Hakuna muhamasishaji wa kuanzisha na kutunza Miti.Mkuu wa mkoa na Mkurugenzi wa Dodoma,wote hawapendi miti.Mawazo na Akili zao ni kuuza Ardhi,ili wapate sifa ya Makusanyo.Kitu hiki walitakiwa kutoa Amri kwa Watendaji na Wenyeviti wa mitaa walazimishe kila Kaya ipande miti Kumi na kuitunza kwa Lazima,na iwe hivyo kila mwaka.Kama walivyotaka kufanya kwenye Miche ya korosho,ambapo iligaiwa kila ofisi Serikali ya mtaa,wafanye hivyohivyo
Sent using
Jamii Forums mobile app