Doto Bulendu ulistahili tuzo

Doto Bulendu ulistahili tuzo

Mlipokosa UDSM na MZUMBE Ndio mkakimbilia huko SAUT.huko mlipelekwa tu kwa kuwa uwezo wa kuingia UDSM na MZUMBE hamkua nao..hili hata baba yako analijua.

Vyuo Wanafunzi Mmejazana Utadhani TAKATAKA Za Dampo La Pugu Halafu Wahadhiri Wenu Wanafundisha Kwa Vile Vipaza Sauti Vya Wauza Mitumba Pale MCHIKICHINI Ilala. Kama Ndiyo Hivi Basi Ni Kweli Hivyo Vyuo Vyako Tajwa Vinastahili Kuwa Bora!
 
Eti "hakuna kama SAUT"(huku unabana pua) mahaba yako kwa SAUT ni makubwa sana kijana,ila najua unajitibu kisaikolojia tu,coz naimani ulipata kuwa na malengo ya kusoma vyuo vikuu vya Tz like UDSM,MZUMBE,au SUA lakini marks zako hazikutosha,that's why ukaenda chuo tunachokiita KIMBILIO LA WALIOFELI,haiingii akilini kusimama then your just mentioning SAUT as the best,ni upuuzi tu......!,mkuu nafanya Kazi mahala fulani(among the most reputable institution ktk nchi yako hii) sijawahi iona product ya SAUT hapa,so funga hilo bakuri lako,na usichangie chochote ktk Uzi Huu tena,maana unakera!

Hivi Ktk Tanzania Ya Leo Kuna " The Most Reputable Institution " ? Ni Ipi Hiyo Hebu Naomba Unitajie Mkuu. Mtanuna Sana Mwaka Huu!
 
Huyu mimi cjamuelewa unatangaza chuo cha Saut!kati ya vyuo vinavyotoa wahitimu dhaifu ni saut,chuo kikuu cha sauti wanafunz wa shahada ya kwanza wanafundishana,kwan walimu wote ni tutorial assistant,walimu wa saut hawajui hata kuandaa zana za kufundishia.

Kama Hujanielewa Sasa Ndiyo Utanielewa Vizuri Kwa Hoja Zangu ILA Ukweli Ni Kwamba SAUT Is On Fire Academically UTAKE USITAKE.
 
Wa UDSM, MZUMBE, TUMAINI Na Kwingineko Hawafanyi Hivyo? Hata Dada Zako Tu Na Wao Wanashuti Picha Za Uchi Mbona Husemi? Huyo Huyo Nsia Swai Nimesoma Nae Darasa Moja BAMC 2006 - 2009 Na Kilichomtokea Dada Yetu Ni Bahati Mbaya Sana Kwani Zile Picha Alipigwa Na Boyfriend Wake Na Alipopeleka Simu Yake Kwa Fundi Simu Pale Mwanza Mjini Kwa Fundi Opposite Na Mwanza Hotel Ndipo Yule Fundi Akazinyonya Kisha Akaomba Mchezo Kwa Nsia Na Yeye Akamtolea Mbavuni Ndipo Huyo Fundi Akaamua Kumkomoa Na Kuzituma BAMAGA Kituoni Kwa Nyuma Ili Zianze Kutolewa Na Kumchafua Dada Yetu. Ninachofurahi Tu Ni Kwamba Hata Darasani Nsia Swai Alikuwa Very Brilliant Na Sasa Ni Mjasiriamali Mkubwa Tu Mwenye Kampuni Kubwa Hapa Tanzania Akishirikiana Na Mdogo Wake Na Inafanya Vizuri Kibiashara Na Sina Uhakika Kama Wewe Unayempiga Majungu Kama Una Hata Hela Ya Kula Usiku Huu Wa Leo. Utaishia Hivyo Hivyo Na Mawazo Yako Ya Kimasikini Na Chuki. Kwahiyo Hapo Suala Ni Nsia au SAUT? Nikiwadharau Mnalalamika.

ulishawahi kuziona hzo picha au unaongea tu km gwajima??!! wanawake wote watatu walokua na Nsia wapigwe picha na boy friend wa Nsia?!! Inakuingia akilini ww?? au unazungumzia picha zipi? SAUT" We build the city Machangu"
 
Wa UDSM, MZUMBE, TUMAINI Na Kwingineko Hawafanyi Hivyo? Hata Dada Zako Tu Na Wao Wanashuti Picha Za Uchi Mbona Husemi? Huyo Huyo Nsia Swai Nimesoma Nae Darasa Moja BAMC 2006 - 2009 Na Kilichomtokea Dada Yetu Ni Bahati Mbaya Sana Kwani Zile Picha Alipigwa Na Boyfriend Wake Na Alipopeleka Simu Yake Kwa Fundi Simu Pale Mwanza Mjini Kwa Fundi Opposite Na Mwanza Hotel Ndipo Yule Fundi Akazinyonya Kisha Akaomba Mchezo Kwa Nsia Na Yeye Akamtolea Mbavuni Ndipo Huyo Fundi Akaamua Kumkomoa Na Kuzituma BAMAGA Kituoni Kwa Nyuma Ili Zianze Kutolewa Na Kumchafua Dada Yetu. Ninachofurahi Tu Ni Kwamba Hata Darasani Nsia Swai Alikuwa Very Brilliant Na Sasa Ni Mjasiriamali Mkubwa Tu Mwenye Kampuni Kubwa Hapa Tanzania Akishirikiana Na Mdogo Wake Na Inafanya Vizuri Kibiashara Na Sina Uhakika Kama Wewe Unayempiga Majungu Kama Una Hata Hela Ya Kula Usiku Huu Wa Leo. Utaishia Hivyo Hivyo Na Mawazo Yako Ya Kimasikini Na Chuki. Kwahiyo Hapo Suala Ni Nsia au SAUT? Nikiwadharau Mnalalamika.
Hakuna sababu ya kuanza kila neno kwa herufi kubwa katika Aya (au Sentensi) kama hilo neno sio Nomino au halipo mwanzo wa sentensi mpya.
 
