Popo bawaa
Member
- Apr 19, 2016
- 47
- 2
Naomben usha uri kuhusu hili jambo ni bora kwenda advnc kwa combntn ya CBG au kwnd kusoma dplm y ualim w secondry....
Advance
Ukisikia special diploma ndio kama wewe unachotaka kufanya sasa kama utakuwa unakumbuka kauli walizosema watu kuwa "Hawa wanafunzi ni ****** "Nenda na wewe....nenda advance baadae utaenda huko unakotaka
Dah mkuu kama mimi tu wazaz wanataka nirudi nikapige hio ,hio special dip ,na hv wameambiwa ada italpwa na serkali ndo kabsa wamekomaliaDuuu kwel...ttzo wazaz hawtk kuelewa wana taka n rudi tena
mm labda cjielew hiv ukimaliza form4 unaweza ukawa mwl.wa sec kwel?au huyu dogo anachukulia uwalimu wa sec ni kwa wanafunzi hewaaaa be care nitakutumbua kwa madam..nda........Naomben usha uri kuhusu hili jambo ni bora kwenda advnc kwa combntn ya CBG au kwnd kusoma dplm y ualim w secondry....
nadhani hiyo itakuwa ni ile ya UDOM special diploma ambayo wanasomea ualimu wa masom y scienc secindary mkuu.mm labda cjielew hiv ukimaliza form4 unaweza ukawa mwl.wa sec kwel?au huyu dogo anachukulia uwalimu wa sec ni kwa wanafunzi hewaaaa be care nitakutumbua kwa madam..nda........
Duuh kumbe tayari ulikuwepo huko!!!!Duuu kwel...ttzo wazaz hawtk kuelewa wana taka n rudi tena
Wanasoma mkuu, au umesahau special diploma za udomsorry form four unaenda kusoma ualimu wa sec chuo cha wapi?
mm labda cjielew hiv ukimaliza form4 unaweza ukawa mwl.wa sec kwel?au huyu dogo anachukulia uwalimu wa sec ni kwa wanafunzi hewaaaa be care nitakutumbua kwa madam..nda........
sorry form four unaenda kusoma ualimu wa sec chuo cha wapi?
Duuh kumbe tayari ulikuwepo huko!!!!
Nenda advance alf ukapige msuli sana hiyo special diploma haitokuhusu tena. Unaweza ukaenda kwenye bachelor ya education direct. Best wishes
si wamepangiwa tena shule ya msingi kwan kuna wanaosoma tu ile special diplomaWanasoma mkuu, au umesahau special diploma za udom
angalia usije ukaitwa ki***aMorogr teachz collg