jamaa mmoja alikwenda hospitalini,alivyofika kwa dokta mazungumzo yalikuwa hivi,
Dokta,:sema mgonjwa unasumbuliwa na nini?
Jamaa:uume wangu hausimami.
Docta:una mke?
Jamaa:hapana
Dokta:una mchumba?
Jamaa:hapana
Dokta:una mpenzi?
Jamaa:hapana
Dokta:kuna starehe yoyote unayopenda?
Jamaa:hapana.
Dokta:sasa unataka uume usimame ili utundikie koti au ili iweje hebu potea.