Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
kikwete huna wabunge
Wabunge sio wa Kikwete mkuu.Wabunge ni wetu sisi wananchi tuliowachagua.Ndio maana wanatutumia kama madaraja yao ya kuupandia utajiri!Tazama wanatusingizia sisi wananchi kwamba ni ombaomba.Tunawalilia shida kila siku!Binafsi mbunge wangu hata kwa sura simfahamu.Wanajenga hoja kama watu waliolaaniwa vile.Nauchukia sana huu mhimili<BUNGE>kwa maana umegeuka kuwa ni mhimili kandamizi katika nchi hii.