Dodoma kumetulia utafikiri hakuna bunge

Dodoma kumetulia utafikiri hakuna bunge

Savings yake kwa nchi ni nzuri kama hiyo savings itakwenda kwenye development projects. Mwakani ndo tutaonja mafanikio ya Mheshimiwa Rais

Umejibu vizuri na kitaalam kabisa Mkuu. Hongera sana kwa kujua kuchambua na kufikiri kiufundi!
 
Acha uwongo wewe, hyo research umefanya lini na muda gan kujua kuwa kila baa au gest zote za Dodoma hakuna wageni? Hyo ndo kazi yako kuzunguka gest zote mji wote wa Dodoma?

Marufuku za Magufuli kweli zimebana matumizi. Mji wa Dodoma uliokuwa unafurika watu hadi machangudoa toka Arusha na kenya kiasi cha kufanya upatikanaji hoteli kwa wageni kuwa shida sasa hivi hakuna. Hoteli nyingi tupu wageni wa waheshimiwa yaani machangudoa and company limited wamekosa wa kuwagharimia.

Magari aina ya mashangingi yaliyokuwa yakionekana kila kona ya Dodoma yakiranda randa yakiwa na vichangudoa kipindi cha bunge sasa hivi hali tofauti kabisa.Ukiliona ni moja moja tu.

Mji umetulia mno tofauti na miaka yote.Wageni ni wachache.Tofauti na miaka ya nyuma ambako wageni wanaokuja kwa gharama za serikali walikuwa nafikiri mara 20 ya wabunge
 
Marufuku za Magufuli kweli zimebana matumizi. Mji wa Dodoma uliokuwa unafurika watu hadi machangudoa toka Arusha na kenya kiasi cha kufanya upatikanaji hoteli kwa wageni kuwa shida sasa hivi hakuna. Hoteli nyingi tupu wageni wa waheshimiwa yaani machangudoa and company limited wamekosa wa kuwagharimia.

Magari aina ya mashangingi yaliyokuwa yakionekana kila kona ya Dodoma yakiranda randa yakiwa na vichangudoa kipindi cha bunge sasa hivi hali tofauti kabisa.Ukiliona ni moja moja tu.

Mji umetulia mno tofauti na miaka yote.Wageni ni wachache.Tofauti na miaka ya nyuma ambako wageni wanaokuja kwa gharama za serikali walikuwa nafikiri mara 20 ya wabunge

Mkuu, hivi hao changudoa's walikuwa wanalipwa kutoka kwenye mfuko wa bunge au mifuko ya wabunge? na je hivi wabunge wamepunguziwa mishahara/posho kiasi kwamba hawawezi tena kulipia gharama za huduma?
 
Back
Top Bottom