DPP Biswalo Mganga: Mbunge Lema kuchukuliwa hatua kwa kupotosha vifo vya watu 14 Manyoni, Hatuwezi kuwa na Taifa la watu wazushi na wazua taharuki

DPP anauwezo mkubwa sana wa kusimamia kesi za kubambikia wapinzani kwa haraka sana,ila wale wezi wa kijani hajisumbui hata kufatilia
 
Hivyo vifo vingi tu vya watu kuchinjwa, ulivitolea taarifa kwenye kituo cho chote cha polisi na wao wasichukue hatua? Hili ndilo analolisema DPP: wewe raia mwema una wajibu wa kutoa taarifa kwa vyombo husika kama una ushahidi wa maovu kutendeka. Kama hatua haikuchukuliwa, hapo ndipo una haki ya kulalamika, huku ukiwa na kumbukumbu ya taarifa uliyofikisha kituoni. La sivyo, shut up! Na ukipwayuka tu utachukuliwa ni mzushi anayetaka kuleta ghasia nchini na unapaswa kuchukuliwa hatua. Kama Lema alikuwa na orodha ya watu waliochinjwa, kilimshinda nini kuanza kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vinavyohusika badala ya kutangaza kwenye magazeti? Kwa hiyo kufanya hivyo ndiyo kulisaidia kutatua tatizo au ni njama tu za kujitafutia umaarufu wa kisiasa? Let's be objective and realistic.
Tatizo ni aidha lugha au chuki, Lema alipewa orodha ya majina yeye alichokifanya ni kuitoa orodha hiyo hadharani na kuliomba jeshi la polisi lifanye uchunguzi, anakamatwa!
 
wamezoea kugushi mashtaka kw viongozi wa chadema.natowa wito wananchi wenye mapenzi mema,wanachama na wadau tunapoona jambo linauonevu tuoneshe mshikamano na ushirikiano
 
Anamchukulia hatua kwa kupotosha (Defamation). Amesema watu wamechinjwa kumbe hawakuchinjwa. Amesema hakuna hatua zilizochukuliwa kumbe kuna hatua tayari zilishachukuliwa! Haya yote sio sawa!
Ana
Katika habari hii, naona ni kweli watu wameuwawa, iwe amechinjwa au kupigwa. Sasa huyo DPP anataka kumchukulia Lema hatua kwa sababu vifo vimetokana na kupigwa, na si kama

Katika habari hii, naona ni kweli watu wameuwawa, iwe amechinjwa au kupigwa. Sasa huyo DPP anataka kumchukulia Lema hatua kwa sababu vifo vimetokana na kupigwa, na si kama lema alivyosema kuwa wamechinjwa?
 
Ni maajabu ya mwaka DPP anakoma na Mh Godbless J.Lema ati atamshitaki kwa kusema uongo kwa mauaji ya Singida kama anavyodai kuwa Mh Lema kasema uongo.Hivi mbona huyu mtu anapambana zaidi na Wapinzani au yupo kwa ajili ya kuwakomoa Wapinzani ambao wanasema kweli na wao kama serikali hawataki kusikia ukweli?

Issue ya kina Kangi Lugola na wenziwe ambao wametumbuliwa majuzi kati na tumesikia faili lao lipo mikonono mwa huyu mtu DPP lakin cha ajabu kaliweka pembeni kaamua kukurupuka kudeal na Mh Lema.Kwa nini lakini?
 
Ajenda kuu za Chadema mwaka 2020 zilikuwa mbili.

Fanya zali lolote lile ukamatwe kuipa nguvu jumuiya ya kimataifa kuingaza Tanzania kama ni nchi inayoonea wapinzani

Ya pili ni kutafuta huruma ya wananchi kwa gharama yoyote ile.
 
Akili za kibashite
Ajenda kuu za Chadema mwaka 2020 zilikuwa mbili.

Fanya zali lolote lile ukamatwe kuipa nguvu jumuiya ya kimataifa kuingaza Tanzania kama ni nchi inayoonea wapinzani

Ya pili ni kutafuta huruma ya wananchi kwa gharama yoyote ile.

In God we Trust
 
Ajenda kuu za Chadema mwaka 2020 zilikuwa mbili.

Fanya zali lolote lile ukamatwe kuipa nguvu jumuiya ya kimataifa kuingaza Tanzania kama ni nchi inayoonea wapinzani

Ya pili ni kutafuta huruma ya wananchi kwa gharama yoyote ile.
utakuwa na dalili za corona wahi ukapime
 
Anamchukulia hatua kwa kupotosha (Defamation). Amesema watu wamechinjwa kumbe hawakuchinjwa. Amesema hakuna hatua zilizochukuliwa kumbe kuna hatua tayari zilishachukuliwa! Haya yote sio sawa!
Ana

Hayo ni malumbano ya hoja.
Alichokisema watu wameuwawa, iwe kwa kuchinjwa, kupigwa au kwa kugongwa na vyombo vya moto. Sasa ni jukumu la huyo DPP aueleze huma ni watu wangapi walichinjwa na polisi walifanya uchunguzi na kubaini wahusika, na je ni hatua ganizimechukuliwa. Ni watu wangapi wlikufa kwa kupigwa kama alivyo dai na polisi walifanya uchunguzi na kubaini wahusika, na je ni hatua ganizimechukuliwa.

DPP akitoa maelezo na ushahidi kuthibitisha asemayo, basi atakuwa na haki ya kumwita lema mwongo, vinginevyo DPP ajitafakari vizuri
 
Lema alitakiwa kutoa tuhuma zenye uhalisia au facts siyo kuongea majungu ya mtaani. Kumbuka yeye ni kiongozi ambaye jamii inasikiliza kila analosema na kwamba Kamii inakuwa compelled kumwani! Sasa anaposema maneno ya uzushi eti kwa kigezo kuwa DPP aje na ufafanuzi, hilo ni jambo baya halifanani na hadhi yake!



Hayo ni malumbano ya hoja.
Alichokisema watu wameuwawa, iwe kwa kuchinjwa, kupigwa au kwa kugongwa na vyombo vya moto. Sasa ni jukumu la huyo DPP aueleze huma ni watu wangapi walichinjwa na polisi walifanya uchunguzi na kubaini wahusika, na je ni hatua ganizimechukuliwa. Ni watu wangapi wlikufa kwa kupigwa kama alivyo dai na polisi walifanya uchunguzi na kubaini wahusika, na je ni hatua ganizimechukuliwa.

DPP akitoa maelezo na ushahidi kuthibitisha asemayo, basi atakuwa na haki ya kumwita lema mwongo, vinginevyo DPP ajitafakari vizuri
L
 
Back
Top Bottom