Duh aisee pia nimesikia huyu mzee hiv punde, kwa kifupi dovutwa anapelekeshwa na njaa tu km umemsikia anadai pia chama chao kipewe ruzuku, halafu ajajibu hoja alizoulizwa, japo mtangazaji pia yuko sharo maana alipaswa kumbana aweze kujibu ni aidha kakimbia swali au hajui kabisa kinachoendelea.
Mimi mambo 4 ambayo yananifanya nipigie kura ya hapana ni haya
1. vipindi vya mbunge kukaa madarakani kutokuwa na kikomo
2. kitendo cha wabunge wa zanzibar kuja kutunga katiba inayohusu mambo ya tanganyika
3. viongozi kuweka pesa nje ya nchi
4. elimu ya mbunge nalo ni balaa
kuturaghai kwamba haki za kila kundi zimewekwa halina maana,