SoC02 Dondoo kuhusu Forex kwa wasioijua kabisa

Stories of Change - 2022 Competition

GoJeVa

Member
Sep 15, 2021
41
60
DONDOO KUHUSU FOREX KWA WASIOIJUA KABISA.

Katika andiko hili, kwanza kabisa inabidi tujue maana ya Forex. Je, Forex ni nini?


Forex ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Neno ‘FOREX’ ni kifupisho cha maneno mawili ambayo ni ‘FOR’ ikimaanisha Foreign na ‘EX’ yaani Exchange. Forex ni biashara halali inayoweza kufanywa na mtu yeyote, ilimradi mtu huyo akubali kujifunza kuhusu soko hilo la forex.

Swali la pili tunalopaswa kujiuliza ni kuwa katika soko la forex Je, ni bidhaa gani au ni nini huwa kinafanyiwa biashara?

Katika hii biashara ya forex, fedha ndio kitu kinachofanyiwa biashara. Hivyo ili kufanya biashara hii ni lazima uwe na fedha ambayo ndio huitajika katika mzunguko wa soko hili la forex. Unapofanya biashara hii, huwa unauza sarafu moja na kununua nyingine, au unanunua sarafu moja na kuuza nyingine. Sarafu huuzwa kupitia dalali au mchuuzi (Broker), na huuzwa na kununuliwa katika jozi(pair) mfano euro na dola ya marekani(EUR/USD) au paundi ya kiingereza na yen ya kijapani(GBP/JPY).

Tofauti na masoko mengine ya kifedha kama Soko la Hisa la New York, Soko la Forex halina eneo la kawaida au eneo linaloonekana kama masoko ya kawaida. Soko la forex linafanyikia mtandaoni na hufanyika kwa masaa ishirini na nne(24). Hivyo ili kufanya biashara hii, unahitaji kompyuta, kasi nzuri ya mtandao na mafunzo yanayojitosheleza juu ya hii biashara ya forex.

Katika soko la forex, fedha au sarafu maarufu zinazofanyiwa biashara kwa kiasi kikubwa ni kama ifuatavyo;

ALAMA YA SARAFUNCHI YENYE SARAFU JINA LA SARAFUJINA LINGINE
USDUnited StatesDollarBuck
EUREuro membersEuroFiber
JPYJapanYenYen
GBPGreat BritainPoundCable
CHFSwitzerlandFrancSwissy
CADCanadaDollarLoonie
AUDAustraliaDollarAussie
NZDNew ZealandDollarKiwi
*Sarafu katika soko la forex, mara nyingi huwa na herufi tatu. Herufi mbili za kwanza huonesha jina la nchi la sarafu na herufi ya tatu huonesha jina la sarafu husika.



SIKU NA MUDA MZURI WA KUFANYA BIASHARA YA FOREX KULINGANA NA MASAA NA NCHI HUSIKA.

Soko la forex huwa wazi na kufanya kazi kwa masaa 24, ila kutokana na utofauti wa masaa kutoka nchi moja na nyingine inabidi kujua muda mzuri wa kuingia sokoni kutokana na sarafu na nchi husika.Pia, katika upande siku ipi ni nzuri kwa kufanya biashara ya forex, Yote kwa yote, Jumanne, Jumatano na Alhamisi ndizo siku bora zaidi za biashara ya Forex kwa sababu mzunguko wa sarafu huwa juu na mzuri. Katikati ya wiki, soko la sarafu linaona hatua ya biashara zaidi. Kwa wiki nzima, Jumatatu soko huwa tuli sana, na Ijumaa inaweza kuwa haitabiriki hivyo siku hizi mbili yaani Juma tatu na Ijumaa sio nzuri sana na kama ukifanya biashara siku hizo inabidi kuwa makini zaidi. Hebu tuangalie jedwali hapa chini kwa uelewa zaidi kuhusu masaa ya forex kulingana na nchi;



JINA LA SOKOSARAFU ZA HILO SOKOSOKO KUFUNGUKASOKO KUFUNGA
SOKO LA SYDNEYNZD NA AUD01:00Am(usiku)09:00Am(asubuhi)
SOKO LA TOKYOJPY NA CHF02:00Am(usiku)10:00Am(asubuhi)
SOKO LA LONDONEUR NA GBP10:00Am(asubuhi)06:00Pm(jioni)
SOKO LA NEW YORKUSD NA CAD03:00Pm(alasiri)11:00Pm(usiku)
*Kwa nyongeza ili kufahamu haya masaa kwa ufasaha zaidi tembelea kiunganishi hiki(link), www.forex.timezoneconverter.com



KWA NINI TUFANYE BIASHARA YA HII YA FOREX?

Kwanza kabisa inabidi tufahamu dunia ya sasa ni dunia iliyoendelea sana kisayansi na teknolojia, na sisi kama nchi ambazo zinaendelea inatubidi tufunguke kiakili kukabiliana na mabadiliko yanayotokea ili mwisho wa siku tusije tukabaki gizani wakati nchi zingine zikizidi kupiga hatua za kisayansi na kiteknolojia. Inabidi tujifunze biashara hii, na kwa sasa ni rahisi kupata maarifa juu ya forex kwa sababu unaweza kuingia mtandaoni na kupata maarifa kwa lugha yoyote utakayo, biashara ya forex ina faida nyingi sana na baadhi yake ni kama vile;

1.Hakuna tozo wala kodi unapofanya biashara hii, labda tuu hela itakatwa pale unapoweka au kutoa pesa kwenye akaunti yako ya forex. Ila ukishaweka pesa kwenye akaunti yako hakuna makato yoyote unapofanya biashara hii.

2. Soko la forex la forex lipo wazi kwa masaa 24, iwe asubuhi, mchana, jioni na hata usiku. Hivyo ni rahisi kuchagua muda wa kufanya biashara kulingana na ratiba zako.

3.Kabla ya kufanya biashara baada ya kupata mafunzo, dalali(broker) anakupa akaunti ya majaribio bure(demo akaunti) ambayo utafanyia majaribio na ukiona akaunti ya majaribio imepata faida vizuri hapo unaweza kufungua akaunti halisi kwa ajili ya biashara. Inashauriwa utumie akaunti ya majaribio angalau kwa miezi mitatu kabla haujaanza kutumia akaunti halisi(real account).



AINA ZA UCHAMBUZI KATIKA SOKO LA FOREX.

Katika kuchambua soko la forex ili uweze kufanya biashara vizuri ni lazima ujue aina ya hizi chambuzi. Kuna aina kuu mbili za uchambuzi katika soko la forex ambazo ni Uchambuzi wa kiufundi (Technical analysis) na Uchambuzi wa Msingi (Fundamental analysis).

1.Uchambuzi wa Kiufundi(Technical analysis).

Uchambuzi wa kiufundi ni utafiti wa mwendo wa bei, uchanganuzi wa kiufundi unahusisha kuangalia chati na kulichambua kwa kuzingatia mbinu mbalimbali.



2. Uchambuzi wa Msingi(Fundamental analysis).

Uchambuzi wa kimsingi ni njia ya kuangalia soko kupitia nguvu za kiuchumi, kijamii na kisiasa zinazoathiri usambazaji na mahitaji. Nchi ikiwa na uchumi mzuri na hali nzuri ya kijamii na kisiasa mara nyingi inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa imara. Vivyo hivyo nchi ikiwa na hali mbaya za kiuchumi, kisiasa na kijamii inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa dhaifu.

Hizi ni dondoo chache kuhusu biashara ya forex, na lengo la andiko hili na kuwapa mwanga wale ambao hawajui kabisa kuhusu forex. Ikumbukwe maarifa kama haya juu ya forex yanapatika mitandaoni. Hivyo unaweza kuingia mtandaoni na kupakua vitabu na video mbalimbali ambazo zinafundishi juu ya hii biashara kwa vitendo na kwa lugha yoyote unayotaka.



AHSANTENI.
 
DONDOO KUHUSU FOREX KWA WASIOIJUA KABISA.

Katika andiko hili, kwanza kabisa inabidi tujue maana ya Forex. Je, Forex ni nini?


