Donors weigh CAG, PAC reports

Donors weigh CAG, PAC reports

Yaani nikama uliingia kwa kichwa changu.Hawa wazungu wanatudharau sababu tuna kila aina ya Mali,kuanzia Madini mpaka wanyama,lakini viongozi wetu hawaishi na bakuli kwenda kuomba,hakuna kitu kinaudhi kama kuomba,na wakisha omba zinaishia kweny account zao ughaibuni,ati wamelipana DSA (Perdiem )nk.Safari za semina na mialiko ya siku zakuzaliwaza viongozi wa huko UGHAIBUNI,wataondokana ndege iliyoshenani wanaowaita wawekezaji au Wafanya biashara,na hapo ndipopesa ya mfadhili imeisha.

Halafu kuna Mabogi benda humu ndani wanatetea eti bila kuomba Watanzania tutakufa,sasa hawa wametunyima pesa zao na bado tunadunda ila walioathirika ni wale ESCROW ACCOUNT members.

Wakikaza zaidi watapata akili ya kudai hizo kodi wanazosamehe hayo makampuni makubwa./
 
Suppose the new CAG comes out with different findings? What will be the effect?

Assad who has been appointed the new CAG,stated on the day he was sworn in that his first assignment on ascending to the post will be to review the escrow account findings of his predecessor!! Implicit in his statement is that the outgoing CAG might have made mistakes in his findings something that seems to be strange for someone to say on one's predecessor's findings. One can correctly conclude that the gentleman was appointed to the CAG post with clear instructions to go and clear the escrow account culprits; let us wait and see what Assad will conjure in his first assignment to prove our fears wrong!!
 
Very true Mkuu.

Fikirikwanza, you know, people like East African Eagle a.k.a crow, do not have brains to think. They just swallow propaganda bait, line and sinker. People with brains know that if it were not for the donors withholding their money, the thieves of CCM would never even have acknowledged the existence of this scandal, let alone allow it in the parliament. It is because of the people like this crow, that the likes of Kikwete rule Tanzania now, criss-crossing the world on our ticket. You will find that our friend, the crow, has not even got decent shoes in the land of the Tanzanite. Worse, he does not know why is that!
 
Wakikaza zaidi watapata akili ya kudai hizo kodi wanazosamehe hayo makampuni makubwa./

Inabidi kupeleka ujumbe kwa mwenyekiti wa hawa donors ambaye ni EU,akina Zitto wanatakiwa kulifanya hili mapema sana.
 
Back
Top Bottom