Hakilipwi kitu hapa, nyie njooni na propaganda zenu za ajabu, eti kuperform, kuperform kitu gani bana?
ACHA KULALA SOMA MAMBO NA UYAELEWE KESI ILIYOFUNGULIWA NDIO HII HAPA CHINI ISOME NA UONE KAMA KUNA POINT HATA CHEMBE NI SIASA TUPU NA BLAA BLAA NYINGI HAPA HAMNA HATA REF,SECT,AU HATA ARTICLE ZA CONTRACTS HAMNA HATA CASEPRESEDENT HAWA WANATANIA SOMA HUU UPUPU HAPA UNIAMBIE UNA NAFASI GANI KWENYE ILE HUKUMU YA DOWANS
UPUPU WA WANAHARAKATI;
1: Kwamba Bodi ya Zabuni ya Tanesco (TTB) ilikuwa na watalaam weledi katika kufanya kazi ya kuchambua zabuni, na kwa hakika huko nyuma ilikwisha kufanya kazi nyingine nyingi. Kwa maana hiyo kama kulikuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa TTB katika suala zima la mkataba wa Richmond, basi ingebidi kupitia zabuni zote za huko nyuma na si wa Richmond pekee;
2: Kwamba kamati iliyoundwa na Wizara ya Nishati na Madini kupitia mchakato wa kufungwa kwa mkataba wa Tanesco na Richmond iliundwa nje ya utaratibu wa Sheria ya Ununuzi wa Umma (PPA);
3: Kwamba Tanesco ilishughulikia vilivyo zabuni ya Richmond kitaalam na kufikia hitimisho kuwa kampuni hiyo, haikuwa na uwezo wa kitaalam wala wa kifedha kufanya kazi hiyo. Richmond haikuwa na historia (rekodi) ya kufanya kazi kama hiyo walioyokuwa wameomba kama moja ya sharti mojawapo la msingi la kupata zabuni hiyo ambalo liliwekwa kwenye tangazo la kuomba kazi kama hiyo (kuzalisha umeme) na angalau kuwa na mtaji wa Dola za Marekani milioni tano (wakati huo Sh. bilioni tano).
4: Kwamba hata pale kazi ya kutafuta mzabuni wa kufanya kazi ya kuzalisha umeme megawati 100 ilipochukuliwa na Wizara ya Nishati na Madini, haikufanywa na Bodi ya Zabuni ya wizara hiyo, kitu ambacho ni kinyume kabisa na sheria ya PPA.
5: Kitu pekee kilichorejesha mchakato wa zabuni hiyo kwa Tanesco ni kutafutwa kwa saini ya kiongozi wa Tanesco ambaye hata hivyo alilazimishwa kusaini baada ya kuambiwa kwamba kama akikataa kitu chochote kingeweza kumpata;
6: Kwa maana hii basi, mchakato wote ambao uliishia kuipa Richmond kazi ya kufua umeme wa megawati 100, ulifanyika bila kuitishwa kwa zabuni kwa mujibu wa sheria ya PPA, lakini pia bila kushirikisha mamlaka zozote ambazo kisheria zinawajibu wa kushughulikia zabuni hizo, yaani Bodi ya Zabuni ya Wizara au Bodi ya Zabuni ya Tanesco (TTB);
7: Kwamba uchunguzi wa Kamati teule ya Bunge na ule wa Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), uligundua kuwa Richmond haikuwa ni kampuni iliyosajilia kama jina lake lilivyokuwa linasema na hata jina la RDEVCO LLC ambalo pia Richmond ilikuwa inajitambulisha kwalo, ilikuwa ni kampuni nyingine tofauti kabisa na Richmond iliyoomba kazi ya kufua umeme nchini;
8: Kwamba Richmond ilitoa anwani sawa na ile ya RDEVCO, lakini ofisi zao zilipotembelea na Kamati ya Bunge, iligundulika kwamba (RDEVCO) haikuwahi kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia na kwa maana hiyo haikuwa na ujuzi wala fedha za kuweza kutekeleza kazi hiyo iliyoomba;
9: Kwamba TTB yaani Bodi ya Zabuni ya Tanesco ilikuwa sahihi kabisa kwa kutupilia mbali maombi ya Richmond katika kutekeleza kazi hiyo, kwa kuwa haikuwa na uwezo na haikukidhi masharti ya tangazo la zabuni la kazi ya kuzalisha umeme wa dharura wa megawati 100;