Forex ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Neno ‘FOREX’ ni kifupisho cha maneno mawili ambayo ni ‘FOR’ ikimaanisha Foreign na ‘EX’ yaani Exchange. Forex ni biashara halali inayoweza kufanywa na mtu yeyote, ilimradi mtu huyo akubali kujifunza kuhusu soko hilo la forex.

Swali la pili tunalopaswa kujiuliza ni kuwa katika soko la forex Je, ni bidhaa gani au ni nini huwa kinafanyiwa biashara?

Katika hii biashara ya forex, fedha ndio kitu kinachofanyiwa biashara. Hivyo ili kufanya biashara hii ni lazima uwe na fedha ambayo ndio huitajika katika mzunguko wa soko hili la forex. Unapofanya biashara hii, huwa unauza sarafu moja na kununua nyingine, au unanunua sarafu moja na kuuza nyingine. Sarafu huuzwa kupitia dalali au mchuuzi (Broker), na huuzwa na kununuliwa katika jozi(pair) mfano euro na dola ya marekani(EUR/USD) au paundi ya kiingereza na yen ya kijapani(GBP/JPY).

Tofauti na masoko mengine ya kifedha kama Soko la Hisa la New York, Soko la Forex halina eneo la kawaida au eneo linaloonekana kama masoko ya kawaida. Soko la forex linafanyikia mtandaoni na hufanyika kwa masaa ishirini na nne(24). Hivyo ili kufanya biashara hii, unahitaji kompyuta, kasi nzuri ya mtandao na mafunzo yanayojitosheleza juu ya hii biashara ya forex.

Katika soko la forex, fedha au sarafu maarufu zinazofanyiwa biashara kwa kiasi kikubwa ni kama ifuatavyo;

ALAMA YA SARAFUNCHI YENYE SARAFU JINA LA SARAFUJINA LINGINE
USDUnited StatesDollarBuck
EUREuro membersEuroFiber
JPYJapanYenYen
GBPGreat BritainPoundCable
CHFSwitzerlandFrancSwissy
CADCanadaDollarLoonie
AUDAustraliaDollarAussie
NZDNew ZealandDollarKiwi
*Sarafu katika soko la forex, mara nyingi huwa na herufi tatu. Herufi mbili za kwanza huonesha jina la nchi la sarafu na herufi ya tatu huonesha jina la sarafu husika.



SIKU NA MUDA MZURI WA KUFANYA BIASHARA YA FOREX KULINGANA NA MASAA NA NCHI HUSIKA.

Soko la forex huwa wazi na kufanya kazi kwa masaa 24, ila kutokana na utofauti wa masaa kutoka nchi moja na nyingine inabidi kujua muda mzuri wa kuingia sokoni kutokana na sarafu na nchi husika.Pia, katika upande siku ipi ni nzuri kwa kufanya biashara ya forex, Yote kwa yote, Jumanne, Jumatano na Alhamisi ndizo siku bora zaidi za biashara ya Forex kwa sababu mzunguko wa sarafu huwa juu na mzuri. Katikati ya wiki, soko la sarafu linaona hatua ya biashara zaidi. Kwa wiki nzima, Jumatatu soko huwa tuli sana, na Ijumaa inaweza kuwa haitabiriki hivyo siku hizi mbili yaani Juma tatu na Ijumaa sio nzuri sana na kama ukifanya biashara siku hizo inabidi kuwa makini zaidi. Hebu tuangalie jedwali hapa chini kwa uelewa zaidi kuhusu masaa ya forex kulingana na nchi;



JINA LA SOKOSARAFU ZA HILO SOKOSOKO KUFUNGUKASOKO KUFUNGA
SOKO LA SYDNEYNZD NA AUD01:00Am(usiku)09:00Am(asubuhi)
SOKO LA TOKYOJPY NA CHF02:00Am(usiku)10:00Am(asubuhi)
SOKO LA LONDONEUR NA GBP10:00Am(asubuhi)06:00Pm(jioni)
SOKO LA NEW YORKUSD NA CAD03:00Pm(alasiri)11:00Pm(usiku)
*Kwa nyongeza ili kufahamu haya masaa kwa ufasaha zaidi tembelea kiunganishi hiki(link), www.forex.timezoneconverter.com



KWA NINI TUFANYE BIASHARA YA HII YA FOREX?

Kwanza kabisa inabidi tufahamu dunia ya sasa ni dunia iliyoendelea sana kisayansi na teknolojia, na sisi kama nchi ambazo zinaendelea inatubidi tufunguke kiakili kukabiliana na mabadiliko yanayotokea ili mwisho wa siku tusije tukabaki gizani wakati nchi zingine zikizidi kupiga hatua za kisayansi na kiteknolojia. Inabidi tujifunze biashara hii, na kwa sasa ni rahisi kupata maarifa juu ya forex kwa sababu unaweza kuingia mtandaoni na kupata maarifa kwa lugha yoyote utakayo, biashara ya forex ina faida nyingi sana na baadhi yake ni kama vile;

1.Hakuna tozo wala kodi unapofanya biashara hii, labda tuu hela itakatwa pale unapoweka au kutoa pesa kwenye akaunti yako ya forex. Ila ukishaweka pesa kwenye akaunti yako hakuna makato yoyote unapofanya biashara hii.

2. Soko la forex la forex lipo wazi kwa masaa 24, iwe asubuhi, mchana, jioni na hata usiku. Hivyo ni rahisi kuchagua muda wa kufanya biashara kulingana na ratiba zako.

3.Kabla ya kufanya biashara baada ya kupata mafunzo, dalali(broker) anakupa akaunti ya majaribio bure(demo akaunti) ambayo utafanyia majaribio na ukiona akaunti ya majaribio imepata faida vizuri hapo unaweza kufungua akaunti halisi kwa ajili ya biashara. Inashauriwa utumie akaunti ya majaribio angalau kwa miezi mitatu kabla haujaanza kutumia akaunti halisi(real account).



AINA ZA UCHAMBUZI KATIKA SOKO LA FOREX.

Katika kuchambua soko la forex ili uweze kufanya biashara vizuri ni lazima ujue aina ya hizi chambuzi. Kuna aina kuu mbili za uchambuzi katika soko la forex ambazo ni Uchambuzi wa kiufundi (Technical analysis) na Uchambuzi wa Msingi (Fundamental analysis).

1.Uchambuzi wa Kiufundi(Technical analysis).

Uchambuzi wa kiufundi ni utafiti wa mwendo wa bei, uchanganuzi wa kiufundi unahusisha kuangalia chati na kulichambua kwa kuzingatia mbinu mbalimbali.



2. Uchambuzi wa Msingi(Fundamental analysis).

Uchambuzi wa kimsingi ni njia ya kuangalia soko kupitia nguvu za kiuchumi, kijamii na kisiasa zinazoathiri usambazaji na mahitaji. Nchi ikiwa na uchumi mzuri na hali nzuri ya kijamii na kisiasa mara nyingi inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa imara. Vivyo hivyo nchi ikiwa na hali mbaya za kiuchumi, kisiasa na kijamii inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa dhaifu.

Hizi ni dondoo chache kuhusu biashara ya forex, na lengo la andiko hili na kuwapa mwanga wale ambao hawajui kabisa kuhusu forex. Ikumbukwe maarifa kama haya juu ya forex yanapatika mitandaoni. Hivyo unaweza kuingia mtandaoni na kupakua vitabu na video mbalimbali ambazo zinafundishi juu ya hii biashara kwa vitendo na kwa lugha yoyote unayotaka.



AHSANTENI.
makala nzur
 
DONDOO KUHUSU FOREX KWA WASIOIJUA KABISA.

Katika andiko hili, kwanza kabisa inabidi tujue maana ya Forex. Je, Forex ni nini?


Forex ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Neno ‘FOREX’ ni kifupisho cha maneno mawili ambayo ni ‘FOR’ ikimaanisha Foreign na ‘EX’ yaani Exchange. Forex ni biashara halali inayoweza kufanywa na mtu yeyote, ilimradi mtu huyo akubali kujifunza kuhusu soko hilo la forex.

Swali la pili tunalopaswa kujiuliza ni kuwa katika soko la forex Je, ni bidhaa gani au ni nini huwa kinafanyiwa biashara?

