Dodoma kuigharimu Zanzibar

Dodoma kuigharimu Zanzibar

Macos

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2008
Posts
1,979
Reaction score
1,418
Uamuzi wa kuhamia Dodoma, ulianza 1973 na baadae kufutwa kimya kimya kutokana kuonekana wazi mji huo haufai kuwa mji mkuu wa Tanzania kutokana sababu nyingi ikiwamo kuwa mjii jangwa na usio kuwa na vivutio. Majuzi Rais alifufua wazo hilo katika mkutano wa siasa wa chama chake wakati akikabidhiwa uenyekiti.

Uamuzi ule ulifutwa kimya kimya kwa sababu ulikua uamuzi wa Mwalimu hivyo kufanya kila rais kukataa kutamka rasmi kuwa dodoma hakufai. Rais ameamua peke yake uamuzi huo bila kuangalia kuwa katika kipindi cha kimya kimya serikali imetumia fedha nyingi kujenga Dar es salamm. Wamejenga wizara karibu zote upya hapa Dar. Zanzibar nao kwa kuamini uamuzi ule umefutwa kimya kimya nao wamejenda ofisi yao iliopo Dar ambayo hutumiwa na viongozi wanapo kua Dar.

Uamuzi wa kwenda dodomakwa sasa utaigharimu Zanzibar, kwanza itabidi waweke bajeti nyengine ya kuwa na ofidi yao Dodoma na pili maofisa wa Zanzibar itabidi sasa kufata mazungumzo au majadiliano au issue zao dodoma kwa gharama kubwa zaidi. Kama walikua wanakuja Dar na kurudi Zanzibar jioni sasa itabidi posho iwe kubwa zaidi. Mfano wangeweza kuja Zanzibar kwa laki moja na kurudi sasa nila ya laki tano hawawezi kufika Dodoma. Hivyo Zanzbar wategemee gharama kupanda kutokana na uamuzi huu wa. Kichama zaidi.
 
itabidi waanzekujenga upya maana kazi ipo kubwa sana
 
Kuna mambo magumu sana na moja wapo ni hili la kuhamia Dodoma. Lakini kama mleta mada anavyosema haiwezekani kuwa tangazo lilitolewa hadharani mwaka 1973 lakini likafutwa 'kimya kimya'. Kwa maana hiyo huenda JPM kapitia mafaili pale Magogoni na kuona huo 'ukimya kimya' haukuwa na maslahi kwa taifa bali maslahi ya watu binafsi kama ule wa kufuta Azimio la Arusha. Pia usisahau nafasi ya Zanzibar katika structure ya Muungano ina utata sana na waliolichambua hili wanalijua vizuri na wanashauri marekebisho katika kuliweka sawa.
Kwa maana hiyo ni bora tufikie sehemu na tujue kama taifa kuwa tunahamia Dodoma au haiwezekani badala ya kuendelea kuamua kimya kimya. Ofisi kuu ni kwa ajili ya kutoa maamuzi na sio 'ukimya kimya' huo!
 
Kuna mambo magumu sana na moja wapo ni hili la kuhamia Dodoma. Lakini kama mleta mada anavyosema haiwezekani kuwa tangazo lilitolewa hadharani mwaka 1973 lakini likafutwa 'kimya kimya'. Kwa maana hiyo huenda JPM kapitia mafaili pale Magogoni na kuona huo 'ukimya kimya' haukuwa na maslahi kwa taifa bali maslahi ya watu binafsi kama ule wa kufuta Azimio la Arusha. Pia usisahau nafasi ya Zanzibar katika structure ya Muungano ina utata sana na waliolichambua hili wanalijua vizuri na wanashauri marekebisho katika kuliweka sawa.
Kwa maana hiyo ni bora tufikie sehemu na tujue kama taifa kuwa tunahamia Dodoma au haiwezekani badala ya kuendelea kuamua kimya kimya. Ofisi kuu ni kwa ajili ya kutoa maamuzi na sio 'ukimya kimya' huo!
Kuna mambo magumu sana na moja wapo ni hili la kuhamia Dodoma. Lakini kama mleta mada anavyosema haiwezekani kuwa tangazo lilitolewa hadharani mwaka 1973 lakini likafutwa 'kimya kimya'. Kwa maana hiyo huenda JPM kapitia mafaili pale Magogoni na kuona huo 'ukimya kimya' haukuwa na maslahi kwa taifa bali maslahi ya watu binafsi kama ule wa kufuta Azimio la Arusha. Pia usisahau nafasi ya Zanzibar katika structure ya Muungano ina utata sana na waliolichambua hili wanalijua vizuri na wanashauri marekebisho katika kuliweka sawa.
Kwa maana hiyo ni bora tufikie sehemu na tujue kama taifa kuwa tunahamia Dodoma au haiwezekani badala ya kuendelea kuamua kimya kimya. Ofisi kuu ni kwa ajili ya kutoa maamuzi na sio 'ukimya kimya' huo!
Naungana na wewe na pia mtoa uzi huu kwa kusema kwamba ni kweli kuna gharama kubwa sana kwa Serikali kuhamia Dodoma
1.Mifumo mingi ya kumbu kumbu za watumishi bado zipo manual kama Hazina na Utumishi.
2.Budget iliyopitishwa na wabunge ya 2016/2017 hawakuweka pesa za kuhamia Dodoma i.e. Mtu mmoja awe mme au mke na watoto watatu tu pamoja na mizigo sio chini ya 5,000,000/=
3.Bado mradi wa maji unaotoka Shinyanga haujafika Singida ndio uje Dodoma maana maji ya Dodoma hayatoshi na pamoja na sababu zingine siwezi kuzitaja hapa.
4.Miundo mbinu mingine kama Hospital ukiondoa Genaral na Feruz,Gema Hospital na pale Udom alafu uwapeleke wato wote Dodoma kwa mara moja ni hatari sana
5.etc etc etc
 
