataka pia ku control usafirishaji wote ili madini na maliasili zingine kama magogo na vitu vya magendo, deal chafu, vitembee bila kuulizwa.
Hii ni deal chafu.
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW
Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.
Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.
Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.
Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?
Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.
Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?
Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.
Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.
2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji
3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani
4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.
5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.
6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.
7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.
8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.
9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?
10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.
11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.
12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.
13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.
14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?
15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.
Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.
Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.
Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.
Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika
Ogessa Mangula
We ni msomi hebu usijivue nguo hivi ..
Huwezi hata Ku Google.. Dpworld??
Mleta uzi huu ndio ukweli wenyewe. Hawa akina The Boss ndio wafaidika wa hii kampuni. Kila mara huwa nasema hapa, bila machafuko hii nchi itaendelea kuchezewa tukiwa tunaona. Hii kampuni ya DP World inatumika na watawala wetu ili kujimilikisha bandari zetu. Na kwa bahati mbaya hata vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni ama hawajitambui, ama viongozi wao watakuwa sehemu ya ufaidika wa wizi huu.Ndio ukweli wenyewe , ndio Yale Yale ya Richmond ya Kariakoo
Umekuwa mpole kwasababu unajua fika huyu mleta uzi kaongea ukweli ambao unadhani watu hawajui, na hamtaki watu waujue. Wajinga wamekwisha nchi hii, sana sana wamebaki waoga. Ni juu ya vyombo vya dola kuamua kusimamia maslahi ya umma, na sio kusimamia matakwa ya viongozi wezi.We ni msomi hebu usijivue nguo hivi ..
Huwezi hata Ku Google.. Dpworld??
Exactly.Ni kama saga la reli na kampuni ya Rites kama nimeandika vizuri jina.
Hilo la ndege ndio hasa litaenda kutokea iwapo tuna wazalendo wa kweli ndani ya nchi hii. Na hilo likitokea inatakiwa iwe mwanzo wa mabadiliko ya kweli ya mifumo ndani ya nchi hii. Kwa post hii umesema kweli, umekosea hapo tu kumtaja huyo JPM, yeye alikuwa ni sehemu ya kuharibu checks and balances za mifumo nchi hii. Leo hii akina Rostam wanajua tuna mifumo dhaifu hivyo wanafanya watakavyo. Hiyo DP imesomewa ramani na Rostam baada ya kujua udhaifu wa kiutawala ndani ya nchi hii.Hili ni zaidi ya ukweli, so saaad...Watu wanataka kuwa wafalme katika nchi ya Jamuhuri...what a loss for our country...Waliopigania uhuru hawakufanya haya leo watu wachache wanataka kutumia mabeberu kutumiliki forever hasa baada ya kuonyeshwa na mzalendo JPM kuwa kuna watanzania ambao wanaweza kuiwezasha nchi kujinufaisha na kuwa miongoni mwa mataifa duniani bila msaada wa mabeberu...
The good thing is, listen and listen careful, niliona ndege yao ikiungua hewani huku wakisambaratika kabisa....Baada ya mtikisiko huu ambao tuombe Mungu usilete madhara kwa raia wema, nchi itaibuka na nguvu zaidi kuliko wakati wowote wa historia yake.
Wasichojua ni kuwa its a decree, Tanzania njema ni MUST PROJECT apende asipende mtu.
Wasalaam!
Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.[emoji419][emoji375]DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW
Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.
Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.
Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.
Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?
Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.
Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?
Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.
Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.
2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji
3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani
4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.
5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.
6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.
7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.
8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.
9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?
10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.
11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.
12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.
13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.
14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?
15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.
Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.
Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.
Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.
Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika
Ogessa Mangula
Tunauzwa mchana kweupe.Niwakati muafaka sasa watanzania kusema inatosha huu ndio muda sahihi wa kumkemea pepo mpaka akimbie
Hii siyo bule iri giza liliropo huu siowakati wake kwa sasa nchi inahitaji Nuru kuliko wakati wowote ule
kinacho takiwa hapa nikumtupa jongoo na mti wake hiyo ndio itakuwa tiba ya huu ugonjwa
Huyu sio BOSS ninaemfahamu mimi humu siku zote!! Kama ndiye yeye ninayemfahamu basi kuna kitu kafanyiwa na kimembadilisha amekuwa hamnazo na sio mzalendo tena!Wewe ndio uko uchi kabisaaaa kwenye hili tena umetapanya miguu kuanika nyeti nje ..
dah ni kweli kabisaNi kundi la wazanzibari wanataka kujimilikisha bandari.
Na wakifanikiwa hili influence yao itapenya kwenye kila nyanja maana mapesa watayokua wanavuna bandarini watayatumia kumnunua yeyote na kufanya chochote wakitakacho