10: Kwamba Wizara ya Niashati na Madini iliishinikiza TTB na Bodi ya Tanesco kuvunja sheria kwa kupunguza siku za kutangaza zabuni kutoka 45 hadi 20; lakini utarartibu unaokubalika na PPA wa ama kutafuta kampuni ya kimataifa (International Shopping au Single sourcing) ukiwekwa kando, kwa kuwa katika utaratibu huu Tanesco ingewajibika kutafuta kampuni yenye historia ya kufanya kazi ya kuzalisha umeme wa dharura ambayo Richmond moja kwa moja isingefikiriwa kwa kuwa ilikwisha kujuliakana haina uwezo;
11: Wizara ya Nishati na Madini ililazimisha Tanesco na Bodi ya Tanesco ibadili zabuni iliyokataliwa yaani Richmond kuwa iliyokubaliwa licha ya kuwepo kwa vigezo vya dhahiri kabisa, kitaalam na uwezo wa fedha, ambavyo vilikuwa vimekwisha kumweka kando Richmond; kwa kufanya hivyo sheria ya PPA ilivunjwa;
12: Kwamba kamati iliyoundwa na Wizara ya Nishati na Madini kushughulikia zabuni ya Richmond, haikuwa na mamlaka ya kufanya kazi hiyo, ilivunja sheria ya PPA hata kama ilikuwa imechukua wataalam kutoka Tanesco na Wizarani.
13: Kwamba kamati hiyo, yaani ya wizara, ilifanya mchakato wa zabuni wa kufufua umeme wa megawati 100 ambao ushindi alipewa Richmond, kwa kutumia nyaraka ambazo Bodi ya Zabuni ya Tanesco ilikwisha kuzifuta kwa kuwa Richmond ilishindwa kutumiza matakwa ya tangazo la zabuni;
14: Kwamba Richmond aliruhusiwa kuwasilisha nyaraka nyingine za ziada kwenye kamati ya Wizara, ambazo hazikuwa kwenye zabuni iliyotangazwa Februari 27, 2006 na kisha Richmond ikashindwa; kwa kifupi kulikuwa na utaratibu wa makusudi wa kuhakikisha Richmond inashinda;
15: Kwamba wakati Richmond ilisajili jina la RDEVCO LLC Machi 2008 hii ilikuwa ni baada ya matukio mawili, kwanza baada ya kuwa imekwisha kuingia mkataba na Tanesco Juni 23, 2006 kwa bosi wa Tanesco kutishwa ili asaini, lakini pia baada ya Dowans kuwa amekwisha kuchukua mkataba huo; Lakini pia jina hilo halikusajiliwa kwenye mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura uliofikiwa Juni 23, 2006.
16: Kwamba Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) ilithibitisha pasi na shaka yoyote kwamba mchakato wa ufungaji wa mkataba wa Richmond na Tanesco ulikiuka sheria ya manunuzi ya umma;
acha kulala soma mambo na uyaelewe kesi iliyofunguliwa ndio hii hapa chini isome na uone kama kuna point hata chembe ni siasa tupu na blaa blaa nyingi hapa hamna hata ref,sect,au hata article za contracts hamna hata casepresedent hawa wanatania soma huu upupu hapa uniambie una nafasi gani kwenye ile hukumu ya dowans
upupu wa wanaharakati;
1: Kwamba bodi ya zabuni ya tanesco (ttb) ilikuwa na watalaam weledi katika kufanya kazi ya kuchambua zabuni, na kwa hakika huko nyuma ilikwisha kufanya kazi nyingine nyingi. Kwa maana hiyo kama kulikuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa ttb katika suala zima la mkataba wa richmond, basi ingebidi kupitia zabuni zote za huko nyuma na si wa richmond pekee;
2: Kwamba kamati iliyoundwa na wizara ya nishati na madini kupitia mchakato wa kufungwa kwa mkataba wa tanesco na richmond iliundwa nje ya utaratibu wa sheria ya ununuzi wa umma (ppa);
3: Kwamba tanesco ilishughulikia vilivyo zabuni ya richmond kitaalam na kufikia hitimisho kuwa kampuni hiyo, haikuwa na uwezo wa kitaalam wala wa kifedha kufanya kazi hiyo. Richmond haikuwa na historia (rekodi) ya kufanya kazi kama hiyo walioyokuwa wameomba kama moja ya sharti mojawapo la msingi la kupata zabuni hiyo ambalo liliwekwa kwenye tangazo la kuomba kazi kama hiyo (kuzalisha umeme) na angalau kuwa na mtaji wa dola za marekani milioni tano (wakati huo sh. Bilioni tano).