Katika hii biashara ya forex, fedha ndio kitu kinachofanyiwa biashara. Hivyo ili kufanya biashara hii ni lazima uwe na fedha ambayo ndio huitajika katika mzunguko wa soko hili la forex. Unapofanya biashara hii, huwa unauza sarafu moja na kununua nyingine, au unanunua sarafu moja na kuuza nyingine. Sarafu huuzwa kupitia dalali au mchuuzi (Broker), na huuzwa na kununuliwa katika jozi(pair) mfano euro na dola ya marekani(EUR/USD) au paundi ya kiingereza na yen ya kijapani(GBP/JPY).

Tofauti na masoko mengine ya kifedha kama Soko la Hisa la New York, Soko la Forex halina eneo la kawaida au eneo linaloonekana kama masoko ya kawaida. Soko la forex linafanyikia mtandaoni na hufanyika kwa masaa ishirini na nne(24). Hivyo ili kufanya biashara hii, unahitaji kompyuta, kasi nzuri ya mtandao na mafunzo yanayojitosheleza juu ya hii biashara ya forex.

Katika soko la forex, fedha au sarafu maarufu zinazofanyiwa biashara kwa kiasi kikubwa ni kama ifuatavyo;

ALAMA YA SARAFUNCHI YENYE SARAFU JINA LA SARAFUJINA LINGINE
USDUnited StatesDollarBuck
EUREuro membersEuroFiber
JPYJapanYenYen
GBPGreat BritainPoundCable
CHFSwitzerlandFrancSwissy
CADCanadaDollarLoonie
AUDAustraliaDollarAussie
NZDNew ZealandDollarKiwi
*Sarafu katika soko la forex, mara nyingi huwa na herufi tatu. Herufi mbili za kwanza huonesha jina la nchi la sarafu na herufi ya tatu huonesha jina la sarafu husika.



SIKU NA MUDA MZURI WA KUFANYA BIASHARA YA FOREX KULINGANA NA MASAA NA NCHI HUSIKA.

Soko la forex huwa wazi na kufanya kazi kwa masaa 24, ila kutokana na utofauti wa masaa kutoka nchi moja na nyingine inabidi kujua muda mzuri wa kuingia sokoni kutokana na sarafu na nchi husika.Pia, katika upande siku ipi ni nzuri kwa kufanya biashara ya forex, Yote kwa yote, Jumanne, Jumatano na Alhamisi ndizo siku bora zaidi za biashara ya Forex kwa sababu mzunguko wa sarafu huwa juu na mzuri. Katikati ya wiki, soko la sarafu linaona hatua ya biashara zaidi. Kwa wiki nzima, Jumatatu soko huwa tuli sana, na Ijumaa inaweza kuwa haitabiriki hivyo siku hizi mbili yaani Juma tatu na Ijumaa sio nzuri sana na kama ukifanya biashara siku hizo inabidi kuwa makini zaidi. Hebu tuangalie jedwali hapa chini kwa uelewa zaidi kuhusu masaa ya forex kulingana na nchi;



JINA LA SOKOSARAFU ZA HILO SOKOSOKO KUFUNGUKASOKO KUFUNGA
SOKO LA SYDNEYNZD NA AUD01:00Am(usiku)09:00Am(asubuhi)
SOKO LA TOKYOJPY NA CHF02:00Am(usiku)10:00Am(asubuhi)
SOKO LA LONDONEUR NA GBP10:00Am(asubuhi)06:00Pm(jioni)
SOKO LA NEW YORKUSD NA CAD03:00Pm(alasiri)11:00Pm(usiku)
*Kwa nyongeza ili kufahamu haya masaa kwa ufasaha zaidi tembelea kiunganishi hiki(link), www.forex.timezoneconverter.com



KWA NINI TUFANYE BIASHARA YA HII YA FOREX?

Kwanza kabisa inabidi tufahamu dunia ya sasa ni dunia iliyoendelea sana kisayansi na teknolojia, na sisi kama nchi ambazo zinaendelea inatubidi tufunguke kiakili kukabiliana na mabadiliko yanayotokea ili mwisho wa siku tusije tukabaki gizani wakati nchi zingine zikizidi kupiga hatua za kisayansi na kiteknolojia. Inabidi tujifunze biashara hii, na kwa sasa ni rahisi kupata maarifa juu ya forex kwa sababu unaweza kuingia mtandaoni na kupata maarifa kwa lugha yoyote utakayo, biashara ya forex ina faida nyingi sana na baadhi yake ni kama vile;

1.Hakuna tozo wala kodi unapofanya biashara hii, labda tuu hela itakatwa pale unapoweka au kutoa pesa kwenye akaunti yako ya forex. Ila ukishaweka pesa kwenye akaunti yako hakuna makato yoyote unapofanya biashara hii.

2. Soko la forex la forex lipo wazi kwa masaa 24, iwe asubuhi, mchana, jioni na hata usiku. Hivyo ni rahisi kuchagua muda wa kufanya biashara kulingana na ratiba zako.

3.Kabla ya kufanya biashara baada ya kupata mafunzo, dalali(broker) anakupa akaunti ya majaribio bure(demo akaunti) ambayo utafanyia majaribio na ukiona akaunti ya majaribio imepata faida vizuri hapo unaweza kufungua akaunti halisi kwa ajili ya biashara. Inashauriwa utumie akaunti ya majaribio angalau kwa miezi mitatu kabla haujaanza kutumia akaunti halisi(real account).



AINA ZA UCHAMBUZI KATIKA SOKO LA FOREX.

Katika kuchambua soko la forex ili uweze kufanya biashara vizuri ni lazima ujue aina ya hizi chambuzi. Kuna aina kuu mbili za uchambuzi katika soko la forex ambazo ni Uchambuzi wa kiufundi (Technical analysis) na Uchambuzi wa Msingi (Fundamental analysis).

1.Uchambuzi wa Kiufundi(Technical analysis).

Uchambuzi wa kiufundi ni utafiti wa mwendo wa bei, uchanganuzi wa kiufundi unahusisha kuangalia chati na kulichambua kwa kuzingatia mbinu mbalimbali.



2. Uchambuzi wa Msingi(Fundamental analysis).

Uchambuzi wa kimsingi ni njia ya kuangalia soko kupitia nguvu za kiuchumi, kijamii na kisiasa zinazoathiri usambazaji na mahitaji. Nchi ikiwa na uchumi mzuri na hali nzuri ya kijamii na kisiasa mara nyingi inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa imara. Vivyo hivyo nchi ikiwa na hali mbaya za kiuchumi, kisiasa na kijamii inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa dhaifu.

Hizi ni dondoo chache kuhusu biashara ya forex, na lengo la andiko hili na kuwapa mwanga wale ambao hawajui kabisa kuhusu forex. Ikumbukwe maarifa kama haya juu ya forex yanapatika mitandaoni. Hivyo unaweza kuingia mtandaoni na kupakua vitabu na video mbalimbali ambazo zinafundishi juu ya hii biashara kwa vitendo na kwa lugha yoyote unayotaka.



AHSANTENI.
ahsnte kwa elimu hii ya forex.
 
Umeeleweka,nina swali,hawa wanoingiza groups za mambo ya forex kwenye magroup ya telegram au whatsapp wao huwa wana benefit nini,maana hata ukiblock baada ya muda inaingia nyingine au ndio ufanyaji wa biashara yenyewe ulivyo...?
Katika kufanya biashara ya Forex kuna njia kuu mbili. Njia ya kwanza ni mtu unaamua kujifunza maarifa ya forex, ukishakuwa vizuri unaingia kwenye biashara mwenyewe. Njia ya pili ni ile mtu ambaye hauna maarifa ya forex vizuri na hautaki kujifunza(kuumiza kichwa) hivyo unatafuta waliojifunza forex na wako vizuri unawapa mtaji, na wao ndio wanaingia sokoni na kukufanyia biashara, ikipatikana faida mnagawana mwenye mtaji na mtaalamu anaekufanyia biashara. NJIA NZURI HAPA NI: wewe mwenyewe binafsi kutokuwa mvivu, yaani ujifunze forex, ufanye majaribio kwenye demo account na uingie kwenye biashara mwenyewe. KUMBUKA: Usimpe mtu hela akufanyie biashara kwa sababu matapeli ni wengi. Jifunze na ufanye mwenyewe.NYONGEZA: hao kwenye makundi watsapp na telegram wanashawishi watu waweke mitaji na wao wawafanyie biashara kwa sababu wanaijua forex, pia wengine kwenye hayo makundi wanauza signals(alama za wapi ununue sarafu au uuze), LAKINI yote kwa yote ukishajifunza forex vizuri hakutakuwa na haja ya kununua signals wala kumtafuta mtaalamu akufanyie biashara.
 
