mbatia mnzava
Member
- Jul 1, 2011
- 27
- 3
sikumoja ticha alikua anafundisha kuhusu mbuga za wanyama clas.akawauliza wanafunzi wangapi wangependa kutembelea mbuga za wanyama?wanafunzi wakanyosha vidole isipokua dogo mmoja ticha akamuuliza yule dogo vipi mbona ww hujanyoosha kidole.dogo akamwambia mim mama aliniambia nikitoka shule nikaoshe vyombo nisipitie mahali popote.dogo alimaanisha kwamba wanaenda mbugani ule mda!!