Don Nalimison anauliza Kwanini Mabenki hawataki kuweka Warithi kwa wateja(Next of Kin)

URITHI tayari unasimamiwa na sheria ya mirathi ambapo utaratibu unaanzia kwenye kikao cha wanandugu na mirathi ama vinginevyo andika urithi unaotambulika na sheria ya mirathi

Next of kin ni kwa ajili tu ya kutoa taarifa na si kukabithi urithi
 
URITHI tayari unasimamiwa na sheria ya mirathi ambapo utaratibu unaanzia kwenye kikao cha wanandugu na mirathi ama vinginevyo andika urithi unaotambulika na sheria ya mirathi

Next of kin ni kwa ajili tu ya kutoa taarifa na si kukabithi urithi

Unajua wabongo (sijui kama ni Africa nzima) tuna tabia ya usiri kwenye mambo ya kifedha.

Mtu unafariki na hakuna yeyote anayejua accounts zako.
 
benki hawana mana kabisa wanataka warithi mpunga wako kirahisi rahisi tu
mjomba komaa nao,mpaka waweke icho kipengere, hawakujui hao, don hadhulumiwi kifala
 
Ndomana kna mirathi, lkn bado kwa Tanzania kna watu huwa bado wanapigaga tiktaka

Ova
 
Ndomana kna mirathi, lkn bado kwa Tanzania kna watu huwa bado wanapigaga tiktaka

Ova
Kwenye maswala ya urithi na mirathi, Africa tunajifanyaga vichwa ngumu sana. Kuna dingi alifariki na kuacha maandishi ya mgawanyo wa mali zake. Ila kuna ndugu mmoja anakwambia haitambui ile barua, .
 
Back
Top Bottom