DONDOO KUHUSU FOREX KWA WASIOIJUA KABISA.

Katika andiko hili, kwanza kabisa inabidi tujue maana ya Forex. Je, Forex ni nini?


Forex ni biashara ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Neno ‘FOREX’ ni kifupisho cha maneno mawili ambayo ni ‘FOR’ ikimaanisha Foreign na ‘EX’ yaani Exchange. Forex ni biashara halali inayoweza kufanywa na mtu yeyote, ilimradi mtu huyo akubali kujifunza kuhusu soko hilo la forex.

Swali la pili tunalopaswa kujiuliza ni kuwa katika soko la forex Je, ni bidhaa gani au ni nini huwa kinafanyiwa biashara?

Katika hii biashara ya forex, fedha ndio kitu kinachofanyiwa biashara. Hivyo ili kufanya biashara hii ni lazima uwe na fedha ambayo ndio huitajika katika mzunguko wa soko hili la forex. Unapofanya biashara hii, huwa unauza sarafu moja na kununua nyingine, au unanunua sarafu moja na kuuza nyingine. Sarafu huuzwa kupitia dalali au mchuuzi (Broker), na huuzwa na kununuliwa katika jozi(pair) mfano euro na dola ya marekani(EUR/USD) au paundi ya kiingereza na yen ya kijapani(GBP/JPY).

Tofauti na masoko mengine ya kifedha kama Soko la Hisa la New York, Soko la Forex halina eneo la kawaida au eneo linaloonekana kama masoko ya kawaida. Soko la forex linafanyikia mtandaoni na hufanyika kwa masaa ishirini na nne(24). Hivyo ili kufanya biashara hii, unahitaji kompyuta, kasi nzuri ya mtandao na mafunzo yanayojitosheleza juu ya hii biashara ya forex.

Katika soko la forex, fedha au sarafu maarufu zinazofanyiwa biashara kwa kiasi kikubwa ni kama ifuatavyo;

ALAMA YA SARAFUNCHI YENYE SARAFU JINA LA SARAFUJINA LINGINE
USDUnited StatesDollarBuck
EUREuro membersEuroFiber
JPYJapanYenYen
GBPGreat BritainPoundCable
CHFSwitzerlandFrancSwissy
CADCanadaDollarLoonie
AUDAustraliaDollarAussie
NZDNew ZealandDollarKiwi
*Sarafu katika soko la forex, mara nyingi huwa na herufi tatu. Herufi mbili za kwanza huonesha jina la nchi la sarafu na herufi ya tatu huonesha jina la sarafu husika.



SIKU NA MUDA MZURI WA KUFANYA BIASHARA YA FOREX KULINGANA NA MASAA NA NCHI HUSIKA.

Soko la forex huwa wazi na kufanya kazi kwa masaa 24, ila kutokana na utofauti wa masaa kutoka nchi moja na nyingine inabidi kujua muda mzuri wa kuingia sokoni kutokana na sarafu na nchi husika.Pia, katika upande siku ipi ni nzuri kwa kufanya biashara ya forex, Yote kwa yote, Jumanne, Jumatano na Alhamisi ndizo siku bora zaidi za biashara ya Forex kwa sababu mzunguko wa sarafu huwa juu na mzuri. Katikati ya wiki, soko la sarafu linaona hatua ya biashara zaidi. Kwa wiki nzima, Jumatatu soko huwa tuli sana, na Ijumaa inaweza kuwa haitabiriki hivyo siku hizi mbili yaani Juma tatu na Ijumaa sio nzuri sana na kama ukifanya biashara siku hizo inabidi kuwa makini zaidi. Hebu tuangalie jedwali hapa chini kwa uelewa zaidi kuhusu masaa ya forex kulingana na nchi;



JINA LA SOKOSARAFU ZA HILO SOKOSOKO KUFUNGUKASOKO KUFUNGA
SOKO LA SYDNEYNZD NA AUD01:00Am(usiku)09:00Am(asubuhi)
SOKO LA TOKYOJPY NA CHF02:00Am(usiku)10:00Am(asubuhi)
SOKO LA LONDONEUR NA GBP10:00Am(asubuhi)06:00Pm(jioni)
SOKO LA NEW YORKUSD NA CAD03:00Pm(alasiri)11:00Pm(usiku)
*Kwa nyongeza ili kufahamu haya masaa kwa ufasaha zaidi tembelea kiunganishi hiki(link), www.forex.timezoneconverter.com



KWA NINI TUFANYE BIASHARA YA HII YA FOREX?

Kwanza kabisa inabidi tufahamu dunia ya sasa ni dunia iliyoendelea sana kisayansi na teknolojia, na sisi kama nchi ambazo zinaendelea inatubidi tufunguke kiakili kukabiliana na mabadiliko yanayotokea ili mwisho wa siku tusije tukabaki gizani wakati nchi zingine zikizidi kupiga hatua za kisayansi na kiteknolojia. Inabidi tujifunze biashara hii, na kwa sasa ni rahisi kupata maarifa juu ya forex kwa sababu unaweza kuingia mtandaoni na kupata maarifa kwa lugha yoyote utakayo, biashara ya forex ina faida nyingi sana na baadhi yake ni kama vile;

1.Hakuna tozo wala kodi unapofanya biashara hii, labda tuu hela itakatwa pale unapoweka au kutoa pesa kwenye akaunti yako ya forex. Ila ukishaweka pesa kwenye akaunti yako hakuna makato yoyote unapofanya biashara hii.

2. Soko la forex la forex lipo wazi kwa masaa 24, iwe asubuhi, mchana, jioni na hata usiku. Hivyo ni rahisi kuchagua muda wa kufanya biashara kulingana na ratiba zako.

3.Kabla ya kufanya biashara baada ya kupata mafunzo, dalali(broker) anakupa akaunti ya majaribio bure(demo akaunti) ambayo utafanyia majaribio na ukiona akaunti ya majaribio imepata faida vizuri hapo unaweza kufungua akaunti halisi kwa ajili ya biashara. Inashauriwa utumie akaunti ya majaribio angalau kwa miezi mitatu kabla haujaanza kutumia akaunti halisi(real account).



AINA ZA UCHAMBUZI KATIKA SOKO LA FOREX.

Katika kuchambua soko la forex ili uweze kufanya biashara vizuri ni lazima ujue aina ya hizi chambuzi. Kuna aina kuu mbili za uchambuzi katika soko la forex ambazo ni Uchambuzi wa kiufundi (Technical analysis) na Uchambuzi wa Msingi (Fundamental analysis).

1.Uchambuzi wa Kiufundi(Technical analysis).

Uchambuzi wa kiufundi ni utafiti wa mwendo wa bei, uchanganuzi wa kiufundi unahusisha kuangalia chati na kulichambua kwa kuzingatia mbinu mbalimbali.



2. Uchambuzi wa Msingi(Fundamental analysis).

Uchambuzi wa kimsingi ni njia ya kuangalia soko kupitia nguvu za kiuchumi, kijamii na kisiasa zinazoathiri usambazaji na mahitaji. Nchi ikiwa na uchumi mzuri na hali nzuri ya kijamii na kisiasa mara nyingi inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa imara. Vivyo hivyo nchi ikiwa na hali mbaya za kiuchumi, kisiasa na kijamii inaashiria sarafu ya nchi husika kuwa dhaifu.

Hizi ni dondoo chache kuhusu biashara ya forex, na lengo la andiko hili na kuwapa mwanga wale ambao hawajui kabisa kuhusu forex. Ikumbukwe maarifa kama haya juu ya forex yanapatika mitandaoni. Hivyo unaweza kuingia mtandaoni na kupakua vitabu na video mbalimbali ambazo zinafundishi juu ya hii biashara kwa vitendo na kwa lugha yoyote unayotaka.