4: Kwamba hata pale kazi ya kutafuta mzabuni wa kufanya kazi ya kuzalisha umeme megawati 100 ilipochukuliwa na wizara ya nishati na madini, haikufanywa na bodi ya zabuni ya wizara hiyo, kitu ambacho ni kinyume kabisa na sheria ya ppa.
5: Kitu pekee kilichorejesha mchakato wa zabuni hiyo kwa tanesco ni kutafutwa kwa saini ya kiongozi wa tanesco ambaye hata hivyo alilazimishwa kusaini baada ya kuambiwa kwamba kama akikataa kitu chochote kingeweza kumpata;
6: Kwa maana hii basi, mchakato wote ambao uliishia kuipa richmond kazi ya kufua umeme wa megawati 100, ulifanyika bila kuitishwa kwa zabuni kwa mujibu wa sheria ya ppa, lakini pia bila kushirikisha mamlaka zozote ambazo kisheria zinawajibu wa kushughulikia zabuni hizo, yaani bodi ya zabuni ya wizara au bodi ya zabuni ya tanesco (ttb);
7: Kwamba uchunguzi wa kamati teule ya bunge na ule wa mamlaka ya manunuzi ya umma (ppra), uligundua kuwa richmond haikuwa ni kampuni iliyosajilia kama jina lake lilivyokuwa linasema na hata jina la rdevco llc ambalo pia richmond ilikuwa inajitambulisha kwalo, ilikuwa ni kampuni nyingine tofauti kabisa na richmond iliyoomba kazi ya kufua umeme nchini;
8: Kwamba richmond ilitoa anwani sawa na ile ya rdevco, lakini ofisi zao zilipotembelea na kamati ya bunge, iligundulika kwamba (rdevco) haikuwahi kufanya shughuli yoyote ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia na kwa maana hiyo haikuwa na ujuzi wala fedha za kuweza kutekeleza kazi hiyo iliyoomba;
9: Kwamba ttb yaani bodi ya zabuni ya tanesco ilikuwa sahihi kabisa kwa kutupilia mbali maombi ya richmond katika kutekeleza kazi hiyo, kwa kuwa haikuwa na uwezo na haikukidhi masharti ya tangazo la zabuni la kazi ya kuzalisha umeme wa dharura wa megawati 100;
10: Kwamba wizara ya niashati na madini iliishinikiza ttb na bodi ya tanesco kuvunja sheria kwa kupunguza siku za kutangaza zabuni kutoka 45 hadi 20; lakini utarartibu unaokubalika na ppa wa ama kutafuta kampuni ya kimataifa (international shopping au single sourcing) ukiwekwa kando, kwa kuwa katika utaratibu huu tanesco ingewajibika kutafuta kampuni yenye historia ya kufanya kazi ya kuzalisha umeme wa dharura ambayo richmond moja kwa moja isingefikiriwa kwa kuwa ilikwisha kujuliakana haina uwezo;
11: Wizara ya nishati na madini ililazimisha tanesco na bodi ya tanesco ibadili zabuni iliyokataliwa yaani richmond kuwa iliyokubaliwa licha ya kuwepo kwa vigezo vya dhahiri kabisa, kitaalam na uwezo wa fedha, ambavyo vilikuwa vimekwisha kumweka kando richmond; kwa kufanya hivyo sheria ya ppa ilivunjwa;
12: Kwamba kamati iliyoundwa na wizara ya nishati na madini kushughulikia zabuni ya richmond, haikuwa na mamlaka ya kufanya kazi hiyo, ilivunja sheria ya ppa hata kama ilikuwa imechukua wataalam kutoka tanesco na wizarani.
