Dodoma: Laptop inatafutwa/inahitajika.

Dodoma: Laptop inatafutwa/inahitajika.

Radio Producer

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
728
Reaction score
322
Kama uko Dodoma kuna mtu wangu anatafuta lap top yenye uwezo mzuri mfano iwe na 1GB of ram na Hard Drive yenye storage kuanzia 60GB kwenda mbele.
Ametoa laki 3.
Jaman kama kuna mtu wa kihivyo anayo hiyo kitu hebu aPM nimpe contact za huyo mtu wasawazishe!
Asanteni wakuu!
 
Kama uko Dodoma kuna mtu wangu anatafuta lap top yenye uwezo mzuri mfano iwe na 1GB of ram na Hard Drive yenye storage kuanzia 60GB kwenda mbele.
Ametoa laki 3.
Jaman kama kuna mtu wa kihivyo anayo hiyo kitu hebu aPM nimpe contact za huyo mtu wasawazishe!
Asanteni wakuu!
Hilo linawezekana subiri waje wakazi wa Dom
 
Ipo DELL INSPIRION D400- Dar fanya hima kuni PM italetwa Dom mara moja.
 
Kwa bei hiyo labda akanunue Pentium III yenye ram 256

Mkuu usikalili vitu utaumiza kichwa sana bure! kwa taarifa yako nimepata computer laptop nzuri tu yenye 1GB ram na 160GB HDD. tena kwa bei hiyohiyo teh teh teh
 
Mkuu usikalili vitu utaumiza kichwa sana bure! kwa taarifa yako nimepata computer laptop nzuri tu yenye 1GB ram na 160GB HDD. tena kwa bei hiyohiyo teh teh teh

hongera, inawezekana ni ya wizi au ina ubovu flani. Ichunguze vizuri kabla hujalipia.
 
ya wizi hiyo, aseme kanunua duka gani. laptop zinaibwa sana siku hizi na kuuzwa kwa bei che...
 
ya wizi hiyo, aseme kanunua duka gani. laptop zinaibwa sana siku hizi na kuuzwa kwa bei che...

Mengine yakwenu mimi nimeshapata na ni nzuri maana na mimi nimepitapita IT naweza kuchambua nyama na mfupa! Tena sikutegemea kupata nzuri kiasi hicho shida ya nini si uiangalie hapa chini
laptop.jpeg
 
Yaani bado mi sijaelewa kabisa mkuu anataka laptop au desktop? Maana hizo ni bei za desktop tena desktop zenyewe zenye CRT monitor sio flat,huyo jamaa yako mwammbie kama hana haraka hizo pesa azihifadhi zikifika angalau laki nne na nusu ndio atafute laptop coz kwa hiyo pesa laptop atakayouziwa plus matengenezo inaweza ikafika laki sita kwa sababu kwa bei kama hizo za laki tatu atapata laptop iliyokufa betri na betri ya laptop ni kkuanzia sh laki moja na kuendelea so laki moja plus laki tatu unapata sh ngapi bado haujampa fundi aliyejifanya amegundua tatizo la hiyo laptop,nasema hayo nikiwa kama muuza hizo laptop used na new na technician wa hizo laptop na desktop.
 
Kama uko Dodoma kuna mtu wangu anatafuta lap top yenye uwezo mzuri mfano iwe na 1GB of ram na Hard Drive yenye storage kuanzia 60GB kwenda mbele.
Ametoa laki 3.
Jaman kama kuna mtu wa kihivyo anayo hiyo kitu hebu aPM nimpe contact za huyo mtu wasawazishe!
Asanteni wakuu!
hongera mkuu kama umepata laptop nzuri kwa bei ndogo,,safi sana..........:dance::dance:
 
Back
Top Bottom