Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Mahakama ya Wilaya Dodoma imemfutia Onesmo Machibya ‘Nabii Tito’ mashtaka ya jaribio la kutaka kujiua baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kuwa ana matatizo ya akili.
Baada ya kutoa hukumu hiyo leo, Hakimu wa Mahakama hiyo, James Karayemaha ameamuru atibiwe