13: Kwamba kamati hiyo, yaani ya wizara, ilifanya mchakato wa zabuni wa kufufua umeme wa megawati 100 ambao ushindi alipewa richmond, kwa kutumia nyaraka ambazo bodi ya zabuni ya tanesco ilikwisha kuzifuta kwa kuwa richmond ilishindwa kutumiza matakwa ya tangazo la zabuni;
14: Kwamba richmond aliruhusiwa kuwasilisha nyaraka nyingine za ziada kwenye kamati ya wizara, ambazo hazikuwa kwenye zabuni iliyotangazwa februari 27, 2006 na kisha richmond ikashindwa; kwa kifupi kulikuwa na utaratibu wa makusudi wa kuhakikisha richmond inashinda;
15: Kwamba wakati richmond ilisajili jina la rdevco llc machi 2008 hii ilikuwa ni baada ya matukio mawili, kwanza baada ya kuwa imekwisha kuingia mkataba na tanesco juni 23, 2006 kwa bosi wa tanesco kutishwa ili asaini, lakini pia baada ya dowans kuwa amekwisha kuchukua mkataba huo; lakini pia jina hilo halikusajiliwa kwenye mkataba wa kuzalisha umeme wa dharura uliofikiwa juni 23, 2006.
16: Kwamba mamlaka ya manunuzi ya umma (ppra) ilithibitisha pasi na shaka yoyote kwamba mchakato wa ufungaji wa mkataba wa richmond na tanesco ulikiuka sheria ya manunuzi ya umma;
KWA USHAURI WANGU,SERIKALI IWALIPE DOWANS HIZO BILLION LAKINI SASA IRUDI KWA KINA KARAMAGI NA WENGINE WOTE WALIOHUSIKA KUIRUBUNI TANESCO WAKAMATWE,WAFILISIWE NA WAWEKWE NDANI HUU UWE MFANO.
angalizo
Hujacomment kuhusu hili unless uongo ruksa ICC:
Who really owns Dowans?
Joint Report (The East Africa)Cancel
Bottom of Form
Monday, January 31 2011 at 00:00
Powerful businessman and ruling party MP for Igunga in Tabora, Rostam Aziz, is to be a beneficiary in the Dowans Tanzania award.
According to the proceedings from the International Court of Arbitration of the International Chamber of Commerce also known as the International Commercial Court (ICC), which recently awarded Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania $65 million as compensation for breach of contract by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco), Mr Aziz was appointed Dowans attorney-in-fact as far back as 2005 to manage the companys affairs outside the Republic of Costa Rica.
According to the resolutions of the Dowans Holdings board of directors, two directors of the company, Bernal Zamora Arce and Noemy del Carmen Cespedes Palma, granted in the name and on behalf of the company, a power of attorney in favour of Mr Aziz.
Powers granted to Mr Aziz include: To transact, manage, carry on and do all and every business matters and things requisite and necessary or in any manner connected with or having reference to the business and affairs of the company and, for such purposes, to conduct all correspondences appertaining to such businesses and affairs.
The directors further granted Mr Aziz the power to open and to close bank accounts... and to draw cheques on our accounts... and to sign all kinds of documents in connection with our accounts or money, read part of the resolutions signed by the firms secretary, Mrs Palma.
It goes further to give Mr Aziz, the immediate former CCM treasurer and shareholder in the short lived RVR Rail Consortium that brought together Kenya and Uganda railways, the power to pay, settle, deduct and allow all taxes, rates, charges, deductions, expenses and all other payments and outgoings whatsoever due and payable or to become due and payable for or on account of any property, whether movable or immovable and whether in possession or in action, now or hereafter belonging to us or to which we may become entitled.
Mr Aziz has consistently denied having any links to the Richmond company that was involved in the scandal that saw former prime minister Edward Lowassa resign his post (see Box). Dowans is the successor company to Richmond.
According to documents tabled in the arbitration proceedings, which The EastAfrican has seen, one Mr Gire, a cofounder of Richmond (REDVCO) who faces a court case in Tanzania over the same issue, is said to have told the ICC that the owner of the company is Mr Aziz.
The ICC was told Mr Aziz was such a powerful and influential individual that some laws were amended in his favour. The Richmond scandal was the subject of a Parliamentary probe that led to the resignation of the Mr Lowassa.
According to the report of the proceedings, the ICC accepted the finding that Mr Aziz was so powerful and influential as to have diverted the contract to the claimant, Dowans, outside the Public Procurement Act.
