Doctors Vs Engineers

wasalam,
jaman sio dharau au majivuno wala mashindano, akini kwa upande wangu ninaona ipo ivi, kwenye professoinal mbili doctors na engineers zote zinaitaji concetration ya maana kama unasoma.

lakin kusema ukweli kabisa doctor atakiwa awe smart sana kuliko engineer na ni professional ngumu sana kuliko engineering, najua engineers wanajitetea na mathematics & phyisics kuwa ndio mambo magumu sana kweli masomo hayo magumu lakin kwenye swala la umakini na u smart wote anapewa doctor.

engineers wote nawaheshimu sana, lakin nimekuja kugundua cozi sio nondo kama doctor. nina mengi yakuongezea lakin inatoshaa kwa leo.

mwenye husuda, dukuku,maoni,povu... hayaaa!
Nikusahihishe kidogo Doctors are professionals but Engineers are not professionals, the reason behind ni kwamba principles zake zinaweza kuchange mara kwa mara lakini Doctor's principles hazibadiliki kamwe.., rule ya kumtibu mgonjwa mwenye meningitis iko hivyo hivyo miaka na miaka toka 1902 mpaka leo.. So doctor's are professionals but Engineering is not a profession is just a technician
 
Ninafahamu watu wengi waliokua na ile kitu ya mzunguko lakini baadae wakajiendeleza na kuwa madktari

Udaktari ni practicle tu.
Engineering ndio ulimwengu.
Engineer ni lazima awe na akili ya ziada.
Engineer ni lazima awe mbunifu pia. Akili ya Engineer ni lazima iwe na wepesi wa kuoanisha kitu.
Hivi unaweza ukamjaji kwa kiwango kipi Engineer anayebuni na kudesign chombo cha kwenda anga za juu. Kwanza anadesign chombo ambacho ni kikubwa na kinachohitaji matrilion ya pesa na ambacho kikikosewa kidogo kinaleta hasara kubwa sana na madhara makubwa sana.

Sasa mtu unaposema kuwa Daktari anatakiwa awe smart zaidi ya Engeener unashindwa kugundua kuwa Engineer akikosea mfano kwenye Kipuri cha Nyuklia madhara yake ni makubwa sana kwenye jamii kwa wakati mmoja.
Hata mitambo wanayotumia madktari kama MRI ,CT scan n.k. ikikosewa na maengineer walioidesign haiwezi kutoa vipimo sahihi.

Daktari atageuka kuwa mganga wa kienyeji endapo tu atakatazwa au ataacha kutumia vifaa au vyombo vilivyotengenezwa na maengineer.

Bila kuwa na maEngineer duniani hata fani ya udaktari itarudi kama enzi za mababu mana haitakua na vifaa vya kisasa ,mazingira ya kisasa na maisha ya kisasa ambavyo ni kazi ya maengineer katika ulimwengu huu.

Engineer ni habari nyingine kabisa usiiangalie juu juu kwa sababu tu ya kuona kuwa asubuhi ukiugua unakimbilia kwa daktari bila kujua hata hiyo panadol inatengenezwa kiwandani ambapo kazi ya maEngineer imelala. Themometa ya kupima joto la mwili ni kazi ya engineer.

Kwenye maisha ya kawaida tu basi ni ukweli kabisa kuwa Daktari ni muhimu zaidi kwenye kuifikia na kuihudumia jamii kwa kuwa wanadili na mtu mmoja mmoja binafsi moja kwa moja.
Lakini Engineer ni ishu nyingine ya kiujumla na kimaendeleo ya mwanadamu ili awe tofauti na viumbe wengine na aweze kuyabadili mazingira kuwa bora na rahisi zaidi na kusaidia fani nyingine zitimize majukumu yake kwa wepesi ,kwa uhakika na haraka zaidi.
Labda nikusahihishe kidogo, Doctors are professionals but Engineers are not professionals, the reason behind ni kwamba principles zake zinaweza kuchange mara kwa mara lakini Doctor's principles hazibadiliki kamwe.., rule ya kumtibu mgonjwa mwenye meningitis iko hivyo hivyo miaka na miaka toka 1902 mpaka leo.. So doctor's are professionals but Engineering is not a profession is just a technician
 
Kuna wengine wanajenga majengo yanaporomoka hata hayajaisha...kuna wengine wanafanya operesheni na mikasi wanasahau tumboni...u-smart wa mtu ni tabia na malezi, na pengine ni kipaji cha kuzaliwa nacho!!!
 
Nikusahihishe kidogo Doctors are professionals but Engineers are not professionals, the reason behind ni kwamba principles zake zinaweza kuchange mara kwa mara lakini Doctor's principles hazibadiliki kamwe.., rule ya kumtibu mgonjwa mwenye meningitis iko hivyo hivyo miaka na miaka toka 1902 mpaka leo.. So doctor's are professionals but Engineering is not a profession is just a technician
Engineer and Technician are two different people, having different qualifications and different responsibilities. Engineering principles do not change! Changes that are observed in Engineering are every day modifications as they are in Medicine! Open your mind!
 
