Teacher:kila mwanafunzi hebu jaribu kufikikiria upo msituni halafu ukakutana na simba na hauna silaha yoyote,utafanya nini ili kujiokoa?
dogo:mwalimu,ili nisiliwe na simba basi nitaacha kufikiria huo upuuzi.
dogo ameambiwa baada ya kipindi aende ofisini itakuwa wanataka kumpandisha darasa
%by Sir Khan.born 2 win%