Niliwaambia hamia kwenye open source platform i mean welcome kwenye android maana now days kila product mpya za simu nzuri jamaa wanaanzaga na android os ...... [like]
Niliwaambia hamia kwenye open source platform i mean welcome kwenye android maana now days kila product mpya za simu nzuri jamaa wanaanzaga na android os ...... [like]
Mkuu Young Master nimejalibu mara kibao kuinstall kwenye sim yangu inakubali inadownload mpaka mwisho lakini ikifika 100% inasema unsuccessful installation pls help nahisi itakuwa ni matatizo ya sim yangu
ukiwa na adroid hautaji pc suit, wewe unatakiwa uwe USB cable, alafu chomeka hyo cable kati ya simu yako na Pc yako, then nenda kwenye simu yako nenda setting, then nenda Wireless&network settings, then nenda Tethering&portable hotspot, then nenda uchague USB TETHERING kama unatumia usb cable, ila kama pc yako ina detect wireless click kwenye PORTABLE Wi-Fi hotspot, then utaona mambo yanakua mazuri!
Mkuu Young Master nimejalibu mara kibao kuinstall kwenye sim yangu inakubali inadownload mpaka mwisho lakini ikifika 100% inasema unsuccessful installation pls help nahisi itakuwa ni matatizo ya sim yangu