Dola bei juu, kulikoni thamani ya shilingi?!

Dola bei juu, kulikoni thamani ya shilingi?!

Inawezekana records zangu zikawa nimechanganya,
lakini bado sijatofautiana sana, mwezi january 1usd=1780tsh.
http://www.bot.go.tz/FinancialMarkets/ExchangeRates/ShowExchangeRates.asp
Capture.PNG


Best US Dollar Exchange Rates

ila mpaka kufikia mwezi machi 2015 exchange rate ya TZA ilikuwa
ni 1usd=1850tsh, na hapo ilikuwa imeanguka tena.

US Dollar to Tanzanian Shilling Exchange Rate History on 31 March 2015 (31/03/2015)

Statistics ambazo unaonyesha wewe zimeanza kuhesabiwa kuanzia mwezi wa saba kipindi ambacho shilingi ndo imeanza kushuka kwa kasi.
 
Umeongea point sana mkuu maana bila kudhibiti matumizi ya fedha za kigeni kwetu hapa lazima tutaangukia pua. South Africa ukitaka kubadili fedha za kigeni lazima uwe foreigner otherwise kwa mzawa au raia lazima mamlaka zihusike na sababu iwepo.
Na ukienda kubadiri pesa, ukiacha uhitaji wa Passport yako, hayo maswali yake Kama upo kwenye interview ya kazi, mwaka juzi nilipeleka mzigo wa biashara, boda wakataka nilipe Rand 120 nikawaambia sina Rand ila Nina Dola nikaomba nilipe kwa Dola, wakakataa katakata!
 
Back
Top Bottom