The contract went to favour his friends and himself through the claimant and to have influenced the MEM (Ministry of Energy and Minerals) to force Tanescos Mr Hans Lottering to sign the POA (agreement for emergence power supply).
Mr Lottering testified before the ICC that he was told that something would happen to him if he did not sign the POA. He was formerly Tanescos general manager-transmission under Net Group Solutions of South Africa.
The evidence presented before the Tribunal shows the involvement of Mr Aziz in getting the whole procurement out of the PPA and diverting the lucrative contract to a business of him and his business friend derived from the testimony of Henry Surtee.
The Tribunal accepted the testimony of Mr Lottering that, even using the international tendering (open tender method) which is the most inefficient and the longest method, if not interfered with, Tanesco would have procured the POA more efficiently and within a much shorter period than the period of 18 months that the Ministry of Energy and Minerals took to procure POA through the committee formed outside the law.
Last week, Minister for Energy and Minerals William Ngeleja named the owners of Dowans Tanzania as Dowans Holdings S.A and Portek Systems and Equipment PTE Ltd.
Dowans wanapaswa kuwabana richmondi, kwa kuwa richmondi iliingia mkataba nao bila kumuhusisha mdau wa pili yaani tanesco, bila shaka mkataba ambao TANESCO iliingia na dowans ni mkataba batili na wa kulipa siyo tanesco bali richmondi
KWA USHAURI WANGU,SERIKALI IWALIPE DOWANS HIZO BILLION LAKINI SASA IRUDI KWA KINA KARAMAGI NA WENGINE WOTE WALIOHUSIKA KUIRUBUNI TANESCO WAKAMATWE,WAFILISIWE NA WAWEKWE NDANI HUU UWE MFANO.
angalizo
Hujacomment kuhusu hili unless uongo ruksa ICC:
Who really owns Dowans?
Joint Report (The East Africa)Cancel
Bottom of Form
Monday, January 31 2011 at 00:00
Powerful businessman and ruling party MP for Igunga in Tabora, Rostam Aziz, is to be a beneficiary in the Dowans Tanzania award.
According to the proceedings from the International Court of Arbitration of the International Chamber of Commerce also known as the International Commercial Court (ICC), which recently awarded Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania $65 million as compensation for breach of contract by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco), Mr Aziz was appointed Dowans' attorney-in-fact as far back as 2005 "to manage the company's affairs outside the Republic of Costa Rica."
According to the resolutions of the Dowans Holdings board of directors, two directors of the company, Bernal Zamora Arce and Noemy del Carmen Cespedes Palma, granted in the name and on behalf of the company, a power of attorney in favour of Mr Aziz.
Powers granted to Mr Aziz include: "To transact, manage, carry on and do all and every business matters and things requisite and necessary or in any manner connected with or having reference to the business and affairs of the company and, for such purposes, to conduct all correspondences appertaining to such businesses and affairs."
The directors further granted Mr Aziz the power "to open and to close bank accounts... and to draw cheques on our accounts... and to sign all kinds of documents in connection with our accounts or money," read part of the resolutions signed by the firm's secretary, Mrs Palma.
It goes further to give Mr Aziz, the immediate former CCM treasurer and shareholder in the short lived RVR Rail Consortium that brought together Kenya and Uganda railways, the power to "pay, settle, deduct and allow all taxes, rates, charges, deductions, expenses and all other payments and outgoings whatsoever due and payable or to become due and payable for or on account of any property, whether movable or immovable and whether in possession or in action, now or hereafter belonging to us or to which we may become entitled."
Mr Aziz has consistently denied having any links to the Richmond company that was involved in the scandal that saw former prime minister Edward Lowassa resign his post (see Box). Dowans is the successor company to Richmond.
According to documents tabled in the arbitration proceedings, which The EastAfrican has seen, one Mr Gire, a cofounder of Richmond (REDVCO) who faces a court case in Tanzania over the same issue, is said to have told the ICC that the owner of the company is Mr Aziz.
The ICC was told Mr Aziz was such a "powerful and influential" individual that some laws were amended in his favour. The Richmond scandal was the subject of a Parliamentary probe that led to the resignation of the Mr Lowassa.
According to the report of the proceedings, the ICC accepted the finding that Mr Aziz was so "powerful and influential" as to have diverted the contract to the claimant, Dowans, outside the Public Procurement Act.