AHSANTENI.
Vipi kuhusu risks kwenye forex
 
Vipi kuhusu risks kwenye forex
Forex ni biashara, na kama tujuavyo risk(hatari) katika biashara zipo. Vivyo hivyo katika forex kuna risk zake, kama vile mtu anaweza kuunguza akaunti yake(kuishiwa pesa zote kwenye akaunti). Licha ya hivyo katika forex kuna kitu kinaitwa risk management(njia za kukabiliana na hatari katika biashara), mfano; kuhakikisha umefanyia mazoezi mbinu zako za biashara vya kutosha katika akaunti ya majaribio(demo account) na zimezaa matunda angalau kwa miezi mitatu, kutumia stop-loss (alama unazoweka ambazo soko likienda kinyume nawe, zinakutoa sokoni papo hapo na kupunguza hasara). Hizo ni baadhi ya mbinu za kupunguza hatari katika forex.
 
Forex ni biashara, na kama tujuavyo risk(hatari) katika biashara zipo. Vivyo hivyo katika forex kuna risk zake, kama vile mtu anaweza kuunguza akaunti yake(kuishiwa pesa zote kwenye akaunti). Licha ya hivyo katika forex kuna kitu kinaitwa risk management(njia za kukabiliana na hatari katika biashara), mfano; kuhakikisha umefanyia mazoezi mbinu zako za biashara vya kutosha katika akaunti ya majaribio(demo account) na zimezaa matunda angalau kwa miezi mitatu, kutumia stop-loss (alama unazoweka ambazo soko likienda kinyume nawe, zinakutoa sokoni papo hapo na kupunguza hasara). Hizo ni baadhi ya mbinu za kupunguza hatari katika forex.
Ni namna gani naweza kupata muongozo wa kufungua hii demo account?na unaona kwa mtu wa kipato cha kawaida kabisa anahitaji kuanza na mtaji wa sh ngapi kufanya biashara hii?
 
Ni namna gani naweza kupata muongozo wa kufungua hii demo account?na unaona kwa mtu wa kipato cha kawaida kabisa anahitaji kuanza na mtaji wa sh ngapi kufanya biashara hii?
Njia rahisi kabisa ya kufungua account ya demo, ni ku download program ya “META TRADER 4” kwenye simu yako au kwenye computer yako, na baada ya ku install programu hiyo, moja kwa moja (automatically) itakutengenezea account ya demo ambayo utaweza kufanya trading za majaribio wakati ukiendelea kujifunza. NYONGEZA: ukiingia` youtube` na kuuliza jinsi ya kufungua demo accounti katika forex, maelezo yanakuja kwa vitendo kabisa. Kwa mfano andika hivi youtube>>(FOREX SWAHILI : jinsi ya kufungua demo account na kuanza FOREX). Unapotaka kuanza biashara ya Forex kwa pesa halisi kitu cha kwanza kabisa unachagua BROKER. Broker kama TEMPLER FX kiwango chake cha chini cha kuweka ni dola 10.
 
Kiujumla inaitwa trading. Mana ya trading Ni kubadilishana thamani. Mfano mtu aliyeajiriwa anatredi muda wake kwa pesa naye tajiri anatredi hela yake kwa muda wako. Yaani wewe unamuuzia muda wako aka ujuzi Ila unanunua pesa ,yeye anakuuzia pesa ananunua muda wako ama ujuzi wako mkuu..
Sasa yeye anaamini kuwa muda wako Ni muhimu kwake na wewe unaamini kuwa pesa yake Ni muhimu ama Ina value kwako kimaisha.
So huwa Ni kubadlishana conviction ya values zenu.
Hata demu anaamini kuwa pesa yako Ina umuhimu kwake na wewe unaamini kuwa maku yake Ni ya muhimu kwako.
Ukienda dukani unanunua mkate/sukari unaamini hela yako Haina thamani kuliko iyo bidhaa na wa dukani anaamini kuwa pesa yako Ni ya muhimu kwake kuliko bidhaa zake so mnabadlishana values zenu.
Sema watu sijui wanaichukuliaje trading ama iyo forex Kama wengi walivyozoea kuiita.
Mie Kama Nina hela zangu sio lazima nifungue duka nifanye biashara naweza nikanunua ama kuwekeza kwa kampuni zinazofanya vizuri napata gawio la faida percentage ya profit kwa mwaka mzima kulingana kuwa Nina shares ama hisa ngapi kwa kiwanda husika.
Mfano hapa home shares za twiga cement nadhani zimepanda Mana ujenzi uko juu kwa Kasi na serikalini ya matozo.

Sasa komaa kufanya biashara Ile ki analogy ambayo ukimpatia mtu hiace,bajaji,boda mnasumbuana kinyama unaumiza kichwa.
Fungua biashara ndogo muweke mtu anakupiga danadana za kufa mtu.

Sasa tuchukulie hutaki kufanya biashara ama una mishe zako sehemu unaweza nunua boda like 100 unawapa vijana wewe unataka faida ya laki tano kila boda ambyo kwa boda Mia utapata 50M kwa mtaji usiopungua 230M.
Sasa njoo kijana atasepa ,ataibiwa,atahonga atashundwa kukurudishia hela yako.

Ila hii ukinunua hisa zako wakipata faida unapewa na pia thamani ya pesa yako inapanda.

Sema wandugu hii makitu ya Namna iyo inahitaji pesa ndefu like 250M tzs na ndio Mana brokers wanakuzesha kuwa na iyo pesa yaani purchasing power just kwa ku deposit 2.5M hela ya kitanzania.
Sema inabidi uijue industry yote uelewe naye ananufaikaje na wewe Mana hakuna Cha bure.



Pia trading huwa hatununui exactly Bali huwa ni kutazamia Bei ya kitu fulani itapanda ama itashuka.
Mfano nakumbuka mwezi wa ngapi hapa juzi tu gold ilikuwa Ni $2068 per once wiki hii imeisha Bei ikiwa ya chini kabisa kwa wiki Ni $1690 per once so unge speculate kuwa itashuka ukaiuza Ina Mana ungepata faida.
Huwa tunadili na Bei za bidhaa Ila sio bidhaa halisi. Mana ya speculation Ni ku observe Ni neno la kigeni kutokea kwa neno specular Kama spectacles Ina Mana za kuonea sijui ndio miwani.
Ina Mana Haina tofauti aliyenunua dhahabu na wewe uliyefanya speculation.
Mana wewe ukinunua hisa milioni moja za Tesla Ina Mana ikipanda na kampuni ikipata faida unapata gawio pia thamani ya kampuni inakuwa ambayo Ile value ama gharama ya shares zako zinapanda.
Sasa mie naye tredi zikishuka nimo nauza sio physical Ila electronically zikipanda nanunua Ila wale wawekezaji zikishuka wanapata hasara la sivyo apate mwingine amuuzie ama aziuze kwa brokers.

Hii inaonekana Kama utapeli Ila Ni real business sema watu hawako tayari kuitolea jasho na damu Mana sio ya kizembe. You've to be ready to dedicate not less than Five years days in and days out just to learn.
It's career like any other career so sio Leo usome kitabu how to trade ama uhudhurie weekend course Kama za akina Ontario ama ucheki like fivee videos za YouTube utegemee kumeki money. Do you know how insanely is this?
Can you walk to brain surgeon or a competent lawyer umwambie kuwa nahitaji unielekeze kwa wiki moja namna ya kufanya sajeri ama kusimamia kesi nilipwe mamilioni Kama wewe ndani ya mwezi ama mwaka.


It's career,job but am sure it's a calling where many are called but few are singled out.

Mana hii Ni zaidi ya kazi. Sema kawaida ukimuona mtu Yuko katika Ile peak state ya career yake anatamanisha na kila mtu anataka kuwa Kama yeye like Usain bolt , Floyd Mayweather,cr7 ,Kobe Bryant,Michael Jordan , Mohammed Ali. Do you know how many years they sacrificed to get there.

Sio rahisi na Kama uko kazini unaweza ukalegea kazini kiutendaji.

Ila Sasa ukianza kupiga hela unatamanisha kinyama na Ni rahisi kuibia watu wenye greed kubwa mno Mana watawaza kuwa matajiri kesho na Hilo ivyo.



