xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
Mnatetea ma engineer wanatengeneza kila kitu halaf hata kujitibu kidonda hawajui nawashangaaa,,ogopa mutu inayoshughulika kukurudishia uhai unaoyumbayumba kwa afya yako ya mgogoro?? Unatengeneza makombora wakat ilifel unakimbizwa kwa top wako doctor,,,achaneni na udaktari bhana hata watengeneze mashine za kusukuma mapigo ya moyo lakin usipoweza kumwekea binadamu inakusaidia nn? Yaan daktari ni anauwezo wa kukucheleweshea kifo chako kikasogea mpka kesho kutwa


