DP World wapewe pia Bunge

DP World wapewe pia Bunge

Bak byzo I.T

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2014
Posts
266
Reaction score
125
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


WAZO ZURI SANA ILI MAAMUZI YASIPINGWE
 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


Naunga mkono hoja ✔️
 
Kusema kweli hata mimi ningepewa hizo rushwa sidhani kama ningezikataa. Najijua, sio mzalendo kihivyo. Ukweli utuweke huru

Ili ndio somo lililo kosekana mashuleni
Somo la uzalendo

Na umasikini ni chanzo kikubwa cha waafrika kuwa wezi hususani watanzania.
 
MATOKEO YA MKATABA WA MILELE KATI YA ESSAU NA YAKOBO KWA VIZAZI VYAO VYOTE!

Madhara ya mkataba kati ya Essau na Yakobo yalikuja kuonekana baadaye baada ya Essau kupoteza kabisa haki zake zote za kiutawala, kiuongozi, kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa. Chanzo cha mkataba ule ilikuwa ni tamaa ya Essau ya kupata pesa ya kufanyia shopping, kula nyama choma na kunywa supu ya pweza.

Baada ya Yakobo kugundua kuwa Essau alitaka sana apate hela ya matanuzi na supu ya pweza, aliweka sharti la kuandikiana mkataba. Lakini kwa kuwa akili ya Essau ilikuwa katika kupata vile vitu na jinsi atakavyowalingishia wenzake wa Mesopotamia, hakuweza hata kuwa makini kuangalia vipengere vya mkataba na wala yeye hakuona shida mkataba kuandikwa na Yakobo.

Baadaye alipokuja kushtuka akakuta mkataba ulikuwa hauna ukomo - ulikuwa ni wa milele na kuwa Yakobo alikuwa amejimilikisha kila kitu. Lakini Essau alipotaka kubadili vile vipengere vibaya ndani ya mkataba, Yakobo alikataa lakini hata Mahakama ya rufani chini ya Mzee Isaka ilisema kuwa mkataba ule hauvunjiki. Mkataba ule ulipora haki zote hata za vizazi vya Essau katika nyanja zote - kidiplomasia, kiuchumi, kiutawala, kisiasa, nk (Mwanzo 25).

Wataalamu wengi wa Biblia wanakubaliana pia kuwa uzao wa Yakobo ndilo taifa la Israeli na uzao wa Essau ndilo taifa la Jordan. Je, kama hiyo ni kweli kuhusu historia ya mataifa hayo mawili yaliyo jirani, unayaonaje mahusiano ya nchi hizo mbili na hasa ushawishi wa kila nchi katika jumuiya ya kimataifa kisiasa, kiuchumi, kijeshi na kidiplomasia?

Uliwahi kusoma kisa cha Essau na Yakobo kwa jicho la mkataba? Unafahamu kuwa mikataba yote inayohusu rasilimali inahitaji umakini sana kwa kuwa mtu akikabidhiwa rasilimali haziachii kirahisi? Unafikiri ni kwa nini Yakobo aliandika mkataba mwenyewe bila kumshikirisha Essau?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Dar es Salaam, 22 Julai 2023; 07:08 am.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MATOKEO YA MKATABA WA MILELE KATI YA ESSAU NA YAKOBO KWA VIZAZI VYAO VYOTE!

Madhara ya mkataba kati ya Essau na Yakobo yalikuja kuonekana baadaye baada ya Essau kupoteza kabisa haki zake zote za kiutawala, kiuongozi, kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa. Chanzo cha mkataba ule ilikuwa ni tamaa ya Essau ya kupata pesa ya kufanyia shopping, kula nyama choma na kunywa supu ya pweza.

Baada ya Yakobo kugundua kuwa Essau alitaka sana apate hela ya matanuzi na supu ya pweza, aliweka sharti la kuandikiana mkataba. Lakini kwa kuwa akili ya Essau ilikuwa katika kupata vile vitu na jinsi atakavyowalingishia wenzake wa Mesopotamia, hakuweza hata kuwa makini kuangalia vipengere vya mkataba na wala yeye hakuona shida mkataba kuandikwa na Yakobo.

