Kidogo nipate presha niliposikia eti VIP Lounge ya pale JNIA imegharimu bilioni 12. Jamani huu utani. Hakuna jengo hata la nusu bilioni pale. Nundu na wenzake watatusababishia shinikizo jamani
Hata Ungekuwa sio wa Kawaida ila 12,000,000,000 Haingii Akilini!! Mimi nina deal na mambo ya Ujenzi ila kwa ujenzi wa aina hiyo ninaukadiria sana Gharama yake Haizido 800,000,000!! Sasa ndio naelewa kwa nini kwenye Shule zetu za Kata Hakuna Madawati, Matundu ya Vyoo, na Vyumba vya Madarasa!! Eeh Mungu Tuokoe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.