Kumbuka una speculate differences in prices na ndio Mana inaitwa cfd ,it's the contract for future differences in prices.

Yaani mie nikinunua hisa za Amazon,ama nikanunua Canadian Dollars nikauza Japanese yen Haina tofauti ya Bei na wewe ama mie ningependa benki direct Ile price ndio iyo iyo nayonunua Mana brokers huwa wanapata real time price.

Uzuri huku Tena Kuna leverage yaani nikitaka kununua 100k paundi za uingereza sihitaji mpaka niwe na hiyo thamani ambayo Ni sawa na dola ya kimarekani 125.8k Kama wewe ukienda benki ununue izo paundi ili baadaye uziuze labda Kama uko USA unataka ununue kitu uingereza ndipo uzinunue kabisa hizo paundi.


Mie hapa Kuna leverage unachagua kulingana na ujuzi wako Kama unayajua mfano iyo 125.8k USD naweza nikawa na 12.58k ama 1.258k nikanunua kiasi icho icho ulichonunua kwa minajili ya kuitunza paundi ikipanda uiuze.

Mfano saivi paundi umeshika mno iko around 2680 kwa hela ya tz kumbuka Kuna muda ilikuwa 3200 kwa tzs .so saivi waweza nunua paundi zako lkama laki moja kwa sh 258M zikipanda ikifika Kama 3000 kwa paundi moja unaiuza unapata faida ya 3000-2580 =420 kwa kila paundi so kwa paundi zako laki moja piga hesabu utakuwa una Bei gani profit.
Sasa ukienda kwa broker iyo 258M sio lazima uwe nayo yote ujue. Unaweza ukawa nhata na 25.8k ukazinunua kwa ishu ya leverage ambayo broker anakuwezesha Ila Kama una maarifa na hiyo leverage inavyotumika hapo Ni kozi karibia mwezi zaidi na uchafu.



Hata walionunua mpunga juzi leo hiii ama mwaka huu wa mamatozo nadhani umeona walivyopiga hela ,mchele mahindi yamepanda mno so wamepona kinouma.
Yaani mwaka huuhuu mpanda Kuna sehemu gunia la mahindi yalikuwa yanauzwa 15000 kwa gunia Ila saivi yapo 70k kwa gunia ,so ungeweza kutredi hela zako ukanunua mahindi.
Iwapo ungeweza kujua Hali ya chakula na kiuchumi pamoja na dunia inavyokwenda pia Hali ya Hali unaangalia kuwa mwaka huu hakuna kulima ama no mavuno mengi unahifadhi chakula chako. Hii Haina tofauti na trading, kumbuka unanunua pia inaweza ikashuka Mana unaweza ukajikuta nchi fulani Ina mahindi mabehewa na behewa so wakayamwaga tZ kisa wamesikia Kuna Bei Nzuri Mana kawaida ya biashara Ni poker so be ready anything can happen and should have that mindset.




Samahani kuongezea ujuzi wangu katika uzi wako mkuu usije ukamaindi Ila kupeana maarifa.
 
Kiujumla inaitwa trading. Mana ya trading Ni kubadilishana thamani. Mfano mtu aliyeajiriwa anatredi muda wake kwa pesa naye tajiri anatredi hela yake kwa muda wako. Yaani wewe unamuuzia muda wako aka ujuzi Ila unanunua pesa ,yeye anakuuzia pesa ananunua muda wako ama ujuzi wako mkuu..
Sasa yeye anaamini kuwa muda wako Ni muhimu kwake na wewe unaamini kuwa pesa yake Ni muhimu ama Ina value kwako kimaisha.
So huwa Ni kubadlishana conviction ya values zenu.
Hata demu anaamini kuwa pesa yako Ina umuhimu kwake na wewe unaamini kuwa maku yake Ni ya muhimu kwako.
Ukienda dukani unanunua mkate/sukari unaamini hela yako Haina thamani kuliko iyo bidhaa na wa dukani anaamini kuwa pesa yako Ni ya muhimu kwake kuliko bidhaa zake so mnabadlishana values zenu.
Sema watu sijui wanaichukuliaje trading ama iyo forex Kama wengi walivyozoea kuiita.
Mie Kama Nina hela zangu sio lazima nifungue duka nifanye biashara naweza nikanunua ama kuwekeza kwa kampuni zinazofanya vizuri napata gawio la faida percentage ya profit kwa mwaka mzima kulingana kuwa Nina shares ama hisa ngapi kwa kiwanda husika.
Mfano hapa home shares za twiga cement nadhani zimepanda Mana ujenzi uko juu kwa Kasi na serikalini ya matozo.

Sasa komaa kufanya biashara Ile ki analogy ambayo ukimpatia mtu hiace,bajaji,boda mnasumbuana kinyama unaumiza kichwa.
Fungua biashara ndogo muweke mtu anakupiga danadana za kufa mtu.

Sasa tuchukulie hutaki kufanya biashara ama una mishe zako sehemu unaweza nunua boda like 100 unawapa vijana wewe unataka faida ya laki tano kila boda ambyo kwa boda Mia utapata 50M kwa mtaji usiopungua 230M.
Sasa njoo kijana atasepa ,ataibiwa,atahonga atashundwa kukurudishia hela yako.

Ila hii ukinunua hisa zako wakipata faida unapewa na pia thamani ya pesa yako inapanda.

Sema wandugu hii makitu ya Namna iyo inahitaji pesa ndefu like 250M tzs na ndio Mana brokers wanakuzesha kuwa na iyo pesa yaani purchasing power just kwa ku deposit 2.5M hela ya kitanzania.
Sema inabidi uijue industry yote uelewe naye ananufaikaje na wewe Mana hakuna Cha bure.



Pia trading huwa hatununui exactly Bali huwa ni kutazamia Bei ya kitu fulani itapanda ama itashuka.
Mfano nakumbuka mwezi wa ngapi hapa juzi tu gold ilikuwa Ni $2068 per once wiki hii imeisha Bei ikiwa ya chini kabisa kwa wiki Ni $1690 per once so unge speculate kuwa itashuka ukaiuza Ina Mana ungepata faida.
Huwa tunadili na Bei za bidhaa Ila sio bidhaa halisi. Mana ya speculation Ni ku observe Ni neno la kigeni kutokea kwa neno specular Kama spectacles Ina Mana za kuonea sijui ndio miwani.
Ina Mana Haina tofauti aliyenunua dhahabu na wewe uliyefanya speculation.
Mana wewe ukinunua hisa milioni moja za Tesla Ina Mana ikipanda na kampuni ikipata faida unapata gawio pia thamani ya kampuni inakuwa ambayo Ile value ama gharama ya shares zako zinapanda.
Sasa mie naye tredi zikishuka nimo nauza sio physical Ila electronically zikipanda nanunua Ila wale wawekezaji zikishuka wanapata hasara la sivyo apate mwingine amuuzie ama aziuze kwa brokers.

Hii inaonekana Kama utapeli Ila Ni real business sema watu hawako tayari kuitolea jasho na damu Mana sio ya kizembe. You've to be ready to dedicate not less than Five years days in and days out just to learn.
It's career like any other career so sio Leo usome kitabu how to trade ama uhudhurie weekend course Kama za akina Ontario ama ucheki like fivee videos za YouTube utegemee kumeki money. Do you know how insanely is this?
Can you walk to brain surgeon or a competent lawyer umwambie kuwa nahitaji unielekeze kwa wiki moja namna ya kufanya sajeri ama kusimamia kesi nilipwe mamilioni Kama wewe ndani ya mwezi ama mwaka.


It's career,job but am sure it's a calling where many are called but few are singled out.

Mana hii Ni zaidi ya kazi. Sema kawaida ukimuona mtu Yuko katika Ile peak state ya career yake anatamanisha na kila mtu anataka kuwa Kama yeye like Usain bolt , Floyd Mayweather,cr7 ,Kobe Bryant,Michael Jordan , Mohammed Ali. Do you know how many years they sacrificed to get there.

Sio rahisi na Kama uko kazini unaweza ukalegea kazini kiutendaji.