Dr na Eng ni watu wawili tofauti. Everything dr anatumia kimetengenezwa na Engineer, na dr lazima apate special course kutumia hivyo vifaa. Licha ya hivyo miundombinu yote anayohitaji dr imetoka kwa Eng no doubt.
 
Alafu ma engineer wa kibongo njaa nyingi sana, ndo maana wengi wao wanaishia kufundisha twisheni au shule......na pia hata serikali inawaamini sana ma-engineer wa nje kama wachina alafu nyie wazawa na degree zenu mnakua vibarua kwa hawa foreigners
pointless kabisa naona umeanza kugeuza mada, isue ni ivi engineeer kwanza wengine wanafuata haijalishi ni wataifa gani Ova
 
Owk kwahiyo unataka kuniambia kabla hivyo vitu havijagunduliwa wagonjwa walikua hawaponi au? Alafu madaktari wana apply Biology, Physics na Chemistry kwenye kutoa huduma kumbuka hilo??

Alafu hujajibu swali langu, Utawezaje kufanya hizo invention kama haupo njema intermas of Health? Ni jibu
kuugua sio lazima below 50's ni tahadhari tu, but engineering is the must
 
Mhandisi atajua aje ukubwa wa mkasi unaotosha kuingia ndani ya tumbo wakati wa upasuaji? Mipira ya kumwuongezea binadamu damu au maji, unafikiri mhandisi aliibuni ukubwa wake, na kiasi kinachotakiwa kuingia mwilini kwa dakika bila ya ushauri wa tabibu anayejua mishipa husika ya mwili.
Basi anzeni kutengeneza mikasi wenyewe
 
Nikusahihishe kidogo Doctors are professionals but Engineers are not professionals, the reason behind ni kwamba principles zake zinaweza kuchange mara kwa mara lakini Doctor's principles hazibadiliki kamwe.., rule ya kumtibu mgonjwa mwenye meningitis iko hivyo hivyo miaka na miaka toka 1902 mpaka leo.. So doctor's are professionals but Engineering is not a profession is just a technician
Hapa hapana... Rules za kutibu magonjwa zinachange kila mara... Bacteria wanajenga resistant sana siku hizi mkuu
 
Basi anzeni kutengeneza mikasi wenyewe
Haaaaahhaha naona km umemaind hivi (kidding), mi nipo huku kwenye udaktari but nafikiri utofauti mkubwa wa daktari na engineer ni kwamba, engineer wana nafasi ya kukosea na kurudia upya tena na tena but Daktari ana deal na uhai wa mtu ambao upo mara moja tu, ikitokea umekosea ukiuondoa it's irreversible
 
Mleta mada utakua daktari nini?
Hehe unapoongelea engineering ni kitu kipana sana. Doctors ukikariri mambo na kufanya practice umemaliza.

Turudi kwenye engineer, kwanza medical instruments zote mnazotumia zimetengenezwa na engineers, madawa mbalimbali mnayotumia, engineers ambao wamekaa wakachimba medicine vizuri wakaumiza kichwa na kuja na solutions. Doctors wao ni kufundishwa tu jinsi ya kuvitumia na kuambiwa vinafanya kazi kwenye mtu wa aina gani basi.

Hujasikia biomedical engineering, chemical engineering, computer , electrical engineering? Hehe acha utani aisee.

Hakuna kitu kigumu kama kukaa na kufikiria kutengeneza kitu kipya ambacho hakipo kabisa. It takes a lot of brain power, don't underestimate engineering kabisa, ni moja ya field ambazo hadi unakufa hujamaliza kusoma.

Sasa kukuonyesha umuhimu wa engineering subiri miaka kadhaa ijayo, doctors tutawareplace na kuweka robots ambazo zinaweza fanya analysis hadi treatment much faster and more accurate kuliko hata daktari.
 
Hivi kwanini mgonjwa akifia kwa daktari daktari hashitakiwi ila engineer jenga structure then i fail mahakama inakuhusu
 
Engineers anaweza kosea kujenga barabara magufuli akamwambia bomoa barabara jenga upya

Doctors wakikosea tu matibabu wanaua mgonjwa

So acheni kulinganisha doctors na Engineers



Achaneni kabisa na hiyo fani
 
Nenda Google angalia vile Viwanja vya world cup na hotels quatar vinavyojengwa ndo utajua ni nani anahitaji akili ya ziada
 
Doctors na Engineers wote ni upuuzi tu bila pesa coz ndo inayowafanya kutimiza creativity zao whether it is operation or design ya kitu chochote so money financiers it's all that matters in this world nothing without money can be made to exist in a physical world. Huko miaka ya nyuma sana even before christ birth hakukuwa na hao mnowaita leo Doctors na Engineers but everything was in place and these Doctors and Engineers emerged as a result of people's accumulation of wealth
 
Back
Top Bottom