Baadaye alipokuja kushtuka akakuta mkataba ulikuwa hauna ukomo - ulikuwa ni wa milele na kuwa Yakobo alikuwa amejimilikisha kila kitu. Lakini Essau alipotaka kubadili vile vipengere vibaya ndani ya mkataba, Yakobo alikataa lakini hata Mahakama ya rufani chini ya Mzee Isaka ilisema kuwa mkataba ule hauvunjiki. Mkataba ule ulipora haki zote hata za vizazi vya Essau katika nyanja zote - kidiplomasia, kiuchumi, kiutawala, kisiasa, nk (Mwanzo 25).

Wataalamu wengi wa Biblia wanakubaliana pia kuwa uzao wa Yakobo ndilo taifa la Israeli na uzao wa Essau ndilo taifa la Jordan. Je, kama hiyo ni kweli kuhusu historia ya mataifa hayo mawili yaliyo jirani, unayaonaje mahusiano ya nchi hizo mbili na hasa ushawishi wa kila nchi katika jumuiya ya kimataifa kisiasa, kiuchumi, kijeshi na kidiplomasia?

Uliwahi kusoma kisa cha Essau na Yakobo kwa jicho la mkataba? Unafahamu kuwa mikataba yote inayohusu rasilimali inahitaji umakini sana kwa kuwa mtu akikabidhiwa rasilimali haziachii kirahisi? Unafikiri ni kwa nini Yakobo aliandika mkataba mwenyewe bila kumshikirisha Essau?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Dar es Salaam, 22 Julai 2023; 07:08 am.

Sent using Jamii Forums mobile app
Essau(Arabs generations) bado ananjaa. Kwa miaka yote hiyo amekuwa akitafuta msosi. Sasa kaipata Tanzania na ataila kweli kweli. Bahati mbaya huyo Esau kaungana na Ismaili na kutoa watu wa jamii ya waarabu, ambao wote ni njaa tu. Tz kwa mwendo huu tujiandae kuliwa.
 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


Waanze na ikulu
 
Essay(Arabs generations) bado ananjaa. Kwa miaka yote hiyo amekuwa akitafuta msosi. Sasa kaipata Tanzania na ataila kweli kweli. Bahati mbaya huyo Esau kaungana na Ismaili na kutoa watu wa jamii ya waarabu, ambao wote ni njaa tu. Tz kwa mwendo huu tujiandae kuliwa.
IMG-20230725-WA0036.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika hawa wabunge na Serikali nzima ya Tanzania ihamie Dubai.
 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


WAZO NZURI SANA NAUNGA MKONO HOJA
 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


🚶
 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


 
Wabunge wameongezewa Posho

Wabunge wamepitisha mkataba wa bandari bila maoni ya wapigaji kura wao majimboni

Wabunge wamekuwa wasemaji wa DP WORLD wanapita na mkutano wa Chongolo kuunadi huo mkataba na hawakupita kuomba maoni.

Bunge lilitoa nafasi ya kukusanya maoni ndani ya siku tatu tu, kupitia kamati ya bunge, barua pepe au kufika Dodoma viwanja vya bunge.

Cha ajabu wanakusanya maoni wakati mkataba umevuja hawakuutoa wao tangu ulipotiwa saini Octoba 22.

Wanakusanya maoni na bunge halijatoa Tafsiri ya kiswahil ya mkataba ili watu waelewe.

Naunga mkono kauli ya MWABUKUSI ya bunge letu ndio wangepewa DP WORLD tena lingeenda likae uko uko Dubai na Wabunge wake.


Mbona tayari wamepewa ! hujaona mwakilishi wao akipewa uwaziri wa uwekezaji ?
 
Back
Top Bottom