Dogo ala kipigo cha mbwa mwizi baada ya kudakwa akimrekodi shangazi yake video akiwa bafuni!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
35,847
40,435
Strange video from Iraq shows what I presume is a domestic punishment.

It is said the naughty kid was caught filming his aunt in a bathroom doing her thing so to teach him a lesson about snooping on adult females, he was hanged upside down and several members of the family took turns to whip him. The only question left is – where the hell is the video of his aunt doing her thing in the bathroom? Nothing wrong with that too. VIDEO
 
Video inatisha,,lkn huo ndo ukweli waarabu ni wakatili sana,,si ajabu wanachinjana kama kuku.
 
Actually huyu dogo hiyo adhabu inaweza ikawa ni muhimu sana kwake.., kwani akiachwa akaja kufanya hayo mambo ukubwani basi atanyongwa in public kama si kupigwa mawe hadi kufa..!
 
Video inahitaji ujasiri kuingalia maana mtu kageuzwa kichwa chini miguu juu halafu fimbo za maana
 
Dogo kwa kweli kichapo kala tena cha nguvu.da hawa ndugu kweli makatili

sio kwamba ni makatili dhidi ya huyo mtoto.., system yao ndio ya kikatili.., hao wanaogopa kitakachomkuta ukubwani kama wasipomuadabisha mapema.., wanajua atavishwa tai na kuning'inizwa hadharani.., mi nadhani wanampenda mno huyo dogo ndio maaana kalisha kichapo kitakatifu..!
 
Strange video from Iraq shows what I presume is a domestic punishment.

It is said the naughty kid was caught filming his aunt in a bathroom doing her thing so to teach him a lesson about snooping on adult females, he was hanged upside down and several members of the family took turns to whip him. The only question left is – where the hell is the video of his aunt doing her thing in the bathroom? Nothing wrong with that too. VIDEO

ooo,godness!!
 
Bora kufunzwa na ndugu zake kwa bakora kabla hajafunzwa na ulimwengu kwa kumnyonga chezea mwarabu

aya majitu kweli nai makatili
Adhabu gani hizo unapewa mbele ya dada zako na mashangazi
Je ni kweli alimrekodi?

Du kweli Waarabu ni wa kukaa nao mbali
 
Safi sana huyo dogo hatorudia tena..wewe unaesikitika siku mamako akirekodiwa uchi ndo utajijua..
 
mkuu weka na hiyo video ya anti akioga. Ili habar isilalie upande mmoja
 
Mbona inafanana na ile ya Saudia Arabia waliokuwa wakimpiga hivyo methiopia maid...


Mimi mnipe kichapo kama hicho nadhani wahusika lazima niwalipizie nitauweka umandela pembeni
 
Shangazi yake labda kamsingizia tu.
Umeona eeeh pengine alimuita wakoge wote dogo akakataa basi ndio akasingiziwa... wajua Waarabu hata Joseph walimsingizia pia baada ya kumkataa mke wa kiongozi... uhandsame sometime majanga.


Kafiri sijui kasidi aachi asili??
 
Umeona eeeh pengine alimuita wakoge wote dogo akakataa basi ndio akasingiziwa... wajua Waarabu hata Joseph walimsingizia pia baada ya kumkataa mke wa kiongozi... uhandsame sometime majanga.


Kafiri sijui kasidi aachi asili??

Daah.., roho lazima iume sana kama huyu dogo amesingiziwa.., hivi unawezaje kumpiga mtoto kwa namna hiyo.., hata mtu mzima leo umtandike hivyo lazima ajikojoleeee..., am seriuz..!
 
aya majitu kweli nai makatili
Adhabu gani hizo unapewa mbele ya dada zako na mashangazi
Je ni kweli alimrekodi?

Du kweli Waarabu ni wa kukaa nao mbali

Acha use...ukitaka apewe pipi au...Leo na kesho waikuta video iko kweny mitandao ...safi sana coz vijana wa siku izi waezamrekodi MTU ukajikuta uko hewani....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom