Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,979
- 3,097
Huyo mzee hajielewi kabisa, aendelee kucheza bao tu, siasa wala haina mashiko nae hata kidogo.
Huyu ni mwanachama wa ccm aliyeko upinzani kuwazuga wasiojitambua!
wakuu
Namsililiza hapa huyu aliyekuwa Mjumbe wa bunge la katiba na mwenyekiti wa UPDP Fahami Dovutwa katika kipindi cha hotmix cha EATV
licha ya kuwa mtangazaji hana uelewa mzuri wa katiba lakini maswali yote anayoulizwa mzee wetu Dovutwa hajibu sanasana tu na yeye anamuuliza maswali tena mtangazaji
na jibu lake kubwa kwenye karibia kila swali anajibu"Tumeondoa ubaguzi alioupandikiza warioba na tume yake"
lakini kilichonishangaza zaidi ni mzee wetu kuulizwa swali na mtangazaji kuwa "kama wabunge wote wakichaguliwa hawana elimu na katiba pendekezwa inataka mbunge awe waziri na waziri lazima awe na degree itakuwaje" mzee wangu dovutwa akaishia kusema embu mtafute Mama mery amesoma sana kuliko tume yote ya warioba anaweza kukujibu....
mimi nimeshindwa kumuelewa huyu mzee anamatatizo gani ya Akili???
hivi kweli huyu ndiye aliyegombea urais 2010 ..!! Na kuna wananchi wakampigia kura....??
Mwisho wa mjadala akasema atakayetaka kugombea urais kwenye "Genge"lake la UPDP atakuwa ADUI wake wa kudumu kwakua anamzuia yeye kwenda ikulu
kwakweli kama bunge letu "Tukufu"la katiba lilishesheni vihiyo kama hawa Tusitegemee chochote cha maana kutoka kwenye katiba iliyopendekezwa...
.........
Umepoteza pia muda wako kwa kumsikiliza...(?)
Huyu jamaa saa hii sijui anaongea utumboo gani. Mpuuzi sana!
Hata mie nimemshangaa jamaa. Huwezi kupoteza muda kumsikiliza Fahmi Dovutwa