Dodoma tunakuja kuwashika sasa

Dodoma tunakuja kuwashika sasa

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
1469951717020.jpg
 
Kweli huo uhamisho balaa,hadi mh kitwanga naye ndani ya nyumba😀😀😀
 
Nasikia eti na mkuu wa mkoa wa Dar atahamia Dodoma atatoa maelekezo kutokea huko
 
Mtaa wa Ufipa ikifika 2020 hawajahamia Dom hawatapewa Ruzuku
 
Ubunifu wa Watanzania unatisha, ingekuwa hivi hata kwenye maendeleo tungekuwa mbali....mtu anakaa na kufikiria katuni ya aina hii, lakini hatuwezi kubuni mikakati ya kuleta maendeleo...tehtehtehtehteh
Mkuu kwani we ni mgeni nchi hii?huo ubunifu wako utampelekea nani aukubali?
 
Back
Top Bottom