Dokta Slaa aitisha Press Conference Iringa!

Nzenzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
858
Reaction score
164
Ni kuhusu M4C Iringa baada ya mvutano mkubwa na polisi. Tegemeeni Updates ya yatakachojili!


 
kama nawaona polisi...aroo arooo ova wakijiandaa na makofia yao na marungu.....
 
Mpaka sasa viongozi wa kitaifa ndio wanasubiliwa, kila kitu kipo sawa!
 
Mpaka sasa viongozi wa kitaifa ndio wanasubiliwa, kila kitu kipo sawa!

Mkuu tafadhali uwe unaweka updates kwenye post ya kwanza. Inakuwa rahisi zaidi kufuatilia.
 
Hakuna jipya hapo, sana sana atakuja na document zingine za siri. Halafu atasema waende mahakamani
 
Nje ni magali ya M4C na yale ya wafuasi wa CDM yanaonekana kwa wingi. Muda si mrefu Viongozi wa kitaifa watawasili.
 
nafikiri atakuja na majibu ya gamba sitta kuhusu kauli yake ya juzi...update muhimu mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…