Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 728
- 322
Kama uko Dodoma kuna mtu wangu anatafuta lap top yenye uwezo mzuri mfano iwe na 1GB of ram na Hard Drive yenye storage kuanzia 60GB kwenda mbele.
Ametoa laki 3.
Jaman kama kuna mtu wa kihivyo anayo hiyo kitu hebu aPM nimpe contact za huyo mtu wasawazishe!
Asanteni wakuu!
Ametoa laki 3.
Jaman kama kuna mtu wa kihivyo anayo hiyo kitu hebu aPM nimpe contact za huyo mtu wasawazishe!
Asanteni wakuu!