Dogo na demu wake washushuliwa na dingi

Dogo na demu wake washushuliwa na dingi

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,395
Reaction score
13,266
Hii sijui kama ilisha wekwa humu lakini mtu kanitumia:

Siku moja Dogo alikuwa ameakaa na dingi yake ghafla akatembelewa na demu wake na mambo yakawa hivi:

DOGO: Karibu sana, umefuata kile kitabu chako cha SPEAK ENGLISH MY FATHER CAN NOT UNDERSTAND?
DEMU: Hapana nataka kile cha WHERE CAN WE MEET?
DOGO: Hicho sina labda nikupe kile cha WE CAN MEET UNDER THE MANGO TREE
DEMU: Hicho sihitaji, nipe kile cha I GIVE YOU FIVE MINUTES
DEMU: Usihau na kile cha I LOVE YOU!
BABA: Huyu mtoto anataka vitabu vingi sana, atasoma avimalize vyote kweli?
DOGO: Huyu ana akili sana ndio anaongoza darasani atavisoma vyote
BABA: Basi mpe na klie cha I HAVE UNDERSTOOD ALL THE STUPID THINGS YOU WERE TALKING ABOUT!
 
Back
Top Bottom