Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

If you look closer
she has a lot of stories to tell
wonderful ones and sad ones

she is great!



Mind explaining one of the stories to me.... would give me an insight on if we see it the same way.....
 
hope wanaenjoy
ni raha kujua nini kilitokea au kinatokea
mie huwa nasoma mwenyewe for fun

watch out
naskia wanapenda jirusha?
Napenda tu ule ujuzi wa kugundua ni vitu gani viliendelea on the surface of the earth and underneath it millions years ago...
alafu napenda sana maisha ya field, tented camp, beers after hard days etc. lol
Nafanya kazi very close to geologists hata hivo. lol
 
Ha ha, ila roho inauma

anyway, ngoja maida waje wabebe mizigo yako

Najua unavyoumia ila sasa ulikosea kuchagua kilicho bora as kila mtu ana kitaka hicho hicho....!

Utazoea tu Kongosho...na najua wewe kama 1st una advantage kubwa sana...lol...niko hapa nje!
 
down to earth , Rough, ...

Nilikuwa na ndoto kubwa kubwa kupita kiasi..
Na ndoto zangu si ndoto tena ni reality sasa.
Ninaamini kufanya jambo kuliko kuongelea tu ..
Namshukuru Mungu kwa kila kitu maishani mwangu.

Physical appearance..

Binafsi Napenda nilivyo "everything"
kuanzia rangi yangu yangu ya ngozi ,
maumbile yangu, mwana michezo
so i'm not worried about "weight" .
very independent person .. ..🙂

P.S Lizzy napenda miguu yako zaidi teh teh teh teh lol..😛oa
 
hope wanaenjoy
ni raha kujua nini kilitokea au kinatokea
mie huwa nasoma mwenyewe for fun

watch out
naskia wanapenda jirusha?
Hahahaha, mbona ni kawaida ya maisha ya camp zote? any camp would do the same...
Mi naenjoy sana company yao kwa kweli. And they enjoy mine too, I am certain. ngoma drow. lol
 
ana story nyingi sana
jinsi anavyozaa watoto wake Milima, mito, mabonde, madini, mafuta.

Alivyosimulia bin adamu kuwepo kwa dinosaurs, one of my favourate story

namhurumia
she is so worried na bin adamu
watamuangamiza
sababu hawamjali ipasavyo

ntazipitia hizi story nikueleze siku moja.
Mind explaining one of the stories to me.... would give me an insight on if we see it the same way.....
 
I hope you are happy for me.....??
Kama ni mchawi basi uwe na hakika nitarejea siku si nyingi....lol
Vya uchawi nilikua natania tu, sababu wengine waliimba mashahiri siku kadhaa hawakuweza, huyu kajinyakulia ushindi bila kutoka jasho. lol
Nitakosaje kua happy sweetheart? When you smile, I smile!
And I know The Boss will take good care of you... lazima tupange party this weekend...
 
kwa nini unamruhusu mwali akaguliwe na babu?
Ivuga mi nilikataa kata kata! sikaguliwi na Babu. Kasema ataweka baraza la familia kuongea haya maneno na mimi kwa hili nimesema sawa. Sikaguliwi ng'o!!!:A S-frusty:
 
down to earth , Rough, ...

Nilikuwa na ndoto kubwa kubwa kupita kiasi..
Na ndoto zangu si ndoto tena ni reality sasa.
Ninaamini kufanya jambo kuliko kuongelea tu ..
Namshukuru Mungu kwa kila kitu maishani mwangu.

Physical appearance..

Binafsi Napenda nilivyo "everything"
kuanzia rangi yangu yangu ya ngozi ,
maumbile yangu, mwana michezo

so i'm not worried about "weight" .
very independent person .. ..🙂


P.S Lizzy napenda miguu yako zaidi teh teh teh teh lol..😛oa
kama vile nakuona live.mzima lakini AFro D
 
halafu kweli umenikumbusha kitu kizuri kweli..lazima nikutafute.

Hivi ulikuwa umesahau duhhhhh
you're in big trouble..... :shock::shock::crutch:

0124.gif

Haya sasa mpelekee hii kusema samahani kwanza lol
 
Kwa hiyo bila Afrodenzi kukukumbusha ulikua umesahau kuna mambo ya valentine yanakuja?
@Afrodenzi: Thank you dear ...
@ Ivuga: una kesi tayari. Mambo yako yamerudi hatua tatu nyuma!

Duhhhhh
Bwana Yesu alisema tusameheane mara saba sabini elfu..Msamehe tu ..
teh teh teh loll
 
Kwa hiyo bila Afrodenzi kukukumbusha ulikua umesahau kuna mambo ya valentine yanakuja?
@Afrodenzi: Thank you dear ...
@ Ivuga: una kesi tayari. Mambo yako yamerudi hatua tatu nyuma!
hujaelewa..pitia profile ya AD ni mtaalamu wa kudesign maua na zawadi mbali mbali jamani.
 
Back
Top Bottom