Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
Amesema mtuhumiwa mwenyewe ambaye yupo Mahabusu anatakiwa kuandika barua kupitia kwa Mkuu wa gereza na kukiri kosa ndipo ofisi yake itachukua hatua
Amesisitiza kwamba Mtuhumiwa mwenyewe ndiye anatakiwa kuandika barua na sio kuwakilishwa na Wakili kwani Wakili anaweza kubadilika na hata Mtuhumiwa kumkana kwamba hakumtuma kufanya alichokifanya
Amesisitiza kwamba Mtuhumiwa mwenyewe ndiye anatakiwa kuandika barua na sio kuwakilishwa na Wakili kwani Wakili anaweza kubadilika na hata Mtuhumiwa kumkana kwamba hakumtuma kufanya alichokifanya