Ila Sasa ukianza kupiga hela unatamanisha kinyama na Ni rahisi kuibia watu wenye greed kubwa mno Mana watawaza kuwa matajiri kesho na Hilo ivyo.



Kumbuka una speculate differences in prices na ndio Mana inaitwa cfd ,it's the contract for future differences in prices.

Yaani mie nikinunua hisa za Amazon,ama nikanunua Canadian Dollars nikauza Japanese yen Haina tofauti ya Bei na wewe ama mie ningependa benki direct Ile price ndio iyo iyo nayonunua Mana brokers huwa wanapata real time price.

Uzuri huku Tena Kuna leverage yaani nikitaka kununua 100k paundi za uingereza sihitaji mpaka niwe na hiyo thamani ambayo Ni sawa na dola ya kimarekani 125.8k Kama wewe ukienda benki ununue izo paundi ili baadaye uziuze labda Kama uko USA unataka ununue kitu uingereza ndipo uzinunue kabisa hizo paundi.


Mie hapa Kuna leverage unachagua kulingana na ujuzi wako Kama unayajua mfano iyo 125.8k USD naweza nikawa na 12.58k ama 1.258k nikanunua kiasi icho icho ulichonunua kwa minajili ya kuitunza paundi ikipanda uiuze.

Mfano saivi paundi umeshika mno iko around 2680 kwa hela ya tz kumbuka Kuna muda ilikuwa 3200 kwa tzs .so saivi waweza nunua paundi zako lkama laki moja kwa sh 258M zikipanda ikifika Kama 3000 kwa paundi moja unaiuza unapata faida ya 3000-2580 =420 kwa kila paundi so kwa paundi zako laki moja piga hesabu utakuwa una Bei gani profit.
Sasa ukienda kwa broker iyo 258M sio lazima uwe nayo yote ujue. Unaweza ukawa nhata na 25.8k ukazinunua kwa ishu ya leverage ambayo broker anakuwezesha Ila Kama una maarifa na hiyo leverage inavyotumika hapo Ni kozi karibia mwezi zaidi na uchafu.



Hata walionunua mpunga juzi leo hiii ama mwaka huu wa mamatozo nadhani umeona walivyopiga hela ,mchele mahindi yamepanda mno so wamepona kinouma.
Yaani mwaka huuhuu mpanda Kuna sehemu gunia la mahindi yalikuwa yanauzwa 15000 kwa gunia Ila saivi yapo 70k kwa gunia ,so ungeweza kutredi hela zako ukanunua mahindi.
Iwapo ungeweza kujua Hali ya chakula na kiuchumi pamoja na dunia inavyokwenda pia Hali ya Hali unaangalia kuwa mwaka huu hakuna kulima ama no mavuno mengi unahifadhi chakula chako. Hii Haina tofauti na trading, kumbuka unanunua pia inaweza ikashuka Mana unaweza ukajikuta nchi fulani Ina mahindi mabehewa na behewa so wakayamwaga tZ kisa wamesikia Kuna Bei Nzuri Mana kawaida ya biashara Ni poker so be ready anything can happen and should have that mindset.




Samahani kuongezea ujuzi wangu katika uzi wako mkuu usije ukamaindi Ila kupeana maarifa.
Ahsante mkuu kwa elimu nzuri, kupitia maandishi yako pia nimeongeza kitu kikubwa sana kwenye akili yangu, vitu vigumu umevielezea kwa lugha nyepesi yenye kueleweka.....upo vizuri. Pia kwa upande wangu bado naichimba Forex kiundani zaidi natamani siku moja niwe Forex guru.
 
natamani siku moja niwe Forex guru.
Utakuwa mkuu aminj your inner voice ishu kubwa Ni persistence and power of not giving up.
None is borne a trader/talented to trade because everything that we do is counterintuitive to our humanness, we're swimming upstreams of human behavior.
Be ready to fail more love failures double your failures.

Remember when you're doing it right or profitably everything you do hurts or is boring at the end of the time. It isn't exciting at all quite different how we commenced it or how we did during our amateurish time.

Double more practices then assess yourself. The secret is in your mind not in charts,books, computer,some guru,mentor, weekend course,inside tips, expensive books you've to read or VIP program, special YouTube channel. But they're just ingredients to your career.
Life is 10% what happens to us and 90% how react to.
Practice, practice man , practice man practice over and over and over again since this performance endeavor isn't about being competent but is about performing then you can make a living.
Our brain isn't friendly at it all when it comes the issue of success so look inside of your head.
We've met enemy and is within us. The greatest Victory is to conquer oneself and not someone else. If egg breaks by external Force life ends but if it breaks by internal force life continues.
Na hapa ndipo Jesus aliwaambiwa wanafunzi wake kuwa like kinachokutoka ndicho kikutiacho unajisi sio kukiangacho. Mana katika mioyo Kuna nguvu na mawazo mabaya ama maazuri yanatutuma kufanya madhambi ama Mambo yasiyompendeza aliye juu.


Nikikushauri ufanye kitu Kama sio kuwa kupenda kwako mwenyewe yaani Kama hauna wito nalo huwezi fika mbali.


Mwishoni kabisa if the desire is there you'll find a way.
It takes courage, commitments yaani high committed sio kuongea tu mdomoni unakuwa tayari Kama unavyowaza kumfia demu unayempenda ambaye ukimsubiria masaa kumi akija akiakuambia nimechelewa beibi unakataa kuwa hajachelewa,
Akiakuambia nisusbirie miaka hata 10 nimalize shule unioe unasubiria Kama kweli unampenda so the same applies to anything like trading,any business of your undertaken endeavors.


Niishie hapa Mana naweza jaza server bure nikawatapeli watu
 
Kiujumla inaitwa trading. Mana ya trading Ni kubadilishana thamani. Mfano mtu aliyeajiriwa anatredi muda wake kwa pesa naye tajiri anatredi hela yake kwa muda wako. Yaani wewe unamuuzia muda wako aka ujuzi Ila unanunua pesa ,yeye anakuuzia pesa ananunua muda wako ama ujuzi wako mkuu..
Sasa yeye anaamini kuwa muda wako Ni muhimu kwake na wewe unaamini kuwa pesa yake Ni muhimu ama Ina value kwako kimaisha.
So huwa Ni kubadlishana conviction ya values zenu.
Hata demu anaamini kuwa pesa yako Ina umuhimu kwake na wewe unaamini kuwa maku yake Ni ya muhimu kwako.
Ukienda dukani unanunua mkate/sukari unaamini hela yako Haina thamani kuliko iyo bidhaa na wa dukani anaamini kuwa pesa yako Ni ya muhimu kwake kuliko bidhaa zake so mnabadlishana values zenu.
Sema watu sijui wanaichukuliaje trading ama iyo forex Kama wengi walivyozoea kuiita.
Mie Kama Nina hela zangu sio lazima nifungue duka nifanye biashara naweza nikanunua ama kuwekeza kwa kampuni zinazofanya vizuri napata gawio la faida percentage ya profit kwa mwaka mzima kulingana kuwa Nina shares ama hisa ngapi kwa kiwanda husika.
Mfano hapa home shares za twiga cement nadhani zimepanda Mana ujenzi uko juu kwa Kasi na serikalini ya matozo.

Sasa komaa kufanya biashara Ile ki analogy ambayo ukimpatia mtu hiace,bajaji,boda mnasumbuana kinyama unaumiza kichwa.
Fungua biashara ndogo muweke mtu anakupiga danadana za kufa mtu.

Sasa tuchukulie hutaki kufanya biashara ama una mishe zako sehemu unaweza nunua boda like 100 unawapa vijana wewe unataka faida ya laki tano kila boda ambyo kwa boda Mia utapata 50M kwa mtaji usiopungua 230M.
Sasa njoo kijana atasepa ,ataibiwa,atahonga atashundwa kukurudishia hela yako.

Ila hii ukinunua hisa zako wakipata faida unapewa na pia thamani ya pesa yako inapanda.

Sema wandugu hii makitu ya Namna iyo inahitaji pesa ndefu like 250M tzs na ndio Mana brokers wanakuzesha kuwa na iyo pesa yaani purchasing power just kwa ku deposit 2.5M hela ya kitanzania.
Sema inabidi uijue industry yote uelewe naye ananufaikaje na wewe Mana hakuna Cha bure.



