Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Diamond hajawahi kutoa wimbo ambao mtu anayefuatilia muziki na kuelewa melody, harmony, arrangement akaukubali.Dogo Domo una stress trust me, na nina wasiwasi unapuliza sasa hivi mboga.
Ngoma tatu lakini hakuna jipya lenye kuleta muonekano mpya unafeli brother.
Mapenz yana kusumbua, tafadhali usichanganye na kazi dogo. Miko kumi ya Rap GK ft AY
Time hii ongeza meneger mmoja hata babu yako wa Kigoma ili uchanganye ladha fulani. Dunia inataka vitu fulani vitu vya asili mix .
Nilimwambia mke wangu siku moja ule wimbo wako je utanipenda? ndio kaburi lako la mziki usipo kuwa makini.
Nilimwambia kwasababu, kipindi wimbo wako wa kwanza pia nilimwambia utafika mbali na kweli umefika.
Hapo ulipo unaweza kufanya makubwa bila kushirikisha msanii wa Ulaya, tuliza akili lasivyo utapotea bro.
Kuwa makini sana, am your brother na Nakupenda sana, japo nakula sana misumari moto.
Anapata marks za effort ya kubana pua na kupangilia mashairi nusu.
Mpaka leo sijaelewa mass appeal yake ni nini zaidi ya kujua kujipiga promo tu.
Siku zote nimekuwa nikimkubali Ali Kiba kuliko Diamond.
Diamond hajawahi kuachia ngoma kama Aje au School Baby
Hebu sikiliza ngoma zinavyopigwa, gita linavyolia, na Kiba anavyonung'unika (hata kama hana deep lyrics, Kiba anafunika)
Diamond hajawahi kutoa wimbo uliofikia hizi mbili. Basi tu Kiba hajui promo.
Ali Kiba "School Baby"
Ali Kiba ft M.I "Aje"