The contract went to favour "his friends and himself through the claimant and to have influenced the MEM (Ministry of Energy and Minerals) to force Tanesco's Mr Hans Lottering to sign the POA (agreement for emergence power supply)."
Mr Lottering testified before the ICC that he was told that "something would happen" to him if he did not sign the POA. He was formerly Tanesco's general manager-transmission under Net Group Solutions of South Africa.
The evidence presented before the Tribunal shows the involvement of Mr Aziz in getting the whole procurement out of the PPA and diverting the lucrative contract to a "business of him and his business friend" derived from the testimony of Henry Surtee.
The Tribunal accepted the testimony of Mr Lottering that, "even using the international tendering (open tender method) which is the most inefficient and the longest method, if not interfered with, Tanesco would have procured the POA more efficiently and within a much shorter period than the period of 18 months that the Ministry of Energy and Minerals took to procure POA through the committee formed outside the law."
Last week, Minister for Energy and Minerals William Ngeleja named the owners of Dowans Tanzania as Dowans Holdings S.A and Portek Systems and Equipment PTE Ltd.
HAYA NI MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI NDIO MAANA NASEMA KWANZA WALIPWE PILI WOTE WALIOIHUJUMU TANESCO WACHUKULIWE HATUA
WAPO WALIOENDA KUTOA USHAHIDI KINA Dr IDRISA NA MZEE KAAZAURA HAO WALISHINDWA KUSEMA UKWELI JUU YA ROSTAM AZOZ NA DOWANS?WAPO KINA KARAMAGI AMBAO WALIPIGA SIMU WAKIWA IRAN NA ROSTAM KUWA TANESCO WAINGIE MKATABA NA DOWANS HAO WOTE WATASHUGHULIKIWA BAADAE
SHERIA ZA MIKATABA YA KIMATAIFA ""PERFOMANCE NI MUHIMU SANA""
NA DOWANS WALIDELIVER NA TANESCO WAKAPOKEA NA KUTUUZIA UMEME WA DOWANS KWA BEI YA JUU TENA MBAYA ZAIDI KWA MGAO
KULIPWA WATALIPWA TUSEME TUSEMAVYO ILA KUWASHUGHULIKIA WEZI NI KAZI YETU TUKIAMUA
Pole sana ila tukichelewa hawa ICC wana haki ya kuatach mali zetu kokote ulimwenguni na hii itakuwa mbaya zaidi kwani;
Kwanza tutalipa bila kupenda
Pili tutalipa na riba kubwa
Tatu-tutalipa na gharama zote za usumbufu na utaratibu
Nne-Tutakuwa tumechafua jina la nchi yetu kote ulimwenguni
Mwisho-Tutaweka rekodi mbaya ICC na hatutashinda kesi yoyote pale kwani THIS WILL BE TAKEN AS THE COURT PRECEDENT
SERIKALI WALIPENI DOWANS HARAKA ILA CHUKUENI HATUA ZA KINIDHAMU JUU YA WOTE WALIOIPOTOSHA TANESCO
Hebu angalia hii kitu kutoka Thread ya Mwanakijiji ndo labda utaelewa ninasema nini.SOMA RIPOTI YA MWAKYEMBE USIKURUPUKE;DOWANS NA TANESCO WALIINGIA MKATABA HALALI
Kamati Teule haikufanikiwa kupata majibu ya Citibank ila iliambiwa kulikuwa na shinikizo toka Wizarani kuwa viongozi wa Wizara kama kawaida yao waliishinikiza TANESCO kukubaliana na ombi la Richmond Development Company LLC la kuhamisha mkataba. Ni kutokana na hilo tarehe 21 Disemba, 2006 TANESCO ikaiandikia kampuni ya Richmond kukubali uhaulishaji wa mkataba huo kwenda kwa Dowans kwa barua yenye SEC. 388/12/206 ambapo pamoja na mambo mengine ilitaka ipate hati ya uthibitisho kutoka Dowans Holdings, S.A ya kuridhia uwajibikaji kamilifu katika kutekeleza Mkataba wa tarehe 23 Juni, 2006, kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC.
