“Nikiwa Rais wa Nchi hii watu watakimbia fomu za Ubunge maana nitwalipa mshahara mdogo wa Milioni 4 Kwa Mwezi, na mimi kaka Rais nitalipwa Milioni 6” Doyo Hassan Doyo - Mgombea Urais - NLD
Doyo ana hoja nzuri sana, sema ndo hivyo yuko kwenye chama ambacho hata hakijulikani.
Natamani Rais atakayeingia madarakani, ayafanyie kazi haya mawazo ya Doyo Hassan Doyo kwa ustawi wa nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.