Haaa!Huu uzi naona ni mahsusi kwa waliosoma St. Mtakatifu Academy International Schools...
Tuliosima Mtakuja Primary School ngoja tukaweke kambi jukwaa la wakubwa
Huu uzi naona ni mahsusi kwa waliosoma St. Mtakatifu Academy International Schools...
Tuliosima Mtakuja Primary School ngoja tukaweke kambi jukwaa la wakubwa
Khaaaa mbona dada angu unampenda vilevile alivyo ngoja niscreenshot nimtumieBinafsi sipendi, yaani tena sipendi kabisa. Liwe ziwa tena ziwa haswa, yani ukishika ile pair you run nuts kidogo, that's what I like. Ila hatufanani binadamu, wapo wanaopenda hao wenye kifua flat na tyako lisilojaa kiganja, wapo wengi tu.
Teh, acha uchonganishi shunie, BTW sijamuona mda sana nadhani wakware wameshafanya yao...Khaaaa mbona dada angu unampenda vilevile alivyo ngoja niscreenshot nimtumie
Teh, acha uchonganishi shunie, BTW sijamuona mda sana nadhani wakware wameshafanya yao...
Khe, ametendwa nini tena hataki hata kupasikia huku?Hapana huku hataki ata kupasikia kabaki kenya talk
Khe, ametendwa nini tena hataki hata kupasikia huku?
Huu Uzi nasoma comments tuAliyesoma anitafsilie...
Sometimes senseless can be sense!It makes sense
Da' Wema SepetuWanakatwa utumbo nowdays.
Aliyesoma anitafsilie...
kichwa cha habari tuu kwangu chengaa
anaejua kimalkia anisaidiee
Nimetamani kuelewa ila Kikoloni kimenishinda
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app