Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Yaani nikama uliingia kwa kichwa changu.Hawa wazungu wanatudharau sababu tuna kila aina ya Mali,kuanzia Madini mpaka wanyama,lakini viongozi wetu hawaishi na bakuli kwenda kuomba,hakuna kitu kinaudhi kama kuomba,na wakisha omba zinaishia kweny account zao ughaibuni,ati wamelipana DSA (Perdiem )nk.Safari za semina na mialiko ya siku zakuzaliwaza viongozi wa huko UGHAIBUNI,wataondokana ndege iliyoshenani wanaowaita wawekezaji au Wafanya biashara,na hapo ndipopesa ya mfadhili imeisha.
Halafu kuna Mabogi benda humu ndani wanatetea eti bila kuomba Watanzania tutakufa,sasa hawa wametunyima pesa zao na bado tunadunda ila walioathirika ni wale ESCROW ACCOUNT members.
Wakikaza zaidi watapata akili ya kudai hizo kodi wanazosamehe hayo makampuni makubwa./