mkuu na wewee ni msanii nini?unaona kulaa kitu ujanjaaa...na kutaja majina ya mapusha wako room sio,sasaa tutamfatilia huyo ludaa anae aribu vijana na watoto wetu kwa kuwauziaa madawa ya kulevia[bange],akunaa short katii ya maisha..dongo janjaa anavutaa ndumu sanaaa,na hao watu wazima mabwenge kina madee wanatafuna helaa ya dogo tu.ingekuwa mwanangu ninge mbanaa asome kwanza mziki baadaeNgoja kwanza nile kitu cha Olkokola hapa Mianzi kwa ludaa then midamida ntashuka pande za ground
kwann nasri wa arsenal kasoma?
kwann nasri wa arsenal kasoma?