sylvesterwille
Senior Member
- Nov 29, 2013
- 172
- 41
Digital
chezea digitally.., ukizubaa unajikuta facebook..Digital
Acha use...ukitaka apewe pipi au...Leo na kesho waikuta video iko kweny mitandao ...safi sana coz vijana wa siku izi waezamrekodi MTU ukajikuta uko hewani....
Waislam bhana.................
Kwani kuna mahali pameandikwa uislam kaka
safi kabisa kama unaona huyo dogo kaonewa na wewe kamrekodi shangazi yako
Waambie bana, unafiki tu unawasumbua hapa. Huyu dogo ingekuwa ni mimi angeweza kuchezea kichapo kikali kuliko hiki. Kawaida sanaaaaa.
Natamani hao watasha siku wakuotee unabeba cd smwhere.., then wakushushie kipigo hevi kama hicho.., pale utakapoanza kujiharishia ndio utaona jinsi ilivyo kawaida saaaaanaaaa..!
Endelea kutamani tu. Hiyo Kawaida sanaaa we kama una tabia za kuchungulia shangazi zako ndio uache, la sivyo tukikumata ni mboko tu kama kawa.
aya majitu kweli nai makatili
Adhabu gani hizo unapewa mbele ya dada zako na mashangazi
Je ni kweli alimrekodi?
Du kweli Waarabu ni wa kukaa nao mbali
Ninachojiuliza mama yake alikuwepo wakati wa adhabu hiyo? Maana naona kunabinti kashikiria kamba sijui ndo alikuwa anarekodiwa ama la? Lakini ni kipigo kikali cha kikatili ambacho mtu labda anatayarishwa kujitoa muhanga
Endelea kutamani tu. Hiyo Kawaida sanaaa we kama una tabia za kuchungulia shangazi zako ndio uache, la sivyo tukikumata ni mboko tu kama kawa.
Mi nadhani vipigo kama hivi umeshakutana navyo sana home kwenu ulipokuwa mdogo.., so kwako ni kawada saanaaa.., swali lililobaki ni je, ulikuwa unafanya makosa gani..?