Pia trading huwa hatununui exactly Bali huwa ni kutazamia Bei ya kitu fulani itapanda ama itashuka.
Mfano nakumbuka mwezi wa ngapi hapa juzi tu gold ilikuwa Ni $2068 per once wiki hii imeisha Bei ikiwa ya chini kabisa kwa wiki Ni $1690 per once so unge speculate kuwa itashuka ukaiuza Ina Mana ungepata faida.
Huwa tunadili na Bei za bidhaa Ila sio bidhaa halisi. Mana ya speculation Ni ku observe Ni neno la kigeni kutokea kwa neno specular Kama spectacles Ina Mana za kuonea sijui ndio miwani.
Ina Mana Haina tofauti aliyenunua dhahabu na wewe uliyefanya speculation.
Mana wewe ukinunua hisa milioni moja za Tesla Ina Mana ikipanda na kampuni ikipata faida unapata gawio pia thamani ya kampuni inakuwa ambayo Ile value ama gharama ya shares zako zinapanda.
Sasa mie naye tredi zikishuka nimo nauza sio physical Ila electronically zikipanda nanunua Ila wale wawekezaji zikishuka wanapata hasara la sivyo apate mwingine amuuzie ama aziuze kwa brokers.

Hii inaonekana Kama utapeli Ila Ni real business sema watu hawako tayari kuitolea jasho na damu Mana sio ya kizembe. You've to be ready to dedicate not less than Five years days in and days out just to learn.
It's career like any other career so sio Leo usome kitabu how to trade ama uhudhurie weekend course Kama za akina Ontario ama ucheki like fivee videos za YouTube utegemee kumeki money. Do you know how insanely is this?
Can you walk to brain surgeon or a competent lawyer umwambie kuwa nahitaji unielekeze kwa wiki moja namna ya kufanya sajeri ama kusimamia kesi nilipwe mamilioni Kama wewe ndani ya mwezi ama mwaka.


It's career,job but am sure it's a calling where many are called but few are singled out.

Mana hii Ni zaidi ya kazi. Sema kawaida ukimuona mtu Yuko katika Ile peak state ya career yake anatamanisha na kila mtu anataka kuwa Kama yeye like Usain bolt , Floyd Mayweather,cr7 ,Kobe Bryant,Michael Jordan , Mohammed Ali. Do you know how many years they sacrificed to get there.

Sio rahisi na Kama uko kazini unaweza ukalegea kazini kiutendaji.

Ila Sasa ukianza kupiga hela unatamanisha kinyama na Ni rahisi kuibia watu wenye greed kubwa mno Mana watawaza kuwa matajiri kesho na Hilo ivyo.



Kumbuka una speculate differences in prices na ndio Mana inaitwa cfd ,it's the contract for future differences in prices.

Yaani mie nikinunua hisa za Amazon,ama nikanunua Canadian Dollars nikauza Japanese yen Haina tofauti ya Bei na wewe ama mie ningependa benki direct Ile price ndio iyo iyo nayonunua Mana brokers huwa wanapata real time price.

Uzuri huku Tena Kuna leverage yaani nikitaka kununua 100k paundi za uingereza sihitaji mpaka niwe na hiyo thamani ambayo Ni sawa na dola ya kimarekani 125.8k Kama wewe ukienda benki ununue izo paundi ili baadaye uziuze labda Kama uko USA unataka ununue kitu uingereza ndipo uzinunue kabisa hizo paundi.


Mie hapa Kuna leverage unachagua kulingana na ujuzi wako Kama unayajua mfano iyo 125.8k USD naweza nikawa na 12.58k ama 1.258k nikanunua kiasi icho icho ulichonunua kwa minajili ya kuitunza paundi ikipanda uiuze.

Mfano saivi paundi umeshika mno iko around 2680 kwa hela ya tz kumbuka Kuna muda ilikuwa 3200 kwa tzs .so saivi waweza nunua paundi zako lkama laki moja kwa sh 258M zikipanda ikifika Kama 3000 kwa paundi moja unaiuza unapata faida ya 3000-2580 =420 kwa kila paundi so kwa paundi zako laki moja piga hesabu utakuwa una Bei gani profit.
Sasa ukienda kwa broker iyo 258M sio lazima uwe nayo yote ujue. Unaweza ukawa nhata na 25.8k ukazinunua kwa ishu ya leverage ambayo broker anakuwezesha Ila Kama una maarifa na hiyo leverage inavyotumika hapo Ni kozi karibia mwezi zaidi na uchafu.



Hata walionunua mpunga juzi leo hiii ama mwaka huu wa mamatozo nadhani umeona walivyopiga hela ,mchele mahindi yamepanda mno so wamepona kinouma.
Yaani mwaka huuhuu mpanda Kuna sehemu gunia la mahindi yalikuwa yanauzwa 15000 kwa gunia Ila saivi yapo 70k kwa gunia ,so ungeweza kutredi hela zako ukanunua mahindi.
Iwapo ungeweza kujua Hali ya chakula na kiuchumi pamoja na dunia inavyokwenda pia Hali ya Hali unaangalia kuwa mwaka huu hakuna kulima ama no mavuno mengi unahifadhi chakula chako. Hii Haina tofauti na trading, kumbuka unanunua pia inaweza ikashuka Mana unaweza ukajikuta nchi fulani Ina mahindi mabehewa na behewa so wakayamwaga tZ kisa wamesikia Kuna Bei Nzuri Mana kawaida ya biashara Ni poker so be ready anything can happen and should have that mindset.




Samahani kuongezea ujuzi wangu katika uzi wako mkuu usije ukamaindi Ila kupeana maarifa.
Babu uko vzr sana.
 
Babu uko vzr sana.
Bado wa loliondo waso ama Ni lolosokwani ama sale ,digodigo,Maloni,marambo sita.
Bado mie Ni student, newbies ama amateur mkuu najifunza kila siku. Do you know this is life so life kila siku linatupa somo ama Cha kujifunza.
Am still learning wapo walio vizuri please Ila mie bado kabisa Niko kindergarten.
 
Utakuwa mkuu aminj your inner voice ishu kubwa Ni persistence and power of not giving up.
None is borne a trader/talented to trade because everything that we do is counterintuitive to our humanness, we're swimming upstreams of human behavior.
Be ready to fail more love failures double your failures.

Remember when you're doing it right or profitably everything you do hurts or is boring at the end of the time. It isn't exciting at all quite different how we commenced it or how we did during our amateurish time.

Double more practices then assess yourself. The secret is in your mind not in charts,books, computer,some guru,mentor, weekend course,inside tips, expensive books you've to read or VIP program, special YouTube channel. But they're just ingredients to your career.
Life is 10% what happens to us and 90% how react to.
Practice, practice man , practice man practice over and over and over again since this performance endeavor isn't about being competent but is about performing then you can make a living.
Our brain isn't friendly at it all when it comes the issue of success so look inside of your head.
We've met enemy and is within us. The greatest Victory is to conquer oneself and not someone else. If egg breaks by external Force life ends but if it breaks by internal force life continues.
Na hapa ndipo Jesus aliwaambiwa wanafunzi wake kuwa like kinachokutoka ndicho kikutiacho unajisi sio kukiangacho. Mana katika mioyo Kuna nguvu na mawazo mabaya ama maazuri yanatutuma kufanya madhambi ama Mambo yasiyompendeza aliye juu.


Nikikushauri ufanye kitu Kama sio kuwa kupenda kwako mwenyewe yaani Kama hauna wito nalo huwezi fika mbali.


Mwishoni kabisa if the desire is there you'll find a way.
It takes courage, commitments yaani high committed sio kuongea tu mdomoni unakuwa tayari Kama unavyowaza kumfia demu unayempenda ambaye ukimsubiria masaa kumi akija akiakuambia nimechelewa beibi unakataa kuwa hajachelewa,
Akiakuambia nisusbirie miaka hata 10 nimalize shule unioe unasubiria Kama kweli unampenda so the same applies to anything like trading,any business of your undertaken endeavors.


Niishie hapa Mana naweza jaza server bure nikawatapeli watu
Thanks mkuu........umenijenga.....thanks.
 
Back
Top Bottom