vukani
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 245
- 165
Wakati mungu alipomaliza kazi ya uumbaji wake alimpa Malaika ndoo yenye maji matamu ili amwagie baadhi ya matunda ambayo alimuorodheshea, kama vile matufaa, machungwa, maembe, mananasi, nakadhalika ili yawe matamu.
Malaika yule alitii amri mara moja na kwenda kufanya kazi hiyo, na baada ya muda alirudi na kumwambia Mungu kuwa amekamilisha kazi hiyo lakini maji yamebaki.
Mungu akamuuliza yamebaki kiasi gani? Malaika akamjibu kuwa yamebaki kama robo tatu ya ndoo, Mungu akamwambia,
hayo yote yaliyobaki nenda kayamwage kwa mwanamke
Dont ask me why women are so sweet
Malaika yule alitii amri mara moja na kwenda kufanya kazi hiyo, na baada ya muda alirudi na kumwambia Mungu kuwa amekamilisha kazi hiyo lakini maji yamebaki.
Mungu akamuuliza yamebaki kiasi gani? Malaika akamjibu kuwa yamebaki kama robo tatu ya ndoo, Mungu akamwambia,
hayo yote yaliyobaki nenda kayamwage kwa mwanamke
Dont ask me why women are so sweet