Hivyo tarehe 23 Disemba 2006 Mkataba ukaingiwa kati ya TANESCO na Dowans S.A ambao ulikuwa ni kuhamishia mkataba kati ya TANESCO na Richmond kwenda kwa Dowans Holdings S.A.
No way out the payment must be DONE! Ila kama alivosema mtoa mada waliohusika kutuingiza katika hii Mess waadhibiwe...
Ah ah, son of soil , umetumwa uje upige debe au? kulipa hatulipi na pia waliotuingiza mkenge tunawashughulikia. Kama noma na iwe noma.
Wenzetu wa West Africa esp Ghana wana utaratibu kuwa mtu akifa basi hawaziki kwa haraka mpaka wahakikishe ya kwamba familia anayoiacha marehemu i salama (basi kama ni nyumba itajengwa na watoto watatafutiwa fedha za kusomea, kula nk). Wanafanya hivyo makusudi kuwa mara tu utakapo harakisha kumzika marehemu ni kawaida ya wanadamu kusahau kila kitu instantly. Bearing this in mind I think it is not right to hasten Dowans payment until we're sure beyond reasonable doubts that every single truth has been unearthed. If and only if we get our facts right then we can pay or not pay Dowans and hang responsible culprits. Nothing more nothing less.No way out the payment must be DONE! Ila kama alivosema mtoa mada waliohusika kutuingiza katika hii Mess waadhibiwe...
BAADA YA KUUPITIA VIZURI MKATABA WA TANESCO NA RICHMOND WA JUNE 2006,NA BAADAE NIKAUPITIA MKATABA WA DOWANS NA TANESCO WA DECEMBER 2006,PAMOJA NA MADUDU YOTE AMBAYO RICHMOND WALIYAFANYA DHIDI YA TANESCO BADO KULIKUWA NA CONCERT YA WAZIRI NA SERIKALI HATA KAMA TUNASEMA RICHMOND WALIHAMISHA MKATABA KWENDA DOWANS BILA KUWAELEZA TANESCO SI KWELI KWANI WAZIRI KARAMAGI ALIKUBALIANA NA RICHMOND.
JAMBO LA PILI NA MUHIMU NI KWAMBA NIMEPITIA HUKUMU YA ICC KWA MAPANA YAEK NA KIPENGLE KIMOJA AMBACHO WAAMUZI WA ICC WANAKISHIKIA BANGO NI KUWA DOWANS WALIPERFOM NA TANESCO WALIPOKEA UMEME WA DOWANS
HILI NI LA MUHIMU NA WATANZANIA WANATAKIWA KUJUA HATA KAMA MKATABA WA TANESCO NA DOWANS ULIKUWA SIO HALALI BADO UNAWISHWA KUWA HALALI KWA SABABU YA TANESCO KUPOKEA UMEME WA DOWANS KAMA TANESCO WASINGLIPOKEA UMEME WA DOWANS BASI MKATABA UNGEKUWA BATILI ,LAKINI AS LONG AS THE DOWANS PERFOMED AND TANESCO RECEIVED THOSE WHETHER ONE OR HUNDRED MEGAWATS ,MAANA YAKE NI KUWA KULIKUWA NA MKATABA HALALI NA TANESCO KUUVUNJA ILIKUWA NI BATILI
Cha kufanya
KWA USHAURI WANGU,SERIKALI IWALIPE DOWANS HIZO BILLION LAKINI SASA IRUDI KWA KINA KARAMAGI NA WENGINE WOTE WALIOHUSIKA KUIRUBUNI TANESCO WAKAMATWE,WAFILISIWE NA WAWEKWE NDANI HUU UWE MFANO.
angalizo
KAMA TANESCO NA SERIKALI YETU IKIKATAA KUWALIPA DOWANS,BALOZI ZETU NJE YA NCHI ZITAKUWA ATACHED NA MWISHO WA SIKU TUTAWALIPA KWA RIBA KUBWA SANA,
Watanzania,
MSIOGOPE KUWALIPA DOWANS BILION 94,HAO DOWANS WAMESHALIPWA ZAIDI YA BILIONI 172 MPAKA SASA KWA AJILI YA MITAMBO WALIYOINUNUA KWA SHILINGI BILIONI 60,NCHI HII INA HELA NYINGI SANA KAZI YETU TUNATAKIWA KUWADHIBITI WALE WANAOTUMIA FEDHA ZETU VIBAYA.