Download and read, very touching speech

WA-UKENYENGE

JF-Expert Member
Oct 1, 2011
2,921
1,233
Katika pita pita yangu kuelekea kusherehekea miaka 50 ya uhuru, nimekutana na hii speech ambayo naweza kuiita ni ya kizalendo zaidi. Its more than what we expect to hear from this special day of our country. Soma ujiridhishe mwenyewe na toa maoni yako tunaposherehekea uhuru wa nchi yetu.
 

Attachments

  • Convocation Speech-Final Final 23rd Nov 2011.pdf
    196.8 KB · Views: 320
Yes. This is a masterpiece. Huyu jamaa ni kichwa. Nimefurahia zaidi alivyochambua aina ya matatizo yanayotukabili kama taifa. Kutumia STI ni sawa, ila ni hicho ni kipengele kimojawapo tu. Najua asingeenda nje ya hapo kwa sababu ndiyo mada aliyoandaa, lakini tunachohitaji cha kwanza kabisa, hata kabla ya STI, ni mabadiliko ya mfumo wa utawala. Hakuna STI inayoweza kufanyika kwenye mazingira ya sasa ya ufisadi, kukosa uzalendo, na kukosa uelekeo wa kisiasa. Ametoa mfano mzuri wa Kagame. Ila ukweli ni kwamba Kagame mwenyewe kama rais ameamua kujenga nchi na kuachana na porojo. Tunachohitaji hapa Tz ni mtu kama Kagame. Ni bora wamuite dikteta lakini anajenga nchi. Kiongozi makini, asiyetaka porojo, akishakamata usukani, hizo STI zitajitokeza zenyewe tu kwa sababu vichwa na vipaji vipo. Yote kwa yote, huyu jamaa ametoa ujumbe mzito sana. Watu wengi tu wana mawazo mazuri kama haya, lakini linapokuja suala la utekelezaji kila kitu kinapwaya. Mungu atusaidie tupate viongozi wapenda nchi na wanaojali wengine. Bila uongozi madhubuti, mawazo kama haya yataishia tu kwenye makabrasha ya wakubwa maofisini. Wakati mwingine huwa watu wanaogopa kusema ukweli halisi kwa sababu inaweza kutia watu kiwewe na kukosa matumaini. Huyu jamaa ameongea ukweli halisi ulivyo, ingawa wanasiasa uchwara wasingependa kusikia mambo kama haya. Utawasikia wanasiasa uchwara, bila aibu wala haya, wakidai maisha ya Watz yamekuwa bora na kwamba "tumethubutu, tumeweza, na tunasonga mbele." Hakuna slogan ya kijinga kama hii. Wamethubutu upumbavu wakati nchi inaangamia?
 
Katika pita pita yangu kuelekea kusherehekea miaka 50 ya uhuru, nimekutana na hii speech ambayo naweza kuiita ni ya kizalendo zaidi. Its more than what we expect to hear from this special day of our country. Soma ujiridhishe mwenyewe na toa maoni yako tunaposherehekea uhuru wa nchi yetu.
Thanks for sending out this very powerful speech. We have people and all that is needed to advance. It is sad that we lack leadership and for this I blame the first president and his style of getting leaders. He has left us with a bunch of Holigaans with no morals for leaders. For that his legacy is in tatters.
 
Katika pita pita yangu kuelekea kusherehekea miaka 50 ya uhuru, nimekutana na hii speech ambayo naweza kuiita ni ya kizalendo zaidi. Its more than what we expect to hear from this special day of our country. Soma ujiridhishe mwenyewe na toa maoni yako tunaposherehekea uhuru wa nchi yetu.

Ni hotuba nzuri yenye vitu vingi vya msingi na vinavyotakiwa kufanyiwa kazi.
 
Yes. This is a masterpiece. Huyu jamaa ni kichwa. Nimefurahia zaidi alivyochambua aina ya matatizo yanayotukabili kama taifa. Kutumia STI ni sawa, ila ni hicho ni kipengele kimojawapo tu. Najua asingeenda nje ya hapo kwa sababu ndiyo mada aliyoandaa, lakini tunachohitaji cha kwanza kabisa, hata kabla ya STI, ni mabadiliko ya mfumo wa utawala. Hakuna STI inayoweza kufanyika kwenye mazingira ya sasa ya ufisadi, kukosa uzalendo, na kukosa uelekeo wa kisiasa. Ametoa mfano mzuri wa Kagame. Ila ukweli ni kwamba Kagame mwenyewe kama rais ameamua kujenga nchi na kuachana na porojo. Tunachohitaji hapa Tz ni mtu kama Kagame. Ni bora wamuite dikteta lakini anajenga nchi. Kiongozi makini, asiyetaka porojo, akishakamata usukani, hizo STI zitajitokeza zenyewe tu kwa sababu vichwa na vipaji vipo. Yote kwa yote, huyu jamaa ametoa ujumbe mzito sana. Watu wengi tu wana mawazo mazuri kama haya, lakini linapokuja suala la utekelezaji kila kitu kinapwaya. Mungu atusaidie tupate viongozi wapenda nchi na wanaojali wengine. Bila uongozi madhubuti, mawazo kama haya yataishia tu kwenye makabrasha ya wakubwa maofisini. Wakati mwingine huwa watu wanaogopa kusema ukweli halisi kwa sababu inaweza kutia watu kiwewe na kukosa matumaini. Huyu jamaa ameongea ukweli halisi ulivyo, ingawa wanasiasa uchwara wasingependa kusikia mambo kama haya. Utawasikia wanasiasa uchwara, bila aibu wala haya, wakidai maisha ya Watz yamekuwa bora na kwamba "tumethubutu, tumeweza, na tunasonga mbele." Hakuna slogan ya kijinga kama hii. Wamethubutu upumbavu wakati nchi inaangamia?


Mkuu sina cha kuongeza! Zaidi ni kuongeza mapambano ya kuwatoa hawa wazee waliong'anga'nia fikra za kikoloni ili baadae tuweze kuweka misingi bora ya taifa letu siyo hii "bora liende".
 
I hope this is the Vera I knew (Mrs Mugittu, I guess). Very controversial woman but somehow intelligent too. I remember her together with Mkundi, Kanyarukiga etc. putting SUA into a dispute because of their greed!! Hope she has moved on now. Anyway, good piece of speech!!
 
Introduction imeniacha hoi, inaonyesha huyu ni mpambanaji sana. Mawazo yake yanawakera watawala wetu na hata hapo alipo nadhani wanamwona mkereketwa.

Asante, angalau nimapata matumaini ya miaka baada ya 50 ya uhuru
 
Tatizo letu siyo hotuba/sera/ wala nini??

Nani atazifanyia kazi?? hata huyo aliyetoa hotuba ukimpa kitengo anachefua..ndio utashangaa

The difference between speeches and realities..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom