Pinda nae kawa na mipasho kama mkwere, nadhani kuja kuishi dar basi kachukua hulka za kizaramo!!!
unajua PINDA nilikuwa namuona wa maana lakini kwa maneno yake haya .... naanza kum clasify kwenye kundi la hovyo kabisa
pinda kama waziri mkuu na kama kiongozi wa serikali bugeni wanaahidi ushirikiano kwa raisi.
Hii protokali ya mdogo kufafanua hotuba ya mkubwa imekaaje tena????.......aggggrrrrrrrrrr!!!!!