Lakini kwenye hii video sikuona fimbo ina mpata kijana , nasikia sauti na kijana analia - labda hii ni acting. Lakini pia ikiwa huyu kijana kweli kamrokodi shangazi yake basi anastahili kipigo zaidi ya hichi. Ni aibu vipi ikiwa video ya Shangazi yake yuko uchi itazagaa kila pahali. Huku ndio kulea sio unamuacha mtoto anapotokewa .
Mkuu sema wewe, watu wanajifanya hapa eti ohoo jamaa katili sana!! Kuna ukatili gani hapo, mi mwenyewe nimesema kama ingekuwa ni mimi dogo kama huyu anayerekodi shangazi yake akiwa mtupu angechezea kichapo kikali kuliko hiki. Hapo hamna kipigo wala nini sana sana makelele tu.