Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Wapendwa habarini za asubuhi jana arufajiri niliamka kuwahi shamba nikiwa njiani alitokea mdudu na kuniuma mdomo wa juu mdomo ukaanza kuvimba. nilivumilia uvimbe nikijua utaisha, mdaulivyokuwa ukisonga ndinvyo na uvombe ulivyokuwa unaongezeka. ni.eamka asububi hii naona hata uso nao umevimba nafanana kama nyani naombeni msaada njia ya kumaliza uvimbe sinamaumivu yoyote ninayo yasikia asanteni.