Dokta mimi siumwi huko

Dokta mimi siumwi huko

Upo mamy?
Mie nimependa hizo tafsir za macho tu,natamani ingekuwa movie nione hilo jicho linalosema hivi au vile linafananaje

Hahaha....mwambie Daudi1 akuonyeshe macho yanayosema 'I love u'
 
Last edited by a moderator:
Story nzuri sana! Inafundisha na kuburudisha! Daah! Masikini sulee!
 
Dah! ingekuwa ni mim ningemsamehe monica na hakika asingerudia tena kuchepuka
 
Back
Top Bottom