mkuu kazungumzia kuhusu swala la polisi kuzuia M4C iringa, kasema M4C itaendelea kuanzia trh 2 sept, itafika kijiji mpaka kijiji, kata mpaka kata za Mkoa wa Iringa. Pia wamegundua hujuma na janja ya serikali ya CCM kwa chama chao, ni mkakati wa kukipaka matope CHADEMA. kaahidi kusimama mpaka mwisho. Anaendelea!
View attachment 63433katibu mkuu wa Chadema Dkt Slaa akionyesha baadhi ya vielelezo kwa wanahabari leo mjini Iringa..View attachment 63434Katibu mkuu huyo wa Chadema Taifa Dkt Slaa ameibua mambo mazito juu ya waziri Sitta na serikali yake katika mkutano huo na kueleza mikakati mbali mbali ya Chadema .
Source: Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima
Mpaka sasa viongozi wa kitaifa ndio wanasubiliwa, kila kitu kipo sawa!
Utakuwa unaedit post ya kwanza tuuMkuu nipo na phone hapa!
Mnategemea polisi sijui 2015 mtategemea sungusungu kwasababu polisi itakuwa chini ya CDMChezea ccm weyeeeeee ?
Tunangoja kwa hamu.