atakuwa naserikali ya wachapa kazi na waadilifu na watakaoweza kusimamia maendeleo na wale watakaoondoa urasimiu serikalini
Hii ni hotuba kweli mimi mbona naona kama vile anapiga stori tu
anatupa dongo kwa CHADEMA,
anasema hakuna wa kwenda kumlilia kwa sababu wao ndio serikali na hakuan nyingine
This is not what i expected to hear from Mkwere!Hii hotuba nafikiri wamezima moto,coz hakuna concrete issues ambazo zimeongelewa kwa msisitizo zaidi ya nusu ya Ripoti kujaa mh spika mh spika.
Mbona hajazungumzia Rushwa kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita,Mbona hajaongelea udhaifu na mapungufu ya NEC kutaka kusababisha uvunjifu wa amani??Huwezi kuonglea kuifanya nchi itegemee viwanda na huku sera ya nchi ikiwa kilimo kwanza>Excuse,give me a break!Mbona hajaongelea matatizo ya kushuka kwa thamani ya shilingi na Amejiandaa vp kukabili hali hii??Life is gonna be hell i am sure!
Ni kama vile anasema CHADEMA hata kama watamtambua au kutomtambua yeye atabaki kuwa rais na habari ndo hivyo
wabunge wa CCM wanashangilia, anasema serikali ni pamoja na Maalim seif.
Kama kawaida yake mipasho nafikiri atakuwa aliishawahi kuimba taarab