One Man Army
JF-Expert Member
- Dec 27, 2011
- 236
- 34
daktari wa vichaa alikuwa akiwapima wagonjwa wake kama kunaliyepata nafuu.alikuwa akiwatuma vitu mbalimbali wengi walikosea ila mmoja alileta kwa ufasaha kila alichoagizwa,siku moja ikafika ilikuwa ni tarehe 10 mwezi fulani hv basi doctor akamtuma mgojwa wake gazeti alipofika sehemu yakuuzia magazeti alikosa gazeti la tarehe 10 ndipo jamaa akaamua kununua ya tarehe 5 mawili....