Jonathan Kiula
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 314
- 99
Kama mshahara hautoshi waache kazi wakatafute kazi inayolipa zaidi.[/QUO
Kama mshahara hautoshi waache kazi wakatafute kazi inayolipa zaidi.[/QUO
Kama mshahara hautoshi waache kazi wakatafute kazi inayolipa zaidi.
Nadhani hili ndilo sluhisho sahihi, kwa kuwa hakuna kinachowafunga kuendelea na ubunge, waachie ngazi kama alivyofanya Rostam ili tuchague wengine wanaoweza kuwatumikia wananchi katika maslahi hayo duni km wanavyoyaita wao. Kwa kuwa wameamua kuwa kama wafanyakazi, kikawaida mfanyakazi ukiona maslahi unayopata ni madogo, unatafuta green pasture na kuhamia huko unapoona kunalipa zaidi, so milango ipo wazi kwa wabunge kuacha kazi ya ubunge na kusaka well paid jobs of your choice.Kama mshahara hautoshi waache kazi wakatafute kazi inayolipa zaidi.
Si wote wenye hiyo tabia ya kutoka nje ya ndoa zao, so ni better ungefafanua vizuri mtu anayefumaniwa huwa ana behave vipi na wewe umemlink vipi mtu aliyefumaniwa na mke wake na hii thread.Hii Post kama vile umefumaniwa na mkeo?
Kimsingi wabunge wanataka kujenga Taifa la watu tegemezi kwao ili wao waabudiwe na kuonekana kama miungu watu. Hii ni tabia ya kishenzi kabisa na haipaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Nionavyo mimi kuwapa hela wananchi kwa kuwa wewe ni mbunge ni kama unatoa rushwa tuWabunge badala ya kuibana serikali iwajibike kukusanya kodi; kudhibiti wizi wa fedha/mali ya umma; rushwa/ufisadi na kusimamia uwajibikaji ili kupeleka maendeleo kwenye majimbo yao wao wanajipa jukumu la wasaidia wananchi shida zao kwa kuwapa pesa na kuchangia miradi ya maendeleo kwa pesa ya mshahara ili hali wanajua hawatafika mbali kwa kutoa fedha zao za mifukoni! Walivyo na akili fupi wanadhani posho zikiongezwa zitawasaidia kumaliza matatizo katika majimbo yao! Hizo posho hata ziongezwe kwa 100% hazitamaliza shida za hao wananchi wanao waomba misaada! Wala hazitaweza kujenga shule, hospitali na kuleta dawa!
Hii thread utadhani imeandikwa kijapani..
Na wabunge wa Chadema nao wataka pesa ziongezwe?
Nadhani tatizo ni kukubali kuongozwa na watu wababaishaji, nafasi za uongozi tumewaachia watu wasio na upeo wa kufikiri vizuri, Pia hatma ya nchi yetu tumeacha iamuliwe na watu wa vijijini wasio na exposure yakutosha-wanainfluence kubwa yakuchagua viongozi bila kujua sifa za viongozi.
Waamerika wakati wa uchaguzi mkuu wanafunzi wa vyuo vikuu walikuwa wanakwenda vijijini kwao kuwaelimisha wanakijiji wenzao juu ya elimu ya uraia na nani anafaa kwa sera zipi na nani hafai kwa sera zipi, in that sense, wengi waliweza kujua kipi pumba na kipi mchele. Zaidi ya hayo its high time sasa wasomi muingie kwenye sisa tuachane na ujengaji hoja dhaifu kama wa Lusinde. Kwa mawazo hayo ya wabunge wetu, tusishangae nchi kuingia kwenye mikataba mibovu mana sometimes nadhani hata lugha ya mikataba hiyo inaweza kuwa kikwazo kwao.
]Kimsingi wabunge wanataka kujenga Taifa la watu tegemezi kwao ili wao waabudiwe na kuonekana kama miungu [/COLOR]watu. Hii ni tabia ya kishenzi kabisa na haipaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Nionavyo mimi kuwapa hela wananchi kwa kuwa wewe ni mbunge ni kama unatoa rushwa tu