Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,787
- 45,248
Ukifuatilia na historia ya agent Gardo(Garcia) utaona alivyokua risk taker.Huyu aliyejitoa mhanga ndio katisha ana roho ngumu
Huyu ndiye alikua muarobaini wa Hitler kwa kutumia fake infos na fake under-agents takribani 27.
Jamaa alifanikiwa kuwapa wajerumani habari za waingereza za kufikirika bila kuwepo Uingereza wala kuwa na mtu wa kumpa habari.
Pia hoja aliyoitumia kukubaliwa MI5 ilikua ya kubuni pia.
The fun thing is hata baada ya wajerumani kupoteza vita, jamaa alitunukiwa medali the iron-cross.