mwanajamii one uko poa............!
ni kweli umri unamatter sana katika mahusiano kwani kwa ninavyoelewa mimi wanaume huwa na nguvu flani mpaka miaka 80 wakati wanawake hupoteza nguvu na hamu huanzia miaka 45-55,ndio maana siku hizi ndoa nyingi hupata matatizo na kupelekea wanaume kutoka nje kutokana na hili suala la watu kuoana oana tu hata kama wamepitana miaka miwili.
ushauri kwa wanawake.
jitahidi angalau mpenzio akupite miaka kuanzia 10 hadi 25 utayafurahia mapenzi
Mie ndo hapo nasemaga kuishi na mwanamke inataka ujasiri na umakini wa hali ya juu...........
unaanza shkamoo, then shka ........... the hujambo .......... siju huko mwisho ....... vipi
we zoba umeshindaje ............ mie naona age-mate +/- 3, hata ikifikia huko kuzodoana
haifedheheshi sana .......... my be I am just being naive ..................
Kwa kweli GFM kaka yangu nadhani mie ntakuwa mtovu wa nidhamu......yaani nikuamkie shikamoo?? mh itanikwaza yaani misarakasi yote nlikupigia muda ule, midirty words.........uote ikiwemo ile ya ntukanie sijui nani .....ah afu ati naanza tu shikamoo.....ah bwana mie kuwa ngumu bwana wewe.........................ntakupa mambo tu au za saa hizi bwana ah...........kama ni utovu wa nidhamu mniambie, nijirekebishe
factor of age si katika kuonekana umezeeka. Ila ni hivi, wanawake wanakuwa mature haraka kuliko boys. Kwa hiyo mwanamke akikuzidi umri atakuongoza hadi uchoke labda atumie busara tuu. Ndoo maana si rahisi kuoa mwanamke aliye kuzidi uumri. Mwanamke mwenye 18 anaweza kuishi vizuri na mwanaume wa 30+ lakini kinyume chake ni false. So make sure unakuwa makini na mwanamke unaye mwoa. Lakini kama mungu amekupa usitake taraka yote mwachie yeye.:mj1 nadhani kaongea ukweli lakini pia kuna wanawake ni wadogo kiumri lakini wana-maumbo makubwa cha msingi ni matunzo ,kama mama mdada utajitunza na kujipenda unaweza kuwa na 50 mtu akikuona akadhani una 40 matunzo yana matter zaidi
Kumbe mkuu una wake wengi?hayo mahubiri ni kwa ndoa ya mke mmoja na mume mmoja...
kwa sisi ma polygamists..........age is nothin but a number
tena ni bora mwanaume uwe na mke mmoja alie kuzidi umri ambaye atakusaidia
kukupa ushauri wa busara na kukufanya uwe stable....
hala unakuwa na mwingine au wengine the young ones fo se x and fun..........
Kumbe mkuu una wake wengi?
Haya mkuunimepunguza yuko mmoja tu nae akikaa vibaya nampunguza
Teh.. mimi 15-18 hahaMe ningependa baba watt anipite 10 yrs,...hahhaah
Hahahaaa Brenda ww unataka kunishinda ee[emoji28]Teh.. mimi 15-18 haha
Ni kweliHaya mambo ni subjective kwa vitu vingi sana.
super kuja pande hii totooMe ningependa baba watt anipite 10 yrs,...hahhaah