Dodoma ni kutamu jamani

Home sweet home!!
 
Katika majiji yote Afrika Mashariki na Kati Dodoma inaongoza kwa usalama wa hali ya juu....sijawahi kusikia tukio lolote kubwa la ujambazi kwamfano uvamizi wa benki
Huenda hawaoni cha kuiba. Kama kikiwepo watakuja
 
Bambalaga , na chako ni chako Texas viko vingi mno ukienda makole ndio utachoka
Bambalaga siku hizi imepoa sana nilienda nikarudi tu rainbow. Huko kwingine ntapita nibadili mazingira kama si mbali maana huwa napendelea jirani na Hotel ninayofikia
 
Akili yko ndio imeishia hapo , jua usalama ukiwa mkubwa hata wezi wanaogopa tatizo vichwa maji ni wengi mno , kwa mfano ikulu ulishawai sikia majambazi wameiba na ndo kwenye hazina ya taifa , Ina maana wezi hawaoni ?
Kwa akili yako ikulu jambazi ataiba nini
 
Huenda hawaoni cha kuiba. Kama kikiwepo watakuja
Akili yko ndio imeishia hapo , jua usalama ukiwa mkubwa hata wezi wanaogopa tatizo vichwa maji ni wengi mno , kwa mfano ikulu ulishawai sikia majambazi wameiba na ndo kwenye hazina ya taifa , Ina maana wezi hawaoni ?
 
Bambalaga siku hizi imepoa sana nilienda nikarudi tu rainbow. Huko kwingine ntapita nibadili mazingira kama si mbali maana huwa napendelea jirani na Hotel ninayofikia
Sio poa watoto wa chuo ni nomaaa
 
Hiyo sio 5 Star acha kudanganywa. Hamna 5 Star Hotel Dodoma labda wa-upgrade napo itachukua muda, maana hii ilikuaga 3 Star labda wapande hadi 4
Zinajengwa nyingi tu we subili ndani ya miaka miwili
 
Sehemu ndogo sana dodoma ndo ipo vizuri majority ya wakaz wa dodoma wanaishi terribly. Sababu ya Lindi la umasikini.
Umasikini kote tz upo , ila unazidiana mkuu , Hadi nchi zilizoendelea , ni ngumu kumefanya mtu wa kijijini kuwa kama wa mjini , ila utakuta mtu wa mjini hakuna anachomiliki , umkute mtu kapanga chumba kajaza fenicha isiwe tikert ya kumuita mtu mwenye mifugo kijijini ni maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…