Naungana na wewe na pia mtoa uzi huu kwa kusema kwamba ni kweli kuna gharama kubwa sana kwa Serikali kuhamia Dodoma
1.Mifumo mingi ya kumbu kumbu za watumishi bado zipo manual kama Hazina na Utumishi.
2.Budget iliyopitishwa na wabunge ya 2016/2017 hawakuweka pesa za kuhamia Dodoma i.e. Mtu mmoja awe mme au mke na watoto watatu tu pamoja na mizigo sio chini ya 5,000,000/=
3.Bado mradi wa maji unaotoka Shinyanga haujafika Singida ndio uje Dodoma maana maji ya Dodoma hayatoshi na pamoja na sababu zingine siwezi kuzitaja hapa.
4.Miundo mbinu mingine kama Hospital ukiondoa Genaral na Feruz,Gema Hospital na pale Udom alafu uwapeleke wato wote Dodoma kwa mara moja ni hatari sana
5.etc etc etc
Alafu kama unakumbuka JPM alivyotoa wazo la kuhamia Dodoma alisema katika miaka 4 na miezi 4 iliyobaki kwa kipindi chake. Kilichofuata hapo ni mizuk, mizuka, mizuka, mizuka hadi RC Rugimbana alivyotoa angalizo.
Maana alikuja PM akaema yeye ni mwezi wa tisa, mara Tizeba akasema juma moja na hata yule waziri aliyekuwa akimtaka Mh. Joseph Mbilinyi afute kauli ya 'mizuka' bungeni anye eti wiki mbili nk, nk.
Ina maana wangelisubiri walau bunge lijalo baada ya kukusanya kodi trillion 2.5 kwa mwezi waweke fungu la kuhamia Dodoma na ingekuwa rahisi badala ya sasa ambapo sijui watatumia mikopo binafsi kutoka benki.
Hiki ni kielelezo kwamba JPM anaweza akawa na nia njema lakini waliomzunguka ndio tatizo (japo naye aweza kuwa tatizo) hivyo kukubaliana na kauli ya Mh. Sugu kuwa ni mizuka kila sehemu. Hata aliyeambiwa 'awadhibiti' wabunge akaenda mbele zaidi na kufungia nusu yao!
 
Uamuzi wa kuhamia Dodoma, ulianza 1973 na baadae kufutwa kimya kimya kutokana kuonekana wazi mji huo haufai kuwa mji mkuu wa Tanzania kutokana sababu nyingi ikiwamo kuwa mjii jangwa na usio kuwa na vivutio. Majuzi Rais alifufua wazo hilo katika mkutano wa siasa wa chama chake wakati akikabidhiwa uenyekiti.

Uamuzi ule ulifutwa kimya kimya kwa sababu ulikua uamuzi wa Mwalimu hivyo kufanya kila rais kukataa kutamka rasmi kuwa dodoma hakufai. Rais ameamua peke yake uamuzi huo bila kuangalia kuwa katika kipindi cha kimya kimya serikali imetumia fedha nyingi kujenga Dar es salamm. Wamejenga wizara karibu zote upya hapa Dar. Zanzibar nao kwa kuamini uamuzi ule umefutwa kimya kimya nao wamejenda ofisi yao iliopo Dar ambayo hutumiwa na viongozi wanapo kua Dar.

Uamuzi wa kwenda dodomakwa sasa utaigharimu Zanzibar, kwanza itabidi waweke bajeti nyengine ya kuwa na ofidi yao Dodoma na pili maofisa wa Zanzibar itabidi sasa kufata mazungumzo au majadiliano au issue zao dodoma kwa gharama kubwa zaidi. Kama walikua wanakuja Dar na kurudi Zanzibar jioni sasa itabidi posho iwe kubwa zaidi. Mfano wangeweza kuja Zanzibar kwa laki moja na kurudi sasa nila ya laki tano hawawezi kufika Dodoma. Hivyo Zanzbar wategemee gharama kupanda kutokana na uamuzi huu wa. Kichama zaidi.

acha unafiki ww, serikali zote zilizopita zilikuwa zinaandaa miundombinu kama vile barabara, hujui kuwa dodoma kuna ikuru? nani kajenga, hujui kuwa kila wizara ina ofisi dodoma? nani kajenga, hujui kuwa dodoma kunanyumba za watumishi wa umma wakiwemo mawziri? nani kajenga. huu mchakato uliaza kufanyiwa kazi tangu ezi za mwl. magufuli anakamilisha tu baada ya kuona miundombinu inaruhusu kuhamia sasa.
 
Kwani zanzibar ni nchi labda tuanzie hapo ndiyo tutaweza kujadili vizuri
 
anayeijua ID ya mheshimiwa kessy mbunge wa Nkassy amuite hapa, kuna ishu inamuhusu
 
Kwani zanzibar ni nchi labda tuanzie hapo ndiyo tutaweza kujadili vizuri
Kwa mujibu wa Katiba yetu pendwa ya mwaka 1977, Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nadhani hapa wanasheria watanisaidia neno sehemu maana yake si kama Kigoma, Mwanza,Kilimanjaro na kwingineko?
 
Zanzibar ni mkoa wa Tanganyika sio nchi mbona uchwara Shein kutwa yuko Dodoma.Wazee wa urojo waacheni wapumzike mkoloni wao kaisha sema
 
Back
Top Bottom