Hakuna sababu ya kuanza kila neno kwa herufi kubwa katika Aya (au Sentensi) kama hilo neno sio Nomino au halipo mwanzo wa sentensi mpya.

Wewe UTAKUWA Mgeni Humu Na Kwangu Pia Hivyo Sina Muda Mchafu Wa Kupoteza Kujibizana Na Aina Mpya Ya POPOMA Kama Wewe Period!
 
ulishawahi kuziona hzo picha au unaongea tu km gwajima??!! wanawake wote watatu walokua na Nsia wapigwe picha na boy friend wa Nsia?!! Inakuingia akilini ww?? au unazungumzia picha zipi? SAUT" We build the city Machangu"

Ndiyo Matatizo Ya Kutoroka Milembe. Mkuu Nakuomba Rudi Upesi Milembe Hospital Kwani Kwa UPOPOMA Wako Huu Ndiyo UTACHIZIKA Zaidi.
 
ulishawahi kuziona hzo picha au unaongea tu km gwajima??!! wanawake wote watatu walokua na Nsia wapigwe picha na boy friend wa Nsia?!! Inakuingia akilini ww?? au unazungumzia picha zipi? SAUT" We build the city Machangu"


Hata English hujui.
 
Da SAUT aka kimbilio la division five ndo chuo bora Tanzania ?M kuweni serious nyie alumni wa hako ka chuo ka kata kalikojaa vilaza .Hongera sana Dotto kwa hyo tuzo ila husivimbe kichwa mapambano bado ndo yanaanza pingeni huu mswada wa takwimu na habari ili JK asiusaign coz itakuwa impact kubwa kwa waandishi wa kutumia takwimu kama nyinyi
 
Daaaah kabisa huyu jamaa ni mkali kichwa iko vizuri kaka Bulendu keep it up!!
 
Eti "hakuna kama SAUT"(huku unabana pua) mahaba yako kwa SAUT ni makubwa sana kijana,ila najua unajitibu kisaikolojia tu,coz naimani ulipata kuwa na malengo ya kusoma vyuo vikuu vya Tz like UDSM,MZUMBE,au SUA lakini marks zako hazikutosha,that's why ukaenda chuo tunachokiita KIMBILIO LA WALIOFELI,haiingii akilini kusimama then your just mentioning SAUT as the best,ni upuuzi tu......!,mkuu nafanya Kazi mahala fulani(among the most reputable institution ktk nchi yako hii) sijawahi iona product ya SAUT hapa,so funga hilo bakuri lako,na usichangie chochote ktk Uzi Huu tena,maana unakera!
Mkuu umegonga muulemule (isome kwa kuvuta)!! Nilibahatiwa kufanya kazi na product za SAUT (eti navyo vinatamba vimesoma sociology - shenzy type kabisa), yaani mkuu ilikuwa ni majanga, watu wanahitaji kusimamiwa kila kitu, hata kuendesha mikutano na wanakijiji tu ilikuwa shida yaani mpaka uwepo! Vingnevyo unakuta mambo yalishaharibika!!

Kwa ufupi ni kwamba, SAUT bado kuna safari ndefu sana kujiringanisha na vyuo vile vikubwa (hapa namaanisha UDSM, SUA, Mzumbe) labda wajiringanishe na St. John, SEKUCO, ARU
 
Mimi napenda sana staili yake ya maswali anapomsaili mgeni kwenye studio. Staili yake ya maswali na mkao wake vinafanana sana na mtangazaji wa bbc aitwaye Steven Sucker kwenye kipindi cha HardTalk.

Namkubali sana kwa uwezo wake wa kuuliza maswali sahihi na kwa wakati mwafaka na namna fulani anavyojaribu kubalance hoja endapo wageni wake ni watu wawili wenye mitazamo tofauti. Anahakikisha pande zote wanakitendea haki kipindi chake. Kudo Bulendu. Siombei aende ulaya kama wengine mie ningefurahi endapo atakuwa amechoka kuwa hewani arudi darasani akafundishe kama tutorial assistant huku akipiga elimu ya juu for sure hana PhD. Akiwa mwalimu atazalisha madoto wengi zaidi kulikoni kwenda huko ulaya.
 
Ukweli vipindi vya star Dotto na Kamuntu vya maswali wako fit hawapendelei ukikwepa jibu anarudia kwa njia ya aina yake bigup